kurlzawa
JF-Expert Member
- Jan 23, 2018
- 16,695
- 20,633
Na xhaka humuduNaunga mkono hoja ,hawezi kushinda Domondi huko BET,awaambie kina pole pole wampigie kura.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na xhaka humuduNaunga mkono hoja ,hawezi kushinda Domondi huko BET,awaambie kina pole pole wampigie kura.
Unazingua.toa namba hiyo banaPedesheee ndama taratibu bas lol, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😄😄 tena unaweza kukuta alieandika hvyo ni mtu mwenye familia au cheo kizur tu kwenye chama cha siasa aiseeee.Wao wanahubiri demokrasia ila hawataki wengine wawe na hyo demokrasia kazi kweli kweli.🤣🤣🤣🤣
Jamaa anaongea kwa uchungu kweli kisa Diamond kumtia mimba mwanamke mwenye akili zake, sijui alitaka hio mimba abebeshwe yeye mleta mada au dada zake
Umeandika points sana kama waelewa wataelewa.Ukihubiri utengano ukitengwa usilalamike.
Jpm kila siku mlikuwa mnalia kuwa analeta mpasuko wa kitaifa kwa kuwapendelea ccm. Yani alikuwa anaongoza taifa kwa kufuata itikadi za kichama. Hata kwenye ziara alikuwa akifika sehemu anauliza kama diwani au mbunge ni wa ccm.
Chadema tulilipinga hili sana la kuwagawa watanzania kwa itikadi za vyama vyao.
Lakini naona sasa wanachadema wenzangu mnaelekea kule kule kwamba asiye upande wetu ni adui yetu.
Kama ni kusimamia haki tuisimamie pasipo kujali anayebidi kupata hiyo haki ni nani. Siyo tu kupiga kelele bali tu sisi tunapominywa ila kama kaminywa mwingine tuone sawa.
Diamond na mtanzania yeyote ana haki ya kuwa shabiki/mwanachama wa chama chochote na hiyo haimfanyi kuwa adui mpaka ianzishwe kampeni ya kwamba kwakuwa hafuati itikadi zetu za kisiasa basi asipigiwe kura. Kwa kufanya hivyo hatuna tofauti na ccm wakisema kuwa serikali ya ccm haitampatia kazi mtu yoyote ambaye ni mwanachama wa upunzani.
Karibu Makande mkuuKalia chuki hapo.
Ujumbe huu haukuhusu.
Chuki Kwa kipi hasa?
Au umasikini unakusumbua?
Kila mtu ashinde mechi zakeWAPENDA HAKI HATUTAMCHAGUA DIAMOND PLATNUM
Na, Robert Heriel
Katika Tuzo za BET Diamond ni moja ya Wasanii wanaowania Tuzo hizo.
Wapenda haki, wanaharakati na Wana mtandao wote kuanzia Facebook, Instagram, JamiiForums, na Twitter Kama tulivyokubaliana hatutampa Kura Diamond Platnum na hatashinda tuzo hizo Kwa sababu ameshindwa kutumia nafasi yake vizuri kuilinda, kuijenga na kuitetea jamii yake.
Diamond hajawahi kutetea jamii ya Watanzania.
Utekaji na mauaji yalivyopamba Moto Diamond alikuwa wakwanza kutoa kibao chenye ujumbe usemao " Acha Nikae kimya" maudhui ya wimbo ule yalilenga kuhafifisha na kutia uoga jamii isipige kelele kuhusiana na vitendo hivyo vya udhalimu.
Diamond ni tofauti kabisa na Wasanii wa Nigeria Kama kina P Square, Burns boy, Davido n.k ambao mara kadhaa walijitokeza kuungana na jamii kuipinga serikali pale inapokosea mpaka kuandamana kabisa.
Diamond hawezi chaguliwa na watu wote walioenda shule, waliostaarabika, wapenda haki na wanaharakati.
Kwa hapa Nchini waliojaribu na wanaojitahidi kutetea haki na kutetea jamii ni kina Ney wamitego, Roma mkatoliki, Profesa Jay miongoni mwa wengine.
