Chai Nyeusi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2021
- 347
- 312
Akuoe kwa swagger zipi? Si unasemaga hakuna size yako humu JF?Njoo unioe mimi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akuoe kwa swagger zipi? Si unasemaga hakuna size yako humu JF?Njoo unioe mimi
Kwa mwanaume kama amekamilika kuoa ni heshima kubwa sana. Hujui hilo?Akuoe wewe basi. Kwanza kuoana ni lazima?
Ninajua sana dada yangu ndio maana ninajiandaa kuoa mwakaniKwa mwanaume kama amekamilika kuoa ni heshima kubwa sana. Hujui hilo?
Hana size yake kivipi? Umri au kabila?Akuoe kwa swagger zipi? Si unasemaga hakuna size yako humu JF?
Kuoa siku hizi ni majanga sana. Wanawake wenyewe ndio kama hawa akina Amber Rutty?Kwa mwanaume kama amekamilika kuoa ni heshima kubwa sana. Hujui hilo?
Utanipa kadi ya mwaliko basi mkuuNinajua sana dada yangu ndio maana ninajiandaa kuoa mwakani
Ukiachana na huyo mkeo pia uje kututangazia humu. Sawa dogo?Ninajua sana dada yangu ndio maana ninajiandaa kuoa mwakani
Thubutu yake hawezi kufanya hivyo hata kidogoUkiachana na huyo mkeo pia uje kututangazia humu. Sawa dogo?
Kuendekeza ukabila katika karne hii ya 21 huo ni upuuzi mkubwaHana size yake kivipi? Umri au kabila?
Ubora wa mwanamke upo wapi kwa uelewa wako?Kuoa siku hizi ni majanga sana. Wanawake wenyewe ndio kama hawa akina Amber Rutty?
Labda ana mbunye kubwaHana size yake kivipi? Umri au kabila?
Ulikuwa unamaanisha nini hapa mkuu?
Mkuu, umenikumbusha mbali sana na hiyo "What is physics". Wakati ninasoma hilo somo kidato cha pili tulifundishwa kitu kinaitwa Vernier Caliper ambayo mpaka leo sikumbuki tena hata inasomwaje.Uahsuri murua huu. Kuwa na Plan B, C, D... muhimu sana kwa watoto, tusiwalazimishe sana wakariri what is physics kama wanaweza wakafanya mambo mengine ya kujenga nchi
Acha tu ndugu. Hatujui tumepoteza akina Ronaldo na Akina Rooney wangapi kwa kuwalazimisha kuwa kremisha Trans Atlantic Slave Trade 🤣 🤣 🤣 🤣Mkuu, umenikumbusha mbali sana na hiyo "What is physics". Wakati ninasoma hilo somo kidato cha pili tulifundishwa kitu kinaitwa Vernier Caliper ambayo mpaka leo sikumbuki tena hata inasomwaje.
Sad indeed. Mfumo wetu wa elimu unahitaji overhaul kubwa sana mkuuAcha tu ndugu. Hatujui tumepoteza akina Ronaldo na Akina Rooney wangapi kwa kuwalazimisha kuwa kremisha Trans Atlantic Slave Trade 🤣 🤣 🤣 🤣
Udogo wa K yakeUbora wa mwanamke upo wapi kwa uelewa wako?
Kwani Amber Rutty sio mtu?Kuoa siku hizi ni majanga sana. Wanawake wenyewe ndio kama hawa akina Amber Rutty?
Ukikosea kuoa utajutaNinajua sana dada yangu ndio maana ninajiandaa kuoa mwakani
Sana sana. Overhaul ya kufa mtu. Iwe oriented na yanayotendeka mitaani, tusiishie ku copy and paste yale ya wakoloniSad indeed. Mfumo wetu wa elimu unahitaji overhaul kubwa sana mkuu