Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,892
- 16,476
- Thread starter
- #201
Kwanini mimi nimesemaje?We huoni kuwa hukokuwatokuwa na mtaji ndio tatizo lenyewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini mimi nimesemaje?We huoni kuwa hukokuwatokuwa na mtaji ndio tatizo lenyewe
Asante Samia umejua kuwatumikia Watanzania 2025 tutakupa kura zote.Mabeberu yanatuonea wivu Maendeleo yanayoletwa na Rais Samia yanaumiza sana hawa wajinga wa chadema.
Rais Samia hata asingepiga kampeni mwaka jana 2020 ushindi ulikuwa ni 90%. Rafiki zetu wa CHADEMA waliula wa chuya na hawakupata hata wabunge 5 tu.Asante Samia umejua kuwatumikia Watanzania 2025 tutakupa kura zote.
Sawa mkuuWewe Hujasema chochote
Sawa mkuuHakika... Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
Rais Samia Mungu amlinde sana mama yetu huyu kipenzi kutoka Zanzibar.Rais Samia hata asingepiga kampeni mwaka jana 2020 ushindi ulikuwa ni 90%. Rafiki zetu wa CHADEMA waliula wa chuya na hawakupata hata wabunge 5 tu.
Ninavyojua Rais Samia anatembea kwenye viatu vya wazalendo kama mzee Kikwete na mwalimu Nyerere.Rais Samia Mungu amlinde sana mama yetu huyu kipenzi kutoka Zanzibar.
Mtoto hana ndoto.Hakuna Mzazi anayeweza kuishi ndoto ya mtoto wake. The best mzazi anaweza kufanya ni ku-support ndoto ya mwanae.
Mtoto hana ndoto.
Mtoto hana ubongo wa kujua Dunia ili kupanga ndoto.
Mkuu Critical Thinking ni kitu muhimu jitahidi uwe nayo.Watoto wa kizazi kipya hao..
Enzi zetu ikitokea umeulizwa: ukiwa mkubwa unapenda uwe Nani? Wapo waliosema wanapenda wawe Askari, nesi, Mwalimu, Daktari, Rubani, Hakimu nk. Ikiwa hizi sio ndoto ni nini basi?
Ama kwako mtoto anapaswa awe na umri gani?
Nishakujibu juu naongeza kwa manufaa ya wengine.Watoto wa kizazi kipya hao..
Enzi zetu ikitokea umeulizwa: ukiwa mkubwa unapenda uwe Nani? Wapo waliosema wanapenda wawe Askari, nesi, Mwalimu, Daktari, Rubani, Hakimu nk. Ikiwa hizi sio ndoto ni nini basi?
Ama kwako mtoto anapaswa awe na umri gani?
DreamMkuu Critical Thinking ni kitu muhimu jitahidi uwe nayo.
Mtoto kusema nataka kuwa Doctor ndio ndoto yake,
* Si utoto kweli....Ukiuliza watoto wa shule ya msingi Buza 99% wataangukia himu
*Doctor
*Mwalimu
*Mwanajeshi
*Polisi
*Dereva
Huwezi pata mtoto akakwambia mimi natakakuwa
*Logististician
*Programmer
*Graphics Designer
*Software Developer
*Aquatician
*Survyor
*Resercher
*Diver
*Director
Wewe unadhani kwanini watoto 99% wanataja list ya kwanza ni Taaluma au kazi ambazo wanaziona kilasiku na kuzisikia mtoto anahudumiwa na Doctor kilasiku, Yupo na mwalimu kilasiku, Anamwona mwanajeshi kwenye video, live polisi nk....Hivyo mtoto ukimuuliza anakujibu ndani ya upeo alionao na hajui wala hana WIDE MIND ya kujua kuna MAMILIONI ya taaluma na kazi Duniani.
*Hansacana ulivyoulizwa kipindi yupo darasa la 4 unadhani alisema anataka kuwa DIRECTOR no aliangua kwenye Doctor nk.
Hii ndio inaitwa Critical hivyo uwelewe mtoto hana ndoto bali ana hisia tu na haijui Dunia kwa 99%....Ukikuwa unataka kuwa nani Doctor eeh mwanangu ndoto yake kuwa Doctor WRONG
Rais Samia anafanya kazi kubwa sana mzalendo huyu.Ninavyojua Rais Samia anatembea kwenye viatu vya wazalendo kama mzee Kikwete na mwalimu Nyerere.
Tafadhari usini Quote tena siwezi maliza muda wangu wakuishi kijingaDream
Utoto
Do you understand the meaning of dream?
Do you understand the meaning of utoto/mtoto?
When you say critical thinking do you imply sandwich model? If yes, how likely the model fits with Dream and utoto conceptual frameworks?
Ujinga wako baki nao mwenyewe. Sihusiki nao.Tafadhari usini Quote tena siwezi maliza muda wangu wakuishi kijinga
Ulivyopewa karatasi ya kura mwaka jana 2020 ulihakikisha umempa alama ya vema Rais Samia?Rais Samia anafanya kazi kubwa sana mzalendo huyu.
Mkuu utafiti ulifanyika, kama uchaguzi ungefanyika siku nne kabla, tayari Rais Samia angeshinda kwa 99%. Huyu mama anakubalika sana kwa watanzania.Ulivyopewa karatasi ya kura mwaka jana 2020 ulihakikisha umempa alama ya vema Rais Samia?
President Samia has done good things for our Tanzania. Thanks so much our mama.Mkuu utafiti ulifanyika, kama uchaguzi ungefanyika siku nne kabla, tayari Rais Samia angeshinda kwa 99%. Huyu mama anakubalika sana kwa watanzania.