Diamond ni Aina ya wanamuziki wanaoiona jamii Kama jamii ya vibushuti sio ajabu ndio maana nyimbo zake nyingi hasa za siku hizi niza vibushuti, zinalenga watu wenye Low IQ.
Diamond Kama angenoga Kama angeimba nyimbo Kama za kipindi kile mathalani "nimpende Nani" ukimuona" Nitampata wapi" lakini sio hizi za Jeje na mfano wa zile za nyoka pangoni.
Kama tulivyokubaliana Kura asipate.
Ili iwe funzo Kwa Wasanii wa kizazi kinachokuja.
Msanii ambaye ni kioo cha jamii badala aungane na jamii yeye anaungana na serikali. Ajabu hii.
Hii ipo katika nchi yetu pekee.
Hata Marekani wenye muziki wao Wasanii wao huwa upande wa wananchi.
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Mkuu sisi kama mashabiki wa chelsea bado tuna deni na wewe. Ulituahidi masaburi lakini mwisho ukatokomea kusikojulikana. Kwahiyo sisis kama mashabiki wa chelsea tunaomba ututimizie ile ahadi yetu pendwa kama ulivyoahidi.Kwani lini mmewai mpa kura na akashinda.
Ina maan kule PM hujaona au? [emoji23][emoji23][emoji23] wee jisahaulishe tyuuh haya bhana, ma fix zako hizo. LolUnazingua.toa namba hiyo bana
Miziki yake tutacheza lakini kura nooo 😁😁😁WAPENDA HAKI HATUTAMCHAGUA DIAMOND PLATNUM
Na, Robert Heriel
Katika Tuzo za BET Diamond ni moja ya Wasanii wanaowania Tuzo hizo.
Wapenda haki, wanaharakati na Wana mtandao wote kuanzia Facebook, Instagram, JamiiForums, na Twitter Kama tulivyokubaliana hatutampa Kura Diamond Platnum na hatashinda tuzo hizo Kwa sababu ameshindwa kutumia nafasi yake vizuri kuilinda, kuijenga na kuitetea jamii yake.
Diamond hajawahi kutetea jamii ya Watanzania.
Utekaji na mauaji yalivyopamba Moto Diamond alikuwa wakwanza kutoa kibao chenye ujumbe usemao " Acha Nikae kimya" maudhui ya wimbo ule yalilenga kuhafifisha na kutia uoga jamii isipige kelele kuhusiana na vitendo hivyo vya udhalimu.
Diamond ni tofauti kabisa na Wasanii wa Nigeria Kama kina P Square, Burns boy, Davido n.k ambao mara kadhaa walijitokeza kuungana na jamii kuipinga serikali pale inapokosea mpaka kuandamana kabisa.
Diamond hawezi chaguliwa na watu wote walioenda shule, waliostaarabika, wapenda haki na wanaharakati.
Kwa hapa Nchini waliojaribu na wanaojitahidi kutetea haki na kutetea jamii ni kina Ney wamitego, Roma mkatoliki, Profesa Jay miongoni mwa wengine.
Diamond ni Aina ya wanamuziki wanaoiona jamii Kama jamii ya vibushuti sio ajabu ndio maana nyimbo zake nyingi hasa za siku hizi niza vibushuti, zinalenga watu wenye Low IQ.
Diamond Kama angenoga Kama angeimba nyimbo Kama za kipindi kile mathalani "nimpende Nani" ukimuona" Nitampata wapi" lakini sio hizi za Jeje na mfano wa zile za nyoka pangoni.
Kama tulivyokubaliana Kura asipate.
Ili iwe funzo Kwa Wasanii wa kizazi kinachokuja.
Msanii ambaye ni kioo cha jamii badala aungane na jamii yeye anaungana na serikali. Ajabu hii.
Hii ipo katika nchi yetu pekee.
Hata Marekani wenye muziki wao Wasanii wao huwa upande wa wananchi.
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Umasikini wako haujasababushwa na DiamondCCM (Ya Dr Bashiru na Prof Polepole) aliokua anawapigia campaign wampitishe bila kupingwa BET AWARDS. Wamehitimu Shahada ya kuiba kura.
