Wapenda haki hatutompa Kura Diamond Platnum kama tulivyokubaliana

Wapenda haki hatutompa Kura Diamond Platnum kama tulivyokubaliana

WAPENDA HAKI HATUTAMCHAGUA DIAMOND PLATNUM


Na, Robert Heriel


Katika Tuzo za BET Diamond ni moja ya Wasanii wanaowania Tuzo hizo.


Wapenda haki, wanaharakati na Wana mtandao wote kuanzia Facebook, Instagram, JamiiForums, na Twitter Kama tulivyokubaliana hatutampa Kura Diamond Platnum na hatashinda tuzo hizo Kwa sababu ameshindwa kutumia nafasi yake vizuri kuilinda, kuijenga na kuitetea jamii yake.


Diamond hajawahi kutetea jamii ya Watanzania.


Utekaji na mauaji yalivyopamba Moto Diamond alikuwa wakwanza kutoa kibao chenye ujumbe usemao " Acha Nikae kimya" maudhui ya wimbo ule yalilenga kuhafifisha na kutia uoga jamii isipige kelele kuhusiana na vitendo hivyo vya udhalimu.


Diamond ni tofauti kabisa na Wasanii wa Nigeria Kama kina P Square, Burns boy, Davido n.k ambao mara kadhaa walijitokeza kuungana na jamii kuipinga serikali pale inapokosea mpaka kuandamana kabisa.


Diamond hawezi chaguliwa na watu wote walioenda shule, waliostaarabika, wapenda haki na wanaharakati.


Kwa hapa Nchini waliojaribu na wanaojitahidi kutetea haki na kutetea jamii ni kina Ney wamitego, Roma mkatoliki, Profesa Jay miongoni mwa wengine.


Diamond ni Aina ya wanamuziki wanaoiona jamii Kama jamii ya vibushuti sio ajabu ndio maana nyimbo zake nyingi hasa za siku hizi niza vibushuti, zinalenga watu wenye Low IQ.


Diamond Kama angenoga Kama angeimba nyimbo Kama za kipindi kile mathalani "nimpende Nani" ukimuona" Nitampata wapi" lakini sio hizi za Jeje na mfano wa zile za nyoka pangoni.


Kama tulivyokubaliana Kura asipate.


Ili iwe funzo Kwa Wasanii wa kizazi kinachokuja.


Msanii ambaye ni kioo cha jamii badala aungane na jamii yeye anaungana na serikali. Ajabu hii.
Hii ipo katika nchi yetu pekee.


Hata Marekani wenye muziki wao Wasanii wao huwa upande wa wananchi.


Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Hii ndio shida ya kuwa na mbunge mmoja , mda mwingi mnajikita kwenye ujinga badala ya kuendeleza chama chenu, kadanganyeni watoto huko nyie ni chadema hakuna wapenda haki wala ukwa
 
Hii ndio shida ya kuwa na mbunge mmoja , mda mwingi mnajikita kwenye ujinga badala ya kuendeleza chama chenu, kadanganyeni watoto huko nyie ni chadema hakuna wapenda haki wala ukwa

Wewe ndio CHADEMA, Acha kunihusisha na vitu visivyoeleweka
 
CCM aliokua anawapigia campaign wampitishe bila kupingwa BET AWARDS.

Binafsi, Diamond angekua anachuana kwenye hizo tuzo na "FUNGU LA MAVI", basi ningelipigia kura hilo fungu la mavi, ila sio huyo jamaa. Hatetei chochote kwa taifa letu, ila anataka yeye atatetewe;

1) Ana dhalilisha wanawake (Kujaza mimba na kuwaacha), as if yeye ndio rijali peke yake.

2) Akisaidia au kutoa msaada basi lazima ajitangaze.

3) Hashughuliki kutetea vijana wasio na ajira kitaifa, waliosoma na hawana ajira.

4) Hashughuliki na kutetea uvunjwaji wa haki za binaadamu.

5) Hashughuliki na kupaza sauti juu ya uonevu unaofanywa na viongozi wa mikoa na wilaya.

6) Ana haribu jamii, hasa vijana, kuvaa hereni/vikuku n.k
hizi nazo hoja? ahahahahaha kweli mmeishiwa mtapa tapa, ebu tuambie mtoto gani Diamond amemkataa ?
 
