Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiwaiga walimwengu unaweza ingia choo cha kike. Wengine wanatolea to stress hapa ila huku uraiani wanapendana na wanaishi vizuri. We unafanya masihara kulala kama panga store.Kumbe huku wote mmeoa
Sasa ile timu kataa ndoa ipo wapi??
Za kuambiwa changanya na zako
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
ni nani alileta ilo wazo kati yenu wawili binti yanguTuna misemo yetu ambayo mwingine hawezi elewa,tunaweza kukusengenya upo hapo hapo🥲
Wewe na yeye ni kama mimi na yeye, hatuwezi fanana mionekano, ila tabia tumeanza kuendana, mfano mimi nimeanza kuwa mpole, ukali wote na machachari vinafifia kadri siku zinavyozidi kusonga.Mi mweusi tiii ye Mweupe peee Nahis itatuchukua karne kufanana... Ila tabia kama kufiri kwa haraka na kuchukua maamuzi naona na yeye anaanza kuwa kama mim
Sasa na alivyo na career yake hutokaa uamini anavyodeka!
Kuna siku sijui aliniudhi nini nikakasirika sikumwambia kama nampenda, akanitumia VN analalamika mpaka kesho nikiisikiliza nacheka sana!
Hamna hata aliyeleta wazo tumejikuta tu, automatically Mtu anapata jinani nani alileta ilo wazo kati yenu wawili binti yangu
ok nimejua pakunzia nikija kuwatembeleaHamna hata aliyeleta wazo tumejikuta tu, automatically Mtu anapata jina
😅😅😅😅Nina wasiwasi umefanana makalio na mkeo