Wapenda haki hatutompa Kura Diamond Platnum kama tulivyokubaliana

Wapenda haki hatutompa Kura Diamond Platnum kama tulivyokubaliana

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2018
Posts
28,297
Reaction score
68,017
WAPENDA HAKI HATUTAMCHAGUA DIAMOND PLATNUM


Na, Robert Heriel


Katika Tuzo za BET Diamond ni moja ya Wasanii wanaowania Tuzo hizo.


Wapenda haki, wanaharakati na Wana mtandao wote kuanzia Facebook, Instagram, JamiiForums, na Twitter Kama tulivyokubaliana hatutampa Kura Diamond Platnum na hatashinda tuzo hizo Kwa sababu ameshindwa kutumia nafasi yake vizuri kuilinda, kuijenga na kuitetea jamii yake.


Diamond hajawahi kutetea jamii ya Watanzania.


Utekaji na mauaji yalivyopamba Moto Diamond alikuwa wakwanza kutoa kibao chenye ujumbe usemao " Acha Nikae kimya" maudhui ya wimbo ule yalilenga kuhafifisha na kutia uoga jamii isipige kelele kuhusiana na vitendo hivyo vya udhalimu.


Diamond ni tofauti kabisa na Wasanii wa Nigeria Kama kina P Square, Burns boy, Davido n.k ambao mara kadhaa walijitokeza kuungana na jamii kuipinga serikali pale inapokosea mpaka kuandamana kabisa.


Diamond hawezi chaguliwa na watu wote walioenda shule, waliostaarabika, wapenda haki na wanaharakati.


Kwa hapa Nchini waliojaribu na wanaojitahidi kutetea haki na kutetea jamii ni kina Ney wamitego, Roma mkatoliki, Profesa Jay miongoni mwa wengine.


Diamond ni Aina ya wanamuziki wanaoiona jamii Kama jamii ya vibushuti sio ajabu ndio maana nyimbo zake nyingi hasa za siku hizi niza vibushuti, zinalenga watu wenye Low IQ.


Diamond Kama angenoga Kama angeimba nyimbo Kama za kipindi kile mathalani "nimpende Nani" ukimuona" Nitampata wapi" lakini sio hizi za Jeje na mfano wa zile za nyoka pangoni.


Kama tulivyokubaliana Kura asipate.


Ili iwe funzo Kwa Wasanii wa kizazi kinachokuja.


Msanii ambaye ni kioo cha jamii badala aungane na jamii yeye anaungana na serikali. Ajabu hii.
Hii ipo katika nchi yetu pekee.


Hata Marekani wenye muziki wao Wasanii wao huwa upande wa wananchi.


Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
 
WAPENDA HAKI HATUTAMCHAGUA DIAMOND PLATNUM


Na, Robert Heriel


Katika Tuzo za BET Diamond ni moja ya Wasanii wanaowania Tuzo hizo.


Wapenda haki, wanaharakati na Wana mtandao wote kuanzia Facebook, Instagram, JamiiForums, na Twitter Kama tulivyokubaliana hatutampa Kura Diamond Platnum na hatashinda tuzo hizo Kwa sababu ameshindwa kutumia nafasi yake vizuri kuilinda, kuijenga na kuitetea jamii yake.


Diamond hajawahi kutetea jamii ya Watanzania.


Utekaji na mauaji yalivyopamba Moto Diamond alikuwa wakwanza kutoa kibao chenye ujumbe usemao " Acha Nikae kimya" maudhui ya wimbo ule yalilenga kuhafifisha na kutia uoga jamii isipige kelele kuhusiana na vitendo hivyo vya udhalimu.


Diamond ni tofauti kabisa na Wasanii wa Nigeria Kama kina P Square, Burns boy, Davido n.k ambao mara kadhaa walijitokeza kuungana na jamii kuipinga serikali pale inapokosea mpaka kuandamana kabisa.


Diamond hawezi chaguliwa na watu wote walioenda shule, waliostaarabika, wapenda haki na wanaharakati.


Kwa hapa Nchini waliojaribu na wanaojitahidi kutetea haki na kutetea jamii ni kina Ney wamitego, Roma mkatoliki, Profesa Jay miongoni mwa wengine.


Diamond ni Aina ya wanamuziki wanaoiona jamii Kama jamii ya vibushuti sio ajabu ndio maana nyimbo zake nyingi hasa za siku hizi niza vibushuti, zinalenga watu wenye Low IQ.


