Wapenzi wa Mazda Atenza, average fuel consumption ya 21 km/L mnaionaje?

Wapenzi wa Mazda Atenza, average fuel consumption ya 21 km/L mnaionaje?

Hebu tupeane na ukweli kuhusu madhaifu mengine...naona imenivutia
Mad Max
Hadi sasa mwaka na nusu sijaona challenge. Issue ya DPF uwa napambana nayo kwa kuendesha sana atleast mara moja kwa week 2 hivi, pia nishajua after every 150km inataka regeneration kwahiyo job-home nikipiga week nzima basi naitafutia Bagamoyo mara moja, najitahidi diesel niweke safi na taa isiwake, nimekua mzembe this time kwenye oil change ila jitahidi na utumie premium oil natumiaga 5w30 ACEA C3 sahivi nataka nijaribu Liquimolly, filter kila oil change (oil inataka 5L kila lita almost 20k na filter 20k) the rest mi nikiona tuta kubwa siendi maana iko na ground clearance ndogo..
 
Mkuu. Haitahitaji uzi hii nitakuandikia tu hapa hapa:

Hiyo ni Atenza 2016, engine Diesel cc2,200

Baadhi ya info mfano exactly bei naweza kua sina kumbukumbu maana niliagiza mwaka na kidogo ushaisha. Ila naamini ilikua Mil 14-15 hivi.

Ukitaka Atenza cheap, ni kuanzia 2014 kurudi nyuma ila ndani kuna cosmetics utazimiss. Mfano angalia hizi picha mbili, za Atenza ya 2014 juu na ya 2016 chini.
View attachment 3112369View attachment 3112370
Unaweza usione tofauti, ila angalia iyo screen ilivokaa, angalia handbrake na angalia iko kidufe cha kucontrol multimedia pembeni ya gear.

Okay.

Kuhusu kuagiza, nilikaa mwenyewe kwenye simu, siku hizi rahisi sana. Dollar zilikua zinasumbua nikaenda kulipia Beforward ofisini kwao. Rate haikua nzuri, bank walikua $1 ni Tsh 2350 nadhani pale nilipigwa Tsh 2450/= nawaza sahivi $1 ni Tsh 2700 hadi mwili unasisimka.

Janja janja za kuchagua gari online tutadiscuss siku nyingine lakini nilivopata nikalipia basi the rest unakua unafuata muongozo wa Beforwad

Walivotuma document nikalipia kodi. Ilikua ndogo sana arround Mil 7.5 sahivi imeshoot sana. Inafika Mil 10+ nadhani sababu ya dollar na TRA wenyewe.

Kabla ya kulipa kodi nikakomaa na boss wangu nikaomba exemptions. Walinitolea ile importy duty nadhani ni $1300 ilikua so the rest ndio nilipa arround Mil 5.

Ilivofika agent akatoa, ila hakusajili nikaangaika kwanza na chasis number kama miezi hivi ndio nikaweka namba.

Simple tu.
Ulikwepaje import duty? Ni kitu kinawezekana kama ukiongea na watu vzr au inakuaje😂😂 tuokoe
 
CIF kuanzia $4300 hadi 5500 kutegemea na mwaka, condition etc.

TRA nao wanataka Milion 9 hadi Million 13 kutegemea na mwaka.
Ila TRA wanatukwamisha sana kumiliki chuma kali kali basi tu, yaani huo ushuru napata ka passo kadogo kama nyongeza
 
Ila TRA wanatukwamisha sana kumiliki chuma kali kali basi tu, yaani huo ushuru napata ka passo kadogo kama nyongeza
Na mpango wa kushusha ata hawana.
 
Na mpango wa kushusha ata hawana.
TRA wamepeg ushuru kwenye dollar. Ingawa unalipa kwa shiiling ila ni kwa thamani ya dollar siku husika. Usishangae gari ya ushuru wa million 10 leo next October ukalipa 13 million.
 
Ulikwepaje import duty? Ni kitu kinawezekana kama ukiongea na watu vzr au inakuaje😂😂 tuokoe
Hhahahaa
Mbona iko open, watumishi wa serikali ukiagiza gari liwe na chini ya miaka 8.
 
TRA wamepeg ushuru kwenye dollar. Ingawa unalipa kwa shiiling ila ni kwa thamani ya dollar siku husika. Usishangae gari ya ushuru wa million 10 leo next October ukalipa 13 million.
Kweli kitu kibaya sana.
 
Na sioni dollar ikishuka Zaidi ya kupanda. By December next year itakuwa 4000
 
Average au highway?
6 to 7.2/100km/l hii nimeitoa kwenye sites mbalimbali ,ila rate yake ndio hiyo. Real practical hii siwezi kuiongelea kwa sasa,ila nina mpango wa kuvuta Impreza 2015-18,Japo kuna wana wengi wananiambia ni chukue RVR.
 
Yeah aisee. Sema uwe na msemo mmoja kichwani, it’s about a journey not a destination. Itakusaidia kuenjoy safari na sio kukimbia kimbia ufike unakoenda.

