Wapenzi wa Hamas Afrika Kusini wateka eneo la wafuasi wa Israel na kulikalia. Polisi waingilia kati kuwaokoa

Mwafrika(mweusi) ni ngozi ya tako,kabisa,Sudan waafrika weusi waliuliwa, na wanaendelea kuuliwa na Arabs Koko, usikii wakiandamana,
Leo Arabs wanauliwa, jitu jeusi linaumia!
 
Mwafrika(mweusi) ni ngozi ya tako,kabisa,Sudan waafrika weusi waliuliwa, na wanaendelea kuuliwa na Arabs Koko, usikii wakiandamana,
Leo Arabs wanauliwa, jitu jeusi linaumia!
Achana na mawazo ya kibaguzi wa rangi.Nani kakwambia Sudani ni vita vya weupe kwa weusi.Na nani kakwmbia Gaza hakuna watu weusi.Juzi kwenye msururu wa watu wanaoelekea kusini nimemuona muarabu mweusi kama sisi akiongoza na mke wake mweupe na watoto wake.Huyo ni mpalestina halisi.
 
tatizo huyo muarabu mweusi ni muislam
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…