Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I support republic of Pemba 100%. Wacha wapemba wawe na nchi yao, sababu asilimia 99% ya wabunge ndani ya pemba kwa miaka 15 sasa ni CUF, na serikali ya zanzibar inaongozwa na wabunge wa CCM kutoka unguja, sasa what the hell kuwa kwenye muungano usio na msaada?
Serikali ya JK ni sawa na toilet paper, it diserv to clean sh****. Hakuna haja ya kuwa ndani ya muungano wakati hampati faida ya kuungana.
CCM and serikali yake kama kawaida wametumia mfumo wao wa kinazi kukamata watu saa tisa za usiku wakiwa na bunduki za kivita na mandege ya kijeshi. That is typical CCM, madikteta, majambazi, makaburu and mashetani.
I can't hate them enough yaani. Republic of Pemba is the only way around. Goo Pemba
I support republic of Pemba 100%. Wacha wapemba wawe na nchi yao, sababu asilimia 99% ya wabunge ndani ya pemba kwa miaka 15 sasa ni CUF, na serikali ya zanzibar inaongozwa na wabunge wa CCM kutoka unguja, sasa what the hell kuwa kwenye muungano usio na msaada?
Serikali ya JK ni sawa na toilet paper, it diserv to clean sh****. Hakuna haja ya kuwa ndani ya muungano wakati hampati faida ya kuungana.
CCM and serikali yake kama kawaida wametumia mfumo wao wa kinazi kukamata watu saa tisa za usiku wakiwa na bunduki za kivita na mandege ya kijeshi. That is typical CCM, madikteta, majambazi, makaburu and mashetani.
I can't hate them enough yaani. Republic of Pemba is the only way around. Goo Pemba
Ndugu zangu wanaforum mimi napenda kwanza kuunga mkono hoja za wapemba za kutaka kujitenga . kwa nini naunga mkono?
Kwanza serikali ya Mapinduzi haiwatambui Rasma kama ni raia sawa wa Zanzibar wenye haki sawa kama wenzao wa Unguja
Pili serikali ya Zanzibar yenyewe mara zote imesema na hakuna amekanusha ya kwamba haiwezekani kwa MPEMBA kuongoza serikali ya Zanzibar
Haya yamekua yakitamkwa ndani ya Baraza la wakilishi , mikutano ya hadhara na hakuna asojua mpaka juzi ndani ya mkutano wao wa Butiama wamesema wazi
Nafasi zote za serikali ya Zanzibar zimeshikiliwa na watu wa unguja japo wapemba wapo wengi wenye uwezo
Hakuna Mpemba katika baraza la mapinduzi
Nafasi zote za masomo ya juu zinakwenda kwa watu wa Unguja na CCM
Kuna hujuma za makusudi zimefanywa dhidi ya wapemba kuwadhuru kama kisa cha kutiliwa sumu kule pemba
Ingawa serikali ya Muungano huwa inawavumilia Wapemba kwa kuwapa nafasi muhimu kama DR. Shein na Salim Ahmed na Dr, Omar wote walikua ni wakuonyeshWa mfano katika uongozi wa nchii hii hawa HAWANA hata chembe ya UFISADI lakini subutu huyu Shein aseme tu nataka mimi kugombea Urais wa ZANZIBAR HATA FORM HATOPEWA NA CCM UNGUJA
