Wape Watoto fursa ya kujifunza masuala mengine katika maisha mbali na masomo ya darasani

Sitaki mtoto wangu aje kuwa engineer ambaye hajui Rais wa Nigeria anaitwa nani. Dunia ya sasa inataka maarifa mengi hata kujua bargaining skills ni muhimu.
Hata mall ya Toronto ninafanya bargaining kwa Sana,sijali,Ni skill nilijifunza Mbeya mjini.Hata ninunue kitu wapi siamini katika Bei ya kwanza,Ni vitu vingi namevipata vingine nitakufa niviache,thanks to Mbeya city attitude.
 
Hata mall ya Toronto ninafanya bargaining kwa Sana,sijali,Ni skill nilijifunza Mbeya mjini.Hata ninunue kitu wapi siamini katika Bei ya kwanza,Ni vitu vingi namevipata vingine nitakufa niviache,thanks to Mbeya city attitude.
Ninakaa Tunduma. Karibu sana mkuu
 
Samia amepeleka umeme kila kona ya Nchi. Pia, amepeleka barabara kila kona ya nchi hata kwa yale majimbo ya wapinzani.
Lissu hakuna kituo hata kimoja aliweza kuwa mbele ya Samia na JPM mwaka uchaguzi wa 2020. Kipigo alichopewa October 2020 kilimfanya awachukie Watanzania wote.
 
Hpo kwenye france weka chinese
 
Lissu hakuna kituo hata kimoja aliweza kuwa mbele ya Samia na JPM mwaka uchaguzi wa 2020. Kipigo alichopewa October 2020 kilimfanya awachukie Watanzania wote.
Rais Samia ni kipenzi cha Watanzania, huyo Lissu msaliti wa Nchi mrudisheni ubeligiji.
 
Lissu Aliwatetea Mabeberu baada ya kuona maji yamezidi Unga yakaja kuomba radhi kwa Rais Samia.
Tanzania haipo kwenye orodha ya Nchi maskini Rais Samia ametupeleka uchumi wa kati Naamini miaka mitano ijayo Rais Samia ataitupeleka uchumi wa juu.
 
Tanzania haipo kwenye orodha ya Nchi maskini Rais Samia ametupeleka uchumi wa kati Naamini miaka mitano ijayo Rais Samia ataitupeleka uchumi wa juu.
madaraja,barabara, umeme nk yanarahisisha maisha kwa kupunguza gharama za usafiri Kwahiyo October mwaka jana 2020 tulimpigia kura Samia kwa 98% Rais Samia kipenzi cha Watanzania.
 
madaraja,barabara, umeme nk yanarahisisha maisha kwa kupunguza gharama za usafiri Kwahiyo October mwaka jana 2020 tulimpigia kura Samia kwa 98% Rais Samia kipenzi cha Watanzania.
Rais Samia kipenzi cha Watanzania tumchagua kwa kishindo 2025.
 
2025 tutawashawishi wananchi wampe Samia ushindi wa 90% Ushindi huu ni wa asante kwa kazi kubwa aliyoifanya.
Kwa utendaji wa RAIS Samia Sisi kama watanzania tulipaswa kumuacha achape kazi, watanzania ,Afrika ,Dunia inajua Rais Samia atashinda mafisadi.
 
Rais Samia amefanya mambo makubwa mazuri kwa muda mfupi wa utawala wake.
Rais Samia ni mtu mwenye huruma nami nakubaliana naye kabisa. Wanaomuogopa Rais Samia ukiwafuatilia kwa makini utagunduza kuwa ni watenda maovu na wanashikwa na uwoga kutokana na uovu wanaoutenda.
 
Hujamwelewa mtoa post kwa maana... Umetembea na mistar yake tu... Hapo hiyo ya Rais ametolea mfano tu
 
Rais Samia ni mtu mwenye huruma nami nakubaliana naye kabisa. Wanaomuogopa Rais Samia ukiwafuatilia kwa makini utagunduza kuwa ni watenda maovu na wanashikwa na uwoga kutokana na uovu wanaoutenda.
Kinachowafanya Wapinzani waweseke ni Kwasababu Rais Samia ame wa outsmart kwa kila kitu.
 
Kinachowafanya Wapinzani waweseke ni Kwasababu Rais Samia ame wa outsmart kwa kila kitu.
Bwana mkubwa Mbowe kama unapita hapa nakuomba ikiwezekana tembea kwa magoti hadi chamwino ukaombe radhi kwa Rais Samia la sivyo mtakufa tu mtakuwa mmekaidi sauti ya Mungu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…