mpumbav mpumbav tu ww umekall utani wa nyerere wahaya wana ubinafsi gani na ubaguz au huyajuh makabila ya tz xma una chuki binafsKolabo ya Wahaya na Wajita lazima tu itakupa Kizazi cha Wabaguzi na Wabinafsi WALIOTUKUKA.
Yaani hawa watu ni noma sana, lkn kwa roho mbaya wajita wanatishaKolabo ya Wahaya na Wajita lazima tu itakupa Kizazi cha Wabaguzi na Wabinafsi WALIOTUKUKA.
Ha ha ha haWahaya ni species nyingine asee,hivi si walisha wahi kuja na thread humu JF et hawataki kuchanganya posts zao na watu wanaotumia tecno na itel kisa wao wanatumia iPhones na Samsung galaxy!!!?????????
Mkuu hii kama inanihusu vile! lakini sitaki kuamini.Kolabo ya Wahaya na Wajita lazima tu itakupa Kizazi cha Wabaguzi na Wabinafsi WALIOTUKUKA.
Uko sahihi kabisaKolabo ya Wahaya na Wajita lazima tu itakupa Kizazi cha Wabaguzi na Wabinafsi WALIOTUKUKA.
Nitaenda kuoa hukoAlafu ukishalijua ilo kabila utafanyaje?
MmmmhWapare
Hupenda kujiona bora kuliko wengine.
Ni wabinafsi sana.
Wana dharau sana.
Wahaya.
Ni wabaguzi mno
Wabinafsi
Hujisikia mno
Hupenda kujisifia kuliko kawaida.
Wajita........
kabila lenye sifà zaidi tz ñi wàhàyà,Kamjadala kamezuka hapa... Eti kati ya hawa watajwa ninani anapenda sifa zaidi?
"NGUMA AU NGAZO" mkuu?ok nyie mnapenda kesi,na wanawake kama vichaa!Wapare tuondoe kwenye hiyo list hatunaga hayo mambo....!
Acha kuwasingizia wazee wa "ng'ombe jhane" hawanaga makuu kabisa hawa very humble and humane!Wasukuma No' 2 jamani
Acha kuwasingizia wazee wa "ng'ombe jhane" hawanaga makuu kabisa hawa very humble and humane!Wasukuma No' 2 jamani
Hamna kabila linaitwa wamachame ktk historia ya Tanzania.......!ondoa wapare,weka wamachame na wanyakusya,wanyantuzu .Halafu mjadala uwe friendly
Wanaokoka baada ya kuishiwa na kukosa plan ya kuishi mjn.Usiombe mhaya aokoke halafu ukakutana nae