Haya ya ubaguzi na ufashisti maaana huuu ni ufashisti kubagua raia wako kuwa ni watu wa daraja la pili
Haya yakifanyika Huko za Zanzibar Dhambi kubwa ni kwa Serikali ya Muungano kutojali na kuvumilia hali hii ya CCM wenzao Unguja la ajabu wao Bara hawana Tabu na WAPEMBA
KUNA SABABU NYINGI ZA JAMAA ZETU KUJITENGA
UNAPOMWAMBIA MTU NDANI YA NCHI YAKE KWAMBA WEWE MPEMBA HUWEZI KUTAWALA NCHII HII BASI MAANA YAKE HUWATAKI BORA WAWE MBALI NA WEWE YAANI TAYARI UMEWAPA RUHSA KAMA WANATAKA KUJITENGA BASI RUHSA
WATU WANASEMA KWA NINI WAPEMBA HAWAJENGI KWAO WAKATI WANAUWEZO? LAKINI JAMANI NI SERIKALI NDIO INTAKIWA IPELEKE MAJI . UMEME BARABARA , BANDARI , AIRPORTS NA MASHULE KAMA WAFANYAVO UNGUJA
KUNA VISA VINGI VYA KIBAGUZI KUNA JAMAA ALITAKA KUFUNGUA HOSPITAL KUBWA PALE WETE MSAADA WA KUTOKA NJE AKANYIMWA KIBALI ATI ASAIDIE ZILIZOPO
KUNA WATU WALITAKA KUJENGA BARABRA YA GANDO KWENDA WETE SERIKALI IKAKATAA MPAKA LEO GARI HAZIPITI WATU WATEMBEA KWA MIGUU
HATA USAFIRI WA BAHARINI UNAPIGWA VITA KWENDA KATI YA PEMBA , MOMBASA NA TANGA ILI WAPEMBA WASIFAIDI KUJIENDELEZA
KUNA WAKATI BEI YA PETROL PEMBA ILIKUA CHINI KULIKO UNGUJA , HII NI KUTOKANA NA SOKO HURIA BAI IKAAMULIWA IPANDISHWE IWE SAWA NA UNGUJA HUU NI UBAGUZI WA HALI YA JUU
PEMBA MARA NYINGI KUNA TOKEA UKAME NA HALI YA NJAA IKITOKEA HAKUNA WA KUWASAIDIA SERIKALI YA UNGUJA HAIJALI BALI HUTOA KEJELI HATA SERIKALI YA MUUNGANO NAYO HUKAA KIMYA IKITOKEA NJAAA SEHEMU NYENGINE BASI HARAKA MISAADA INA PELEKWA
MIAKA YA NYUMA WAPEMBA WALIKUA WANASAFIRI KUTOKA TANGA KWENADA PEMBA HALI YA HEWA ILICHAFUKA BASI WAKAPIGA SOS YA KUOMBA MSAADA NA WALIPIGA RADIO CALL IKAPOKELEWA LAKINI HAWAKU PATA MSAADA NA ROHO ZAO 25 ZIKAPOTEA KISA ATI BOTI ZA KMKM HAZIKUA NA MAFUTA
WAKATI PEMBA KUKIWA NA NEEMA YA CHAKULA WATU WA PEMBA HUUZA KWA WINGI CHAKULA CHAO KWA NGUGU ZAO WA UNGUJA LAKINI PEMBA KUKIWA NA NJAA BASI WAPEMBA HAWARUHUSIWI KUPELEKA CHAKULA KUTOKA UNGUJA HII NII AIBU
HIVYO WANAZO SABABU NA NIA YA KUJITENGA WAO NI BINAADAMU NA WAMESOMA VYA KUTOSHA KUENDESHA NCHI YAO KAMA WAPEMBA .CCM TAYARI IMESHAWAFUKUZA KWA HIYO WAO WANATAMKA TU KWAMBA JAMANI WENZETU TAYARI WAMETUTOA KATIKA SERIKALI HIVYO TUNAKAA KWETU NA SERIKALI YETU MAANA KATIKA HIO HATUNA NAFASI SASA HUUUU SII UHAINI
Ndugu zangu wanaforum mimi napenda kwanza kuunga mkono hoja za wapemba za kutaka kujitenga . kwa nini naunga mkono?
