Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,892
- 16,476
- Thread starter
- #161
Well saidSana sana. Overhaul ya kufa mtu. Iwe oriented na yanayotendeka mitaani, tusiishie ku copy and paste yale ya wakoloni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Well saidSana sana. Overhaul ya kufa mtu. Iwe oriented na yanayotendeka mitaani, tusiishie ku copy and paste yale ya wakoloni
Njoo nikuoeUkikosea kuoa utajuta
Utamuoa vp wakati wewe mwenyewe bado unakula na kulala kwa baba na mama?Njoo nikuoe
Daaah kumbe jamaa umri mkubwa alafu bado mama's boyUtamuoa vp wakati wewe mwenyewe bado unakula na kulala kwa baba na mama?
Kinachowafanya Wapinzani waweseke ni Kwasababu Rais Samia ame wa outsmart kwa kila kitu.Chadema wakumbuke kwamba shabiki anabadilika kutokana na treand but mwanachama ni royal
Weka usahihi wako ili tupime hoja yako na yangu.
Sio sahihi kumfundisha mtoto lugha bali akikua mkubwa eti .Kama watanzania wengi tupo hivyo tutasubiri sana.Nchi haina hadi wakalimani.
Lugha ambayo si yako unajifunza ya nn? Elimu ya kweli ni ile inayomuwezesha binadamu kupambana na Changamoto za mazingira yake!mengine haya mbwembwe tu.
Wachina wamejaa sana kariakoo alafu unasema lugha yao haina dili?
Ko ukizungumza nao tu kichina unakuwa tajiri?
Bwana mkubwa Mbowe kama unapita hapa nakuomba ikiwezekana tembea kwa magoti hadi chamwino ukaombe radhi kwa Rais Samia la sivyo mtakufa tu mtakuwa mmekaidi sauti ya Mungu.Chadema wakumbuke kwamba shabiki anabadilika kutokana na treand but mwanachama ni royal
Mwanasiasa wa upinzani anapopingana na samia jiandae kujibu maswali yafuatayo kutoka kwa Watanzania UMEME: Ukipingana na samia watanzania watakuuliza unataka tusipate umeme wa uhakika utokanao na Bwawa LA Nyerere yaani unataka tusipate megawati 2115 za umeme unataka tusiwavutie wawekezaji.Bwana mkubwa Mbowe kama unapita hapa nakuomba ikiwezekana tembea kwa magoti hadi chamwino ukaombe radhi kwa Rais Samia la sivyo mtakufa tu mtakuwa mmekaidi sauti ya Mungu.
Rais Samia tangia akiwa waziri katika wizara mbalimbali hajawai kuwa na mshindani katika kariba yake ya utendaji.Kinachowafanya Wapinzani waweseke ni Kwasababu Rais Samia ame wa outsmart kwa kila kitu.
Rais Samia amenifanya nione kitambilisho changu cha kupigia kura mwaka jana kiwe zaidi ya hata mali ninazomiliki. Nimekihifadhi, nakitunza na nitakilinda ili nichague tena samia.Rais Samia tangia akiwa waziri katika wizara mbalimbali hajawai kuwa na mshindani katika kariba yake ya utendaji.
Safi sana mkuu. Sio mtu unakuwa na Division I ya point 3 PCM alafu hujui mengine ya duniani. Sijui wivu unanisumbua kwa kuwa nilifeli form six?Muhimu sana , mm nilikua kati kabisa ila nilikua nauza mchicha na kupika chakula cha kuuza.
Now kazi, swimmer,mkulima, nacheza Mpira, basketball, karate Blue belt na mengine
Jambo kubwa kabisa alilolifanya Rais Samia ni kuwashughulikia mafisadi wala rushwa na wapiga dili waliokuwa wanalihujumu taifa letu. Wananchi zaidi ya 95% wanataka Kazi Iendelee kwamba sasa yakang'olewe mazalia na mabakibaki ya mafisadi popote yalikobakia.Rais Samia amenifanya nione kitambilisho changu cha kupigia kura mwaka jana kiwe zaidi ya hata mali ninazomiliki. Nimekihifadhi, nakitunza na nitakilinda ili nichague tena samia.
Utafiti umefanyika na unasema kuwa Rais Samia atawashinda mafisadi na wezi wa mali za umma.Jambo kubwa kabisa alilolifanya Rais Samia ni kuwashughulikia mafisadi wala rushwa na wapiga dili waliokuwa wanalihujumu taifa letu. Wananchi zaidi ya 95% wanataka Kazi Iendelee kwamba sasa yakang'olewe mazalia na mabakibaki ya mafisadi popote yalikobakia.
Vyama vya siasa vivunje sheria vyenyewe alafu wakulaumiwa awe Rais Samia? Hapana aisee. Samia anaonewa sana na upinzani sababu amezidi kuwadekezaRais Samia amenifanya nione kitambilisho changu cha kupigia kura mwaka jana kiwe zaidi ya hata mali ninazomiliki. Nimekihifadhi, nakitunza na nitakilinda ili nichague tena samia.
Tanzania ya Samia inapendeza na kuwaka kila kona kwa maana huyu mama ni mwanadiplomasia mzuri sanaVyama vya siasa vivunje sheria vyenyewe alafu wakulaumiwa awe Rais Samia? Hapana aisee. Samia anaonewa sana na upinzani sababu amezidi kuwadekeza
Mungu ampe Afya njema na baraka nyingi Rais SamiaUtafiti umefanyika na unasema kuwa Rais Samia atawashinda mafisadi na wezi wa mali za umma.
Samia na JPM walijenga fly over zilizomshinda mkoloniMungu ampe Afya njema na baraka nyingi Rais Samia
Mbona Rais Samia anatoa elimu bure ? Waambieni Chadema kazi yao ni kununua sare tu ada wanalipiwa na SamiaSamia na JPM walijenga fly over zilizomshinda mkoloni