clixus
JF-Expert Member
- Dec 4, 2016
- 813
- 628
Mwezi uliopita kwa wale wafatiliaji na wapenda mziki wa hiphop kutokea majuu huko USA nadhani mlifatilia Tuzo za BET
Ila tangu Tuzi hizo zifanyike niliwaza mengi, kwenye category moja ya Upcoming Artist ambapo alishinda Lilbaby na sio Juice World
Hivi ni kweli Lilbaby mkali kuliko Juice World?
Ila tangu Tuzi hizo zifanyike niliwaza mengi, kwenye category moja ya Upcoming Artist ambapo alishinda Lilbaby na sio Juice World
Hivi ni kweli Lilbaby mkali kuliko Juice World?