Kwanza serikali ya Mapinduzi haiwatambui Rasma kama ni raia sawa wa Zanzibar wenye haki sawa kama wenzao wa Unguja
Pili serikali ya Zanzibar yenyewe mara zote imesema na hakuna amekanusha ya kwamba haiwezekani kwa MPEMBA kuongoza serikali ya Zanzibar
Haya yamekua yakitamkwa ndani ya Baraza la wakilishi , mikutano ya hadhara na hakuna asojua mpaka juzi ndani ya mkutano wao wa Butiama wamesema wazi
Nafasi zote za serikali ya Zanzibar zimeshikiliwa na watu wa unguja japo wapemba wapo wengi wenye uwezo
Hakuna Mpemba katika baraza la mapinduzi
Nafasi zote za masomo ya juu zinakwenda kwa watu wa Unguja na CCM
Kuna hujuma za makusudi zimefanywa dhidi ya wapemba kuwadhuru kama kisa cha kutiliwa sumu kule pemba
Ingawa serikali ya Muungano huwa inawavumilia Wapemba kwa kuwapa nafasi muhimu kama DR. Shein na Salim Ahmed na Dr, Omar wote walikua ni wakuonyeshWa mfano katika uongozi wa nchii hii hawa HAWANA hata chembe ya UFISADI lakini subutu huyu Shein aseme tu nataka mimi kugombea Urais wa ZANZIBAR HATA FORM HATOPEWA NA CCM UNGUJA
Haya ya ubaguzi na ufashisti maaana huuu ni ufashisti kubagua raia wako kuwa ni watu wa daraja la pili
Haya yakifanyika Huko za Zanzibar Dhambi kubwa ni kwa Serikali ya Muungano kutojali na kuvumilia hali hii ya CCM wenzao Unguja la ajabu wao Bara hawana Tabu na WAPEMBA
KUNA SABABU NYINGI ZA JAMAA ZETU KUJITENGA ........
TU KWAMBA JAMANI WENZETU TAYARI WAMETUTOA KATIKA SERIKALI HIVYO TUNAKAA KWETU NA SERIKALI YETU MAANA KATIKA HIO HATUNA NAFASI SASA HUUUU SII UHAINI
Serikali ya ccm ikome kabisa kukamata watanzania kwa visingizio vya ajabu kama hivi. Grrrrrrrrr
Serikali ya Tanzania itaendelea kuwakamata watuhumiwa wote ikiwa kifua mbele ka vile imepigwa ngumi ya mgongoni
Serikali ya Tanzania itaendelea kuwakamata watuhumiwa wote ikiwa kifua mbele ka vile imepigwa ngumi ya mgongoni
Tatizo lako unasahau kuwa hapa hakuna Msemaji wa CCM wala wa Serikali...Wakati mwingine nashindwa kuwaelewa nyinyi watu wa CCM, hivi unafikiri wale ni wahaini, wahaini wanapeleka waraka halafu wanarudi kwao na kukaa majumbani mwao, hivi serikali inawakamata kwa kosa gani kama hata UN hajawambia huo waraka unahusu nini?
Kaka inabidi utafute jinsi nyingine ya kuwatetea CCM kwa maana wanachemsha sana, sasa kila kitu wabavurunda bila hata kufikiri.
Wewe Mheshimiwa Gaijin unanishangaza sana. Kitendo kile cha kwenda UN siyo kidogo na cha mchezo kama unavyokiona wewe. Unafikiri sasa UN wakaiuliza Tanzania (Mlalamikiwa) -Kulikoni? Ifanye nini? Kile kitendio ni uhaini. Ijibu vipi? na iwashughulikie vipi wanaohusika? Kwani wao walifikiri kuwa wanacheza Msewe pale? Sio kosa hata kukurupushwa usiku wa manane. Uhaini ni uhaini tu Uwe Comoro, au Kosovo, au Pemba. Popote pale. Wache wasome Ndugu zetu na jazba zao za Kipemba. Wasifikiri kila kitu ni "mzaha" kama kucheza Msewe- vile.hivi kweli kulikuwa na haja ya kwenda kuwakamata watu hawa saa sita usiku?
watu walioenda UN kwa amani, kulikuwa na haja gani ya kwenda kuwakamata kwa namna ile.
nafikiri kwanza wangejaribu kwa kwenda kuwakamata angalau mchana kweupe, na sio kutia vitisho vya namna ile.
aibu