Wapenzi wa Mazda Atenza, average fuel consumption ya 21 km/L mnaionaje?

Ingekua usiku ningesave zaidi maana barabara nyeupe zaidi.
Next uje na masomo juu ya matumizi ya visaidizi mbalimbali kama cruise control, electronic parking brake e.t.c, maana wengi huwa wanavitumia ndivyo sivyo.
 
Kwa gari ya diesel ni nzruri. Na imechangiwa na foleni na matumizi yako ya mjini(Moro na Ifakara).
 
Hapo unanunua kwa Mil 12 na TRA unakuta wanataka Mil 12
Hapa ndipo Hawa watoza ushuru wanapotipiga na kitu kizito. Kisha tunaziona wenzetu wanazitumbua Kwa ma vieti, kaka unaijua vieti wewewe? Kwa msema wa Mh. Balozi Polepole enzi hizo. Mungu awalani wao na vizazi vyao vitano Kwa kutunyonya.
 
Next uje na masomo juu ya matumizi ya visaidizi mbalimbali kama cruise control, electronic parking brake e.t.c, maana wengi huwa wanavitumia ndivyo sivyo.
Aisee Cruise Control sitaweza kuendesha gari bila hii kitu.
 
Mzee hii chuma ushavuta au ulikuwa unamchosha tuu Mwamba kwa maswali?
 
CIF kuanzia $4300 hadi 5500 kutegemea na mwaka, condition etc.

TRA nao wanataka Milion 9 hadi Million 13 kutegemea na mwaka.
Na vipi kuhusu CX5 kiongozi...?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…