Yanii Siku nikikutembelea hata usisumbuke niwekee nguna lilomixiwa na udaga na nyama/ samaki zakutroshaaa arrrrhhhπ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£!Ndiomana hips la kushato π
Kwenye ndizi aisee hunitoi
Muda sana mbona na watoto watatu kabisa!Kwani wewe umewekwa ndani,?
Jitahidi kufanya hivyo, natafuta mke wa kunipikia ππ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£!
Ugali???????,π€£π€£π€£! Ngoja siku nikipika ntakuita uone !π€
Bila kusahau mixa udaga π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£
Hapo kwa mke ushafeli sasa! Yule wa mwisho ....h ilikuaje???Jitahidi kufanya hivyo, natafuta mke wa kunipikia π
HongeraMuda sana mbona na watoto watatu kabisa!
Juzikati nilimeintein nikafanikiwa kupunguza trumbooo haaa saivi hio njaa nayosikia nahuku kunyonyesha sasa πππππ! Pale Nilikua naenda kupasuka uwiii!!Ndiomana hips la kushato π
Kwenye ndizi aisee hunitoi
Yuko bize analea watoto, mpaka anashindwa kunihudumia πHapo kwa mke ushafeli sasa! Yule wa mwisho ....h ilikuaje???
Pole ni kwa muda mchache vumilia atarudi mzigoni tu!Yuko bize analea watoto, mpaka anashindwa kunihudumia π
Kina Selemani ni wengiHuu uzinzi sasa basi haiwezekani tu nisome tu ndizi Nyama akili yangu ifungue thread ije haraka haraka na kuwaza mengine
Si unajