Hata mall ya Toronto ninafanya bargaining kwa Sana,sijali,Ni skill nilijifunza Mbeya mjini.Hata ninunue kitu wapi siamini katika Bei ya kwanza,Ni vitu vingi namevipata vingine nitakufa niviache,thanks to Mbeya city attitude.Sitaki mtoto wangu aje kuwa engineer ambaye hajui Rais wa Nigeria anaitwa nani. Dunia ya sasa inataka maarifa mengi hata kujua bargaining skills ni muhimu.
Ninakaa Tunduma. Karibu sana mkuuHata mall ya Toronto ninafanya bargaining kwa Sana,sijali,Ni skill nilijifunza Mbeya mjini.Hata ninunue kitu wapi siamini katika Bei ya kwanza,Ni vitu vingi namevipata vingine nitakufa niviache,thanks to Mbeya city attitude.
Tumpongeze Rais Samia kwa kutupeleka uchumi wa kati.President Samia has done good things for our Tanzania. Thanks so much our mama.
Samia amepeleka umeme kila kona ya Nchi. Pia, amepeleka barabara kila kona ya nchi hata kwa yale majimbo ya wapinzani.Tumpongeze Rais Samia kwa kutupeleka uchumi wa kati.
Lissu hakuna kituo hata kimoja aliweza kuwa mbele ya Samia na JPM mwaka uchaguzi wa 2020. Kipigo alichopewa October 2020 kilimfanya awachukie Watanzania wote.Samia amepeleka umeme kila kona ya Nchi. Pia, amepeleka barabara kila kona ya nchi hata kwa yale majimbo ya wapinzani.
Hpo kwenye france weka chineseNishakujibu juu naongeza kwa manufaa ya wengine.
Mimi sina mtoto ila najua Dunia inaelekea wanangu nitawaweka mapema sana kwenye uwelekeo wa Dunia nitawaongoza as time Go watajenga PASSION na sehemu niliyo wa EXPOSE mapema na ku generate ndoto zao humo...
Wanangu mpaka miaka 15 nataka wawe na uwelewa mkubwa sana kwenye
*Info Tech
*Finance kwa asilimia zake
*Lugha (Eng/France)
*Presentation Skills
Mpaka kufika miaka 18 wawe nondo zaidi mpaka miaka 20 watajiongoza wenyewe maana washatengeneza Passion Hormone sehemu nilizo wa Exposure kazi nayobaki nayo kuwasapoti FUND kwa wanayoyaendea.
Ni nani anazungumza kichina Afrika?Hpo kwenye france weka chinese
Rais Samia ni kipenzi cha Watanzania, huyo Lissu msaliti wa Nchi mrudisheni ubeligiji.Lissu hakuna kituo hata kimoja aliweza kuwa mbele ya Samia na JPM mwaka uchaguzi wa 2020. Kipigo alichopewa October 2020 kilimfanya awachukie Watanzania wote.
Lissu Aliwatetea Mabeberu baada ya kuona maji yamezidi Unga yakaja kuomba radhi kwa Rais Samia.Rais Samia ni kipenzi cha Watanzania, huyo Lissu msaliti wa Nchi mrudisheni ubeligiji.
Tanzania haipo kwenye orodha ya Nchi maskini Rais Samia ametupeleka uchumi wa kati Naamini miaka mitano ijayo Rais Samia ataitupeleka uchumi wa juu.Lissu Aliwatetea Mabeberu baada ya kuona maji yamezidi Unga yakaja kuomba radhi kwa Rais Samia.
madaraja,barabara, umeme nk yanarahisisha maisha kwa kupunguza gharama za usafiri Kwahiyo October mwaka jana 2020 tulimpigia kura Samia kwa 98% Rais Samia kipenzi cha Watanzania.Tanzania haipo kwenye orodha ya Nchi maskini Rais Samia ametupeleka uchumi wa kati Naamini miaka mitano ijayo Rais Samia ataitupeleka uchumi wa juu.
Rais Samia kipenzi cha Watanzania tumchagua kwa kishindo 2025.madaraja,barabara, umeme nk yanarahisisha maisha kwa kupunguza gharama za usafiri Kwahiyo October mwaka jana 2020 tulimpigia kura Samia kwa 98% Rais Samia kipenzi cha Watanzania.
Anachokifanya Tundu Lissu kwa sasa ni kutafuta umaarufu kwa ajili ya 2025. Rais samia ndio shujaa wetu.Rais Samia kipenzi cha Watanzania tumchagua kwa kishindo 2025.
2025 tutawashawishi wananchi wampe Samia ushindi wa 90% Ushindi huu ni wa asante kwa kazi kubwa aliyoifanya.Anachokifanya Tundu Lissu kwa sasa ni kutafuta umaarufu kwa ajili ya 2025. Rais samia ndio shujaa wetu.
Kwa utendaji wa RAIS Samia Sisi kama watanzania tulipaswa kumuacha achape kazi, watanzania ,Afrika ,Dunia inajua Rais Samia atashinda mafisadi.2025 tutawashawishi wananchi wampe Samia ushindi wa 90% Ushindi huu ni wa asante kwa kazi kubwa aliyoifanya.
Rais Samia amefanya mambo makubwa mazuri kwa muda mfupi wa utawala wake.Kwa utendaji wa RAIS Samia Sisi kama watanzania tulipaswa kumuacha achape kazi, watanzania ,Afrika ,Dunia inajua Rais Samia atashinda mafisadi.
Rais Samia ni mtu mwenye huruma nami nakubaliana naye kabisa. Wanaomuogopa Rais Samia ukiwafuatilia kwa makini utagunduza kuwa ni watenda maovu na wanashikwa na uwoga kutokana na uovu wanaoutenda.Rais Samia amefanya mambo makubwa mazuri kwa muda mfupi wa utawala wake.
Hujamwelewa mtoa post kwa maana... Umetembea na mistar yake tu... Hapo hiyo ya Rais ametolea mfano tuItamsaidia nini kumjua?
Kwa nini isiwe "sitaki mtoto wangu asijue jinsi ya ku design jambo lolote hapa duaniani linalohusu fani yake! ".
Kama lengo lako mtoto wako awe raisi basi awajue wote wa dunia nzima na historia zao vinginevyo ni kupoteza muda tu.
Kinachowafanya Wapinzani waweseke ni Kwasababu Rais Samia ame wa outsmart kwa kila kitu.Rais Samia ni mtu mwenye huruma nami nakubaliana naye kabisa. Wanaomuogopa Rais Samia ukiwafuatilia kwa makini utagunduza kuwa ni watenda maovu na wanashikwa na uwoga kutokana na uovu wanaoutenda.
Bwana mkubwa Mbowe kama unapita hapa nakuomba ikiwezekana tembea kwa magoti hadi chamwino ukaombe radhi kwa Rais Samia la sivyo mtakufa tu mtakuwa mmekaidi sauti ya Mungu.Kinachowafanya Wapinzani waweseke ni Kwasababu Rais Samia ame wa outsmart kwa kila kitu.