Eddy Love
JF-Expert Member
- Jul 25, 2011
- 13,654
- 8,564
zote sawa mkuuMleta mada anaongelea HORROW movies kama drag me to hell,conjuring, the ring za mashetani na majini
But watu mnaongelea za KUOGOFYA kama hostel,saw na wrong turn
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
zote sawa mkuuMleta mada anaongelea HORROW movies kama drag me to hell,conjuring, the ring za mashetani na majini
But watu mnaongelea za KUOGOFYA kama hostel,saw na wrong turn
Nimeshaziona hizo mpnz, mana me ni mpenzi wa movie haijapata kutokea, na masomo ningekuwaga hivyosahizi ningekuwa mbali sana 🙂Mama Tamu Sana Yaan Watoto Wanalelewa Na Demon?
Tafuta Sinister Na Orphan.
Hope Hutojutia.
upo ww?
nimeshaziona hizo mpnz, mana me ni mpenzi wa movie haijapata kutokea, na masomo ningekuwaga hivyosahizi ningekuwa mbali sana 🙂
Hiyo SAW hapana aisee,niliiangalia kwa dk20 tu niliyoyaona humo hata CD yenyewe nilikoitupa sikumbuki.1.THE HOSTEL
2.SAW
3.WRONG TURN
4.FINAL DESTINATION
5.SEPTEMBER 2012
6.GHOST SHIP
hizi ndo ukitazama zinaogofya sana ila siyo hiyo uliyotaja
Ha ha ha mbona unawaka mkuu au goma lako? Mie nimemmiss tuMkuu Unazingua Acha Ufigisu Hapa
Dondosha Movie Watu Wazichek.
SAW huwezi kutazama usiku hata siku mojaHiyo SAW hapana aisee,niliiangalia kwa dk20 tu niliyoyaona humo hata CD yenyewe nilikoitupa sikumbuki.
ha ha ha mbona unawaka mkuu au goma lako? mie nimemmiss tu
Hiyo SAW hapana aisee,niliiangalia kwa dk20 tu niliyoyaona humo hata CD yenyewe nilikoitupa sikumbuki.
mi niichungulie hyo the hostel kwanzaNgoja Niichek Wrong Turn.
Sijui Kama Itaizidi Conjuring.
Ngoja nikaitafute hii maana siku hizi sioni muvi ya kunitisha, zimenilemaza, yaani naona kawaida sana!SAW huwezi kutazama usiku hata siku moja
Mmh ha ha yani mimi sina hata sense za kuogopa au kustuka sjui kwa nn labda kwa sababu nishashuhudia matukio ya ajabu na kutisha ili nigharimu miaka 7, hata nione mtu anachinjwa karibu ntageuka kuangalia ntaendelea na safari yangu.
mi niichungulie hyo the hostel kwanza
Ngoja nipakue wrong turn
Ngoja nikaitafute hii maana siku hizi sioni muvi ya kunitisha, zimenilemaza, yaani naona kawaida sana!
Natafuta muvi inayotisha sana yaani niiangalie usiku kwenye sound system gizani.
Hiyo muvi ni hatari asee. Yule bibi Mrs Ganosh alipokwenda benki kwa yule mdada. Iko vizuri sana ila inatisha mno.My best was DRAG ME TO HELL...events occurred unexpected plus sound effect was good much appreciated in theater...0% blood 0%nudity 100% adrenaline surge