Light saber
JF-Expert Member
- Nov 3, 2017
- 4,368
- 7,935
Yule jamaa ni habari nyingine ila sijui kwa nini hajawahi kuwa nominated kwenye tuzo nyingi...Nf ni noma na nusu anajua sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yule jamaa ni habari nyingine ila sijui kwa nini hajawahi kuwa nominated kwenye tuzo nyingi...Nf ni noma na nusu anajua sana
acha tu,huko mbele hakuna hiphop,akina bausta na dre itakua wanasikitika sana,kwanza hata hao madogo siwajui,nilipoona sijui akina meek mill wanasifiwa nikaumia roho muziki nilioupenda na kunijenga umekufa kabla wanangu hawajamaliza elimu ya msingiLinapokuja swala la Hip Hop. Najuta kuishi mpaka kushuhudia kizazi hichi cha kina Lilpoop.
ni kweli kama Nuhu mziwanda etJuice World akipata nafasi ya kufanya collable na Ali Kiba. Nyota yake lazima ing'are.
ni kweli kama Nuhu mziwanda etJuice World akipata nafasi ya kufanya collable na Ali Kiba. Nyota yake lazima ing'are.
Kama Voice wonderni kweli kama Nuhu mziwanda et
suspended from the school scared to home,Mwezi uliopita kwa wale wafatiliaji na wapenda mziki wa hiphop kutokea majuu huko USA nadhani mlifatilia Tuzo za BET
Ila tangu Tuzi hizo zifanyike niliwaza mengi, kwenye category moja ya Upcoming Artist ambapo alishinda Lilbaby na sio Juice World
Hivi ni kweli Lilbaby mkali kuliko Juice World?
Lil bow wowLil nayemjua ni Lil Wayne peke yake
Hawa wengine sijui
Lil yatch
Lil biby
Lil nas x
Lil pump
Lil baby...
Ni kina Lilian tu
So Wakazi wa vitongoji kadhaa mkija njoo Makinidizasta vina ni akina joh sabini
sio hio tu meek mill huwezi fananisha na huyo gey wa kiarabuMeek mill 1942 flows jamaa kapoteza mbaya
Mkuu naomba nikufariji tupo wengi dunia inaspeed sana sa msanii kama sixnine hata sijawahi muelewaduh kweli nimekuwa muhenga me hadi leo wasanii latest kweny hiphop najua ni kina kendrik lama, meekmil, future
Nipo namsikia chindoman ft abbas kumbafHip-Hop haifi Kaka kina da baby ndo kwanza Moto inaanza.
We jamaa unautani, ndio hiphop hizo?![]()