Wapenzi wa Mazda Atenza, average fuel consumption ya 21 km/L mnaionaje?

Wapenzi wa Mazda Atenza, average fuel consumption ya 21 km/L mnaionaje?

Sawa Rumion ni 1.8L ila Subaru ni 2.0L...Kwenye comparison fairly ulitakiwa uongelee gari yenye 2.0L
Nimeongelea hizo gari 2 (Rumion na Forester) ni kitokana na comment ya huyo member (angalia post #23) kwamba alikuwa na Ruminio na sasa anayo Forester.

Rumion ziko za cc 1,500 na cc 1,800 na yake ni cc 1,500 ukilinganisha na Subaru Forester yenye cc. 2,000 tofauti ya cc ni 500
 
Dah kumbe bado ninasafar ndefu katika kutafuta pesa
🤣 shida vijana hamtak kuanzia gari ya bei ya kawaida, ukisoma uzi zake jamaa huyo gari yake ya kwanza alinunua 8m kama ckosei..... so mm unaweza ukawa una ndoto ya gari fulan lakin unaweza ukachukua gari ndogo then baadae una iuza na kuchukua gari nyingine mpaka unafikia lengo
 
🤣 shida vijana hamtak kuanzia gari ya bei ya kawaida, ukisoma uzi zake jamaa huyo gari yake ya kwanza alinunua 8m kama ckosei..... so mm unaweza ukawa una ndoto ya gari fulan lakin unaweza ukachukua gari ndogo then baadae una iuza na kuchukua gari nyingine mpaka unafikia lengo
Umeongea kitu cha ukweli na msingi sana.

Vipato vya kawaida tunaanza na hizi Runx, Corolla, IST, etc ambazo used unaweza kupata Mil 7-10 kali kabisa.
 
21km/L
Hiyo imekaa poa sana, ingekuwa ni hybrid nadhani balaa lingeongezeka, hapo ingekula karibia 35km/L huko, ama hiyo gari ni hybrid kaka?

Kwa diesel pia sishangai sana, nilikuwa na xtrail ya diesel, ulaji wake haukuwa kama hizi za petrol, kwa mwaka 2021, kwa mafuta ya laki unaenda dar to dom na ukifika huko, unapiga misele mpaka unajiuliza gari ina kisima cha wese, na kurudi unaweka wese la laki ukifika dar, misele ya kutosha.
 
Hapo unanunua kwa Mil 12 na TRA unakuta wanataka Mil 12
Kaka kama hutojali please share safari yako ya kununua hii mazda i mean ulipoagiza gharama na tra je ulitumia agent? Au ulipia mwenyew na kwenda kufata mwenyew na changamoto yake
Pia usisahau kututajia mwaka wa hio gari na kodi maan izo backlight mzee so sick

Asante
 
Kaka kama hutojali please share safari yako ya kununua hii mazda i mean ulipoagiza gharama na tra je ulitumia agent? Au ulipia mwenyew na kwenda kufata mwenyew na changamoto yake
Pia usisahau kututajia mwaka wa hio gari na kodi maan izo backlight mzee so sick

Asante
Mkuu. Haitahitaji uzi hii nitakuandikia tu hapa hapa:

Hiyo ni Atenza 2016, engine Diesel cc2,200

Baadhi ya info mfano exactly bei naweza kua sina kumbukumbu maana niliagiza mwaka na kidogo ushaisha. Ila naamini ilikua Mil 14-15 hivi.

Ukitaka Atenza cheap, ni kuanzia 2014 kurudi nyuma ila ndani kuna cosmetics utazimiss. Mfano angalia hizi picha mbili, za Atenza ya 2014 juu na ya 2016 chini.
IMG_0090.jpeg
IMG_0089.jpeg

Unaweza usione tofauti, ila angalia iyo screen ilivokaa, angalia handbrake na angalia iko kidufe cha kucontrol multimedia pembeni ya gear.

Okay.