Binafsi, Diamond angekua anachuana kwenye hizo tuzo na "FUNGU LA MAVI", basi ningelipigia kura hilo fungu la mavi, ila sio huyo jamaa. Hatetei jamii wala chochote kwa taifa letu, ila anataka yeye atatetewe;
1) Ana dhalilisha wanawake (Kujaza mimba na kuwaacha), as if yeye ndio rijali peke yake.
2) Akisaidia au kutoa msaada basi lazima ajitangaze, wakati mwenzake Alikiba anasomesha shule na kuwalea mayatima kibao na hajitangazi.
3) Hashughuliki kutetea vijana wasio na ajira kitaifa, waliosoma na hawana ajira. Ajira zake kwa vijana anatoa kwa anaowajua tu.
4) Hashughuliki na kutetea uvunjwaji wa haki za binaadamu, anajifanya hayupo kisiasa ila kwenye campaign anakua mstari wa mbele.
5) Hashughuliki na kupaza sauti juu ya uonevu unaofanywa na viongozi wa mikoa na wilaya.
6) Ana haribu jamii, hasa vijana, kuvaa hereni/vikuku n.k
7) Ana dharau kwa wazee, jinsi alivyomdharau na kumdhalilisha yule Mzee Abdul si jambo zuri. Hata kama sio baba yake mzazi, ila alivyomlea wakati mdogo ni tosha kwa yeye kumheshimu kama baba yake.
Umasikini ni mbaya sanaMiziki yake tutacheza lakini kura nooo [emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mtu unaandika kwa uchungu hivi kisa kumuonea wivu mwanaume kutia mabint mimba?CCM (Ya Dr Bashiru na Prof Polepole) aliokua anawapigia campaign wampitishe bila kupingwa BET AWARDS. Wamehitimu Shahada ya kuiba kura.
Binafsi, Diamond angekua anachuana kwenye hizo tuzo na "FUNGU LA MAVI", basi ningelipigia kura hilo fungu la mavi, ila sio huyo jamaa. Hatetei jamii wala chochote kwa taifa letu, ila anataka yeye atatetewe;
1) Ana dhalilisha wanawake (Kujaza mimba na kuwaacha), as if yeye ndio rijali peke yake.
2) Akisaidia au kutoa msaada basi lazima ajitangaze, wakati mwenzake Alikiba anasomesha shule na kuwalea mayatima kibao na hajitangazi.
3) Hashughuliki kutetea vijana wasio na ajira kitaifa, waliosoma na hawana ajira. Ajira zake kwa vijana anatoa kwa anaowajua tu.
4) Hashughuliki na kutetea uvunjwaji wa haki za binaadamu, anajifanya hayupo kisiasa ila kwenye campaign anakua mstari wa mbele.
5) Hashughuliki na kupaza sauti juu ya uonevu unaofanywa na viongozi wa mikoa na wilaya.
6) Ana haribu jamii, hasa vijana, kuvaa hereni/vikuku n.k
7) Ana dharau kwa wazee, jinsi alivyomdharau na kumdhalilisha yule Mzee Abdul si jambo zuri. Hata kama sio baba yake mzazi, ila alivyomlea wakati mdogo ni tosha kwa yeye kumheshimu kama baba yake.
Kila mtu ashinde mechi zake
Hamna kitu PM yangu. Niwekee hapa hapa basi chap halafu unaifuta. Labda PM yangu ina shida.Ina maan kule PM hujaona au? [emoji23][emoji23][emoji23] wee jisahaulishe tyuuh haya bhana, ma fix zako hizo. Lol
Avatar yako tu inaonyesha wewe ni kizazi cha nyoka. Basi kama ni tofauti basi we mwenzetu kizazi cha Sokwe[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Huyo jamaa anachojua ni kufundisha watoto wa kiume kuvaa visuruali vya kubana, kutoboa masikio, kusuka rasta, kuimba matusi, kudhalilisha watoto wa kike, kusifia ngono na anasa! Hala lolote ni ujinga tu. Kizazi cha nyoka kitampa kura ila si Mimi aisee.
Usiwe na hasira kura yako haiitajiki mkuu.Etii wapenda haki, my foot
Unayofanya we ndo mtenda haki au?
Kila mtu afanye yake, mi nampigia ashinde asishinde fresh tuu kwan Nini!
Acha chuki binafsi