ilala yetu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 1,451
- 2,348
Mkuu huyu jamaa kafariki kweli,mmejuajeR.i.0
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu huyu jamaa kafariki kweli,mmejuajeR.i.0
Unaelewa kinachoendelea kweli???? muda huu huyu ni marehemu 😭😭😭😭Pole Mkuu bado una pakuanzia. Chukua mkopo weka dhamana nyumba. Walau million tano. Swala la ufanye biashara gani ni swala lingine. Pia jiungamanishe kwenye maombi huko sijui Mwamposa sijui nani hukoo.
Marehemu kafariki lini mkuu,na taarifa mmezipata wapi mkuuUnaelewa kinachoendelea kweli???? muda huu huyu ni marehemu 😭😭😭😭
Huyu mtubsasa ni R.I.P mkuuPole Mkuu bado una pakuanzia. Chukua mkopo weka dhamana nyumba. Walau million tano. Swala la ufanye biashara gani ni swala lingine. Pia jiungamanishe kwenye maombi huko sijui Mwamposa sijui nani hukoo.
Amefariki lini?Huyu mtubsasa ni R.I.P mkuu
LeoAmefariki lini?
Kuna member humu ndo katoa hiyo taarifa inaonekana wanajuanaMarehemu kafariki lini mkuu,na taarifa mmezipata wapi mkuu
Kafanyaje Jamani?ajali au
Amefariki watu wa karibu wametujulisha humuMkuu huyu jamaa kafariki kweli,mmejuaje
Dah rip kamanda...Amefariki watu wa karibu wametujulisha humu
Mtoa mada mjasiri na mali amefariki leo.Tulia hayo yataisha. Kwa ugumu huo mbele iko nuru. Usikate tamaa kabisa. Wanaume tunasema tunakufa tukipambana bila kupunguza speed.
Usiwe na Hofu. Pole sana
AMEKUFA USHAURI WA NINITulia hayo yataisha. Kwa ugumu huo mbele iko nuru. Usikate tamaa kabisa. Wanaume tunasema tunakufa tukipambana bila kupunguza speed.
Usiwe na Hofu. Pole sana
I thought is depressionKafanyaje Jamani?ajali au
RIP
Si ndio ni eshtuka sikusoma uzi qa kifo. 😭😭😭AMEKUFA USHAURI WA NINI
Apumzike Kwa amaniI thought is depression
Maana kama siku 5 zilizopita aliweka Uzi wake kutokana na Hali ngumu anayopitia.
Alisema anaona kama mwisho wake umefika