Akaombe kura Lumumba

20210526_175420.jpg
 
Diamond ni msanii na ana maamuzi yake ya kufanya sanaa kwa upande upi, hizi sababu bado siyo sababu za Diamond kunyimwa kura, kama hautaki kumpigia sema tu lakini siyo kuja na sababu ambazo siyo kimapumbele cha sanaa anayoifanya,kila msani hufanyaa sanaa kulingana na anavyoona inafaa na kwa faida ya jamii yake, ipo siku sasa watu watalazimisha kuimba taarabu.
 
Diamond ni msanii na ana maamuzi yake ya kufanya sanaa kwa upande upi, hizi sababu bado siyo sababu za Diamond kunyimwa kura, kama hautaki kumpigia sema tu lakini siyo kuja na sababu ambazo siyo kimapumbele cha sanaa anayoifanya,kila msani hufanyaa sanaa kulingana na anavyoona inafaa na kwa faida ya jamii yake, ipo siku sasa watu watalazimisha kuimba taarabu.

Umenena vyema.

Na kila kundi la wapiga Kura hupiga Kura Kwa kadiri ya waonavyo.

Hivyo upo sahihi.
 
Huyo jamaa anachojua ni kufundisha watoto wa kiume kuvaa visuruali vya kubana, kutoboa masikio, kusuka rasta, kuimba matusi, kudhalilisha watoto wa kike, kusifia ngono na anasa! Hala lolote ni ujinga tu. Kizazi cha nyoka kitampa kura ila si Mimi aisee.
 
Nmecheki thread nkajua mtoto wa kike kaandika kucheki hiyo profile yake...niseme tu kwa mtoto wa kiume unatabia za kishoga
 
CCM aliokua anawapigia campaign wampitishe bila kupingwa BET AWARDS.

Binafsi, Diamond angekua anachuana kwenye hizo tuzo na "FUNGU LA MAVI", basi ningelipigia kura hilo fungu la mavi, ila sio huyo jamaa. Hatetei chochote kwa taifa letu, ila anataka yeye atatetewe;

1) Ana dhalilisha wanawake (Kujaza mimba na kuwaacha), as if yeye ndio rijali peke yake.

2) Akisaidia au kutoa msaada basi lazima ajitangaze.

3) Hashughuliki kutetea vijana wasio na ajira kitaifa, waliosoma na hawana ajira.

4) Hashughuliki na kutetea uvunjwaji wa haki za binaadamu.

5) Hashughuliki na kupaza sauti juu ya uonevu unaofanywa na viongozi wa mikoa na wilaya.

6) Ana haribu jamii, hasa vijana, kuvaa hereni/vikuku n.k
7) Kamtelekeza baba/Mlezi wake....
 
The reason why wanaharakati kuwa mediocre.... Young killer alishaimba hamna mwanaharakati tajiri....unajua sababu?
Tatizo ni nini hasa? Kale ulikopeleka mboga jombaaa [emoji23] [emoji23]
 
Nmecheki thread nkajua mtoto wa kike kaandika kucheki hiyo profile yake...niseme tu kwa mtoto wa kiume unatabia za kishoga
Naam mkuu huyu jamaa aliyeleta huu uzi ni shoga aliyekubuhu na hapa anajitangaza.. Msamehe bure
 
Endelea kuuliza maswali hapo.

Ujumbe umefika, utekelezaji ndio umebakia.

Sijawahi andika kitu kisifanye kazi
wewe akili kama nzi wa maliwatoni! sijui anaimba nini lakini nampigia kura na ninaendelea kuhamasisha wadau hapa kijana amepambana sana.
 
Huu uzi umekaa kiboya boya Sana......unafikiri kura yako moja nyeusi itabadilisha matokeo....... diamond platnumz kama ni kushinda atashinda Tu na kama ni kushindwa atashinda Tu........usiwe group moja na wapumbavu.......kwenye kampeni za ccm ni Nani asiye jua kuwa ccm wanatoa pesa nyingi kulipa wasanii na ndio sehemu Yao ya kurudisha pesa zao za studio....maana wewe na kubwatuka kwako kote hapa oooh anaimba matusi sijui nini ujawai hata kununua kaseti ya zaikO langa langa au muhidini mwinyishehe.......unataka diamond aje Kura na kulala Kwa BABA yako?? Kulikuwa na wasanii wangapi pale kwenye ccm mpaka iwe ni diamond pekee?? Acha wivu butu kenge wewe pambania maisha yako ilimradi the most high amekupa roho yake na pumzi ........au unafikiri tuzo zile ni kama za kirimanjaro uku bongo??.........Kule hakuna fitna wala kujuana kama unajua unajua Tu.....Acha wivu mchko wew
 
Back
Top Bottom