Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,892
- 16,476
- Thread starter
- #121
Kwani mimi nimebisha ndugu yangu?Hakuna Mzazi anayeweza kuishi ndoto ya mtoto wake. The best mzazi anaweza kufanya ni ku-support ndoto ya mwanae.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani mimi nimebisha ndugu yangu?Hakuna Mzazi anayeweza kuishi ndoto ya mtoto wake. The best mzazi anaweza kufanya ni ku-support ndoto ya mwanae.
Haujabisha mzee baba Soja shujaa wa JFKwani mimi nimebisha ndugu yangu?
Muulize Soja anaoa lini tumchangie harusi yake?Haujabisha mzee baba Soja shujaa wa JF
Akuoe wewe basi. Kwanza kuoana ni lazima?Muulize Soja anaoa lini tumchangie harusi yake?
Mkuu unaweza mfundisha kufahamu hayo majina kama unahitaji mtoto aje kuwa mwana Historian hasa za mambo ya siasa,naona sio mbaya.Mkuu kwa dunia ya sasa ya utandawazi mambo ya mtambuka watoto wanajifunza automatic tu, bila hata kumpa vitabu au magazeti.
Fundisha watoto mambo ya sanaa(ubunifu, mziki, mpira nk), sayansi,teknolojia lugha na ujasiliamali ndio vinavyolipa kwa sasa.
Achana na mambo ya kutaja majina ya viongozi sijui vita ya libya na utopolo mwingine atavijua tu kupitia tv.
Tupo katika kipindi ambacho watoto wetu tunaweza kuwandaa vizuri zaidi kuliko wakati wowote ule.
Mfano hapa JF yu ajifunza mambo mengi mtambuka ambayo hatikuwahi kujifunza.
Wazazi wa sasa tujifunze the power of internet and harvest from it.
Bora asome biograph itamsaidia, majina yanamsaidia nini ?Mkuu unaweza mfundisha kufahamu hayo majina kama unahitaji mtoto aje kuwa mwana Historian hasa za mambo ya siasa,naona sio mbaya.
Labda watumishi, wanasiasa wanarithishana,wanamuziki wanarithishana(mfano bob male family), wacheza mpira wa miguu,kikapu nk.Hakuna Mzazi anayeweza kuishi ndoto ya mtoto wake. The best mzazi anaweza kufanya ni ku-support ndoto ya mwanae.
Kuna mtoto wa Zidane mpira umemkataa. Unafikiri watoto wote wa diamond watakuja kuwa waimbaji kama baba yao?Labda watumishi, wanasiasa wanarithishana,wanamuziki wanarithishana(mfano bob male family), wacheza mpira wa miguu,kikapu nk.
Ronaldo,Mess, Gaucho, zidane watoto wao ndio tutakuwa tukiwaangalia miaka kumi ijayo.
Punguza swagger za uongo basi wee jamaaLabda watumishi, wanasiasa wanarithishana,wanamuziki wanarithishana(mfano bob male family), wacheza mpira wa miguu,kikapu nk.
Ronaldo,Mess, Gaucho, zidane watoto wao ndio tutakuwa tukiwaangalia miaka kumi ijayo.
Achana na ndoto ya Mzazi kwenda kwa mtoto. Namaanisha ndoto ya mtoto Mzazi hawezi kuiishi. Ni kum-support tu kijanaLabda watumishi, wanasiasa wanarithishana,wanamuziki wanarithishana(mfano bob male family), wacheza mpira wa miguu,kikapu nk.
Ronaldo,Mess, Gaucho, zidane watoto wao ndio tutakuwa tukiwaangalia miaka kumi ijayo.
Unafikiri asipokuwa muongo muongo ataishi vp sasa mjini hapa?Punguza swagger za uongo basi wee jamaa
Biography au ulikuwa unamaanisha Biology na Geography?Bora asome biograph itamsaidia, majina yanamsaidia nini ?
Huo sio jamaa ni babu yako huyo. JF kuna watu wamezaliwa 1960sPunguza swagger za uongo basi wee jamaa
Biography. Sio biology, biology si atasoma shule.Biography au ulikuwa unamaanisha Biology na Geography?
Uongo ni upi ? We upo dunia ya wapi.Taja neno la uongo hapo, vinginevyo ntakutolea uvivu. Unakuja kuchangia wakati hujui chochote, si ulale ukue.Punguza swagger za uongo basi wee jamaa
Hajui hata Gaucho ana mtoto anaetarajiwa kuingia ulimwengu wa soka soon.Huo sio jamaa ni babu yako huyo. JF kuna watu wamezaliwa 1960s
Vikongwe vimejaa sana humu. Kuna jamaa alikuwa ananitongoza PM amezaliwa mwaka 1972Huo sio jamaa ni babu yako huyo. JF kuna watu wamezaliwa 1960s
Umeolewa?Punguza swagger za uongo basi wee jamaa
Kuna watu walisoma darasa moja na Mwlimu Nyerere na wapo humu tunazozana nao.Huo sio jamaa ni babu yako huyo. JF kuna watu wamezaliwa 1960s
Njoo unioe mimiUmeolewa?