Na ukiwa na co-pilot unyama sana, kazi yake kucontrol AC, kubadirisha nyimbo, kukupigisha story, kujibu msg zako, nk.
Nimeyapenda hayo majukumu ya co-pilot!!!....itapendeza hasa akiwa ni wife akiwa akajibu hizo meseji!!!
 
Kaka kama hutojali please share safari yako ya kununua hii mazda i mean ulipoagiza gharama na tra je ulitumia agent? Au ulipia mwenyew na kwenda kufata mwenyew na changamoto yake
Pia usisahau kututajia mwaka wa hio gari na kodi maan izo backlight mzee so sick

Asante
vuta chuma
 
Mkuu. Haitahitaji uzi hii nitakuandikia tu hapa hapa:

Hiyo ni Atenza 2016, engine Diesel cc2,200

Baadhi ya info mfano exactly bei naweza kua sina kumbukumbu maana niliagiza mwaka na kidogo ushaisha. Ila naamini ilikua Mil 14-15 hivi.

Ukitaka Atenza cheap, ni kuanzia 2014 kurudi nyuma ila ndani kuna cosmetics utazimiss. Mfano angalia hizi picha mbili, za Atenza ya 2014 juu na ya 2016 chini.
View attachment 3112369View attachment 3112370
Unaweza usione tofauti, ila angalia iyo screen ilivokaa, angalia handbrake na angalia iko kidufe cha kucontrol multimedia pembeni ya gear.

Okay.

Kuhusu kuagiza, nilikaa mwenyewe kwenye simu, siku hizi rahisi sana. Dollar zilikua zinasumbua nikaenda kulipia Beforward ofisini kwao. Rate haikua nzuri, bank walikua $1 ni Tsh 2350 nadhani pale nilipigwa Tsh 2450/= nawaza sahivi $1 ni Tsh 2700 hadi mwili unasisimka.

Janja janja za kuchagua gari online tutadiscuss siku nyingine lakini nilivopata nikalipia basi the rest unakua unafuata muongozo wa Beforwad

Walivotuma document nikalipia kodi. Ilikua ndogo sana arround Mil 7.5 sahivi imeshoot sana. Inafika Mil 10+ nadhani sababu ya dollar na TRA wenyewe.

Kabla ya kulipa kodi nikakomaa na boss wangu nikaomba exemptions. Walinitolea ile importy duty nadhani ni $1300 ilikua so the rest ndio nilipa arround Mil 5.

Ilivofika agent akatoa, ila hakusajili nikaangaika kwanza na chasis number kama miezi hivi ndio nikaweka namba.

Simple tu.
umetisha mwamba, 👍
 
Mkuu. Haitahitaji uzi hii nitakuandikia tu hapa hapa:

Hiyo ni Atenza 2016, engine Diesel cc2,200

Baadhi ya info mfano exactly bei naweza kua sina kumbukumbu maana niliagiza mwaka na kidogo ushaisha. Ila naamini ilikua Mil 14-15 hivi.

Ukitaka Atenza cheap, ni kuanzia 2014 kurudi nyuma ila ndani kuna cosmetics utazimiss. Mfano angalia hizi picha mbili, za Atenza ya 2014 juu na ya 2016 chini.
View attachment 3112369View attachment 3112370
Unaweza usione tofauti, ila angalia iyo screen ilivokaa, angalia handbrake na angalia iko kidufe cha kucontrol multimedia pembeni ya gear.

Okay.

Kuhusu kuagiza, nilikaa mwenyewe kwenye simu, siku hizi rahisi sana. Dollar zilikua zinasumbua nikaenda kulipia Beforward ofisini kwao. Rate haikua nzuri, bank walikua $1 ni Tsh 2350 nadhani pale nilipigwa Tsh 2450/= nawaza sahivi $1 ni Tsh 2700 hadi mwili unasisimka.

Janja janja za kuchagua gari online tutadiscuss siku nyingine lakini nilivopata nikalipia basi the rest unakua unafuata muongozo wa Beforwad

Walivotuma document nikalipia kodi. Ilikua ndogo sana arround Mil 7.5 sahivi imeshoot sana. Inafika Mil 10+ nadhani sababu ya dollar na TRA wenyewe.

Kabla ya kulipa kodi nikakomaa na boss wangu nikaomba exemptions. Walinitolea ile importy duty nadhani ni $1300 ilikua so the rest ndio nilipa arround Mil 5.

Ilivofika agent akatoa, ila hakusajili nikaangaika kwanza na chasis number kama miezi hivi ndio nikaweka namba.

Simple tu.
Kaka hizi janja janja hutatupa mpka sasa , me nmeona za 2014 zinaisha sana na bei zake zinafika mpk 6k$ mpk dar na juzi nliamgalia nkaona 2015 grey mpk dar ni 5k$

Ukija angalia zote pamoja na kodi mpk unaishika hazipishan sana

Na ushauri wako nn kwa first time buyer
 

Attachments

  • IMG_9796.jpeg
    IMG_9796.jpeg
    692.8 KB · Views: 12
Back
Top Bottom