Diamond Kama angenoga Kama angeimba nyimbo Kama za kipindi kile mathalani "nimpende Nani" ukimuona" Nitampata wapi" lakini sio hizi za Jeje na mfano wa zile za nyoka pangoni.


Kama tulivyokubaliana Kura asipate.


Ili iwe funzo Kwa Wasanii wa kizazi kinachokuja.


Msanii ambaye ni kioo cha jamii badala aungane na jamii yeye anaungana na serikali. Ajabu hii.
Hii ipo katika nchi yetu pekee.


Hata Marekani wenye muziki wao Wasanii wao huwa upande wa wananchi.


Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Akaombe kura Lumumba
 
Bora nimpigie homeboy wa Tarime burnaboy tulkua tunakula wote kichuri kule Tarime
Screenshot_20210531-214810.jpg
 
Mimi nampa eboo tusipangiane maisha na atashinda tu.


Uchawi ni nini ni kumchukia kijana anayeliwakilisha taifa, kisa upuuzi wako usimpe kula

Roho mbaya haijengi

Sent from my Infinix X624B using JamiiForums mobile app

Hakuna aliyekupangia maisha.

Huu ni uzi wa makubaliano yetu wapenda haki, wanaharakati na wanamtandao. Kama uhusiki kaa pembeni.
 
CCM (Ya Dr Bashiru na Prof Polepole) aliokua anawapigia campaign wampitishe sasa Diamomond bila kupingwa BET AWARDS. Wahitimu Shahada ya kuiba kura.

Binafsi, Diamond angekua anachuana kwenye hizo tuzo na "FUNGU LA MAVI", basi ningelipigia kura hilo fungu la mavi, ila sio huyo jamaa. Hatetei jamii wala chochote kwa taifa letu, ila anataka yeye atatetewe;

1) Ana dhalilisha wanawake (Kujaza mimba na kuwaacha), as if yeye ndio rijali peke yake.

2) Akisaidia au kutoa msaada basi lazima ajitangaze, wakati mwenzake Alikiba anasomesha shule na kuwalea mayatima kibao na hajitangazi.

3) Hashughuliki kutetea vijana wasio na ajira kitaifa, waliosoma na hawana ajira. Ajira zake kwa vijana anatoa kwa anaowajua tu.

4) Hashughuliki na kutetea uvunjwaji wa haki za binaadamu, anajifanya hayupo kisiasa ila kwenye campaign anakua mstari wa mbele.

5) Hashughuliki na kupaza sauti juu ya uonevu unaofanywa na viongozi wa mikoa na wilaya.

6) Ana haribu jamii, hasa vijana, kuvaa hereni/vikuku n.k

7) Ana dharau kwa wazee, jinsi alivyomdharau na kumdhalilisha yule Mzee Abdul si jambo zuri. Hata kama sio baba yake mzazi, ila alivyomlea wakati mdogo ni tosha kwa yeye kumheshimu kama baba yake.
 
Mimi nampa eboo tusipangiane maisha na atashinda tu.


Uchawi ni nini ni kumchukia kijana anayeliwakilisha taifa, kisa upuuzi wako usimpe kula

Roho mbaya haijengi

Sent from my Infinix X624B using JamiiForums mobile app
Nimetoa uzi wangu kuhusu haya maujinga wameufuta, kumbe wajinga Sana CDM waje walete hapa michango Yao ambayo huwa haiishi, hivi walitaka hawa wasanii wasienda kutafuta ridhiki, kwani CDM waliwahi kuwaita wakakataa Kuja kwenye kampeni zao, acheni siasa na muziki, kura ya mtu ni siri wanauhakika kama hajawahi kuwapgia kura CDM, hawa wafuasi wa Chademu siwapi tena kura yangu, ni ushabiki wa kijinga tulipofikia, Kifupi Nampa kura Diamond platinum tusipangiane bana
 
Hakuna aliyekupangia maisha.

Huu ni uzi wa makubaliano yetu wapenda haki, wanaharakati na wanamtandao. Kama uhusiki kaa pembeni.
The reason why wanaharakati kuwa mediocre.... Young killer alishaimba hamna mwanaharakati tajiri....unajua sababu?
 
The reason why wanaharakati kuwa mediocre.... Young killer alishaimba hamna mwanaharakati tajiri....unajua sababu?

Endelea kuuliza maswali hapo.

Ujumbe umefika, utekelezaji ndio umebakia.

Sijawahi andika kitu kisifanye kazi
 
Back
Top Bottom