Chai Nyeusi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2021
- 347
- 312
Kwani JWTZ na Polisi wote sio askari?Alikuwa JWTZ sio Polisi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani JWTZ na Polisi wote sio askari?Alikuwa JWTZ sio Polisi
JWTZ pekee ndio askariKwani JWTZ na Polisi wote sio askari?
JWTZ ni wanajeshi hawa ila Polisi ndio askariKwani JWTZ na Polisi wote sio askari?
Kabisaaaah hadi unabaki kushangaaah wallah.Watu wanajifanya wana maisha magumu humu JF ila wana pesa za kutishaaaa wee chalii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]JF wote matajiri ,wanakaa prime areas kama oysterbay,masaki,shunty town,njiro etc na wanapiga white collar jobs tu.
Na mie niliwaza hiviJWTZ ni wanajeshi hawa ila Polisi ndio askari
Wewe ni mwanamke?Nilipokua mtoto kucheza tyuuh ndo kilikua kipaumbele changu, baada ya masomo.
Haya mambo ya skills nyingine hapana, hayakua na nafas kwangu.
Bado unakaa Mbagala?Nilipokua mtoto kucheza tyuuh ndo kilikua kipaumbele changu, baada ya masomo.
Haya mambo ya skills nyingine hapana, hayakua na nafas kwangu.
Ujumbe mwananaNalo neno
Unabadili sana avatar zako wee jamaaKabisaaaah hadi unabaki kushangaaah wallah.
Heeeeh kwani kubadili avatar ni kosa?Unabadili sana avatar zako wee jamaa
Badilisha na wewe kama unaona dogo anafaidiUnabadili sana avatar zako wee jamaa
Basi wewe mjanja sanaMie dogo atapiga spana + tonics FULL STOP.
Kubadilisha avatar kila mara ni utoto huoBadilisha na wewe kama unaona dogo anafaidi
Lini utanipa mbususu yako niitusue?Kubadilisha avatar kila mara ni utoto huo
Unatafuta nini kwake?Wewe ni mwanamke?