Kuhusu kuagiza, nilikaa mwenyewe kwenye simu, siku hizi rahisi sana. Dollar zilikua zinasumbua nikaenda kulipia Beforward ofisini kwao. Rate haikua nzuri, bank walikua $1 ni Tsh 2350 nadhani pale nilipigwa Tsh 2450/= nawaza sahivi $1 ni Tsh 2700 hadi mwili unasisimka.

Janja janja za kuchagua gari online tutadiscuss siku nyingine lakini nilivopata nikalipia basi the rest unakua unafuata muongozo wa Beforwad

Walivotuma document nikalipia kodi. Ilikua ndogo sana arround Mil 7.5 sahivi imeshoot sana. Inafika Mil 10+ nadhani sababu ya dollar na TRA wenyewe.

Kabla ya kulipa kodi nikakomaa na boss wangu nikaomba exemptions. Walinitolea ile importy duty nadhani ni $1300 ilikua so the rest ndio nilipa arround Mil 5.

Ilivofika agent akatoa, ila hakusajili nikaangaika kwanza na chasis number kama miezi hivi ndio nikaweka namba.

Simple tu.
 
21km/L
Hiyo imekaa poa sana, ingekuwa ni hybrid nadhani balaa lingeongezeka, hapo ingekula karibia 35km/L huko, ama hiyo gari ni hybrid kaka?

Kwa diesel pia sishangai sana, nilikuwa na xtrail ya diesel, ulaji wake haukuwa kama hizi za petrol, kwa mwaka 2021, kwa mafuta ya laki unaenda dar to dom na ukifika huko, unapiga misele mpaka unajiuliza gari ina kisima cha wese, na kurudi unaweka wese la laki ukifika dar, misele ya kutosha.
Diesel iko poa sana kwa wese mkali.

Kuhusu Hybrid hizi Atenza hazina ila mdogo wake Axela (Mazda 3) zipp hybrid zake.

Tatizo ni risk maana Mazda kwenye Hybrid sio King
 
Umetisha
Mkuu. Haitahitaji uzi hii nitakuandikia tu hapa hapa:

Hiyo ni Atenza 2016, engine Diesel cc2,200

Baadhi ya info mfano exactly bei naweza kua sina kumbukumbu maana niliagiza mwaka na kidogo ushaisha. Ila naamini ilikua Mil 14-15 hivi.

Ukitaka Atenza cheap, ni kuanzia 2014 kurudi nyuma ila ndani kuna cosmetics utazimiss. Mfano angalia hizi picha mbili, za Atenza ya 2014 juu na ya 2016 chini.
View attachment 3112369View attachment 3112370
Unaweza usione tofauti, ila angalia iyo screen ilivokaa, angalia handbrake na angalia iko kidufe cha kucontrol multimedia pembeni ya gear.

Okay.

Kuhusu kuagiza, nilikaa mwenyewe kwenye simu, siku hizi rahisi sana. Dollar zilikua zinasumbua nikaenda kulipia Beforward ofisini kwao. Rate haikua nzuri, bank walikua $1 ni Tsh 2350 nadhani pale nilipigwa Tsh 2450/= nawaza sahivi $1 ni Tsh 2700 hadi mwili unasisimka.

Janja janja za kuchagua gari online tutadiscuss siku nyingine lakini nilivopata nikalipia basi the rest unakua unafuata muongozo wa Beforwad

Walivotuma document nikalipia kodi. Ilikua ndogo sana arround Mil 7.5 sahivi imeshoot sana. Inafika Mil 10+ nadhani sababu ya dollar na TRA wenyewe.

Kabla ya kulipa kodi nikakomaa na boss wangu nikaomba exemptions. Walinitolea ile importy duty nadhani ni $1300 ilikua so the rest ndio nilipa arround Mil 5.

Ilivofika agent akatoa, ila hakusajili nikaangaika kwanza na chasis number kama miezi hivi ndio nikaweka namba.

Simple tu.
 
Back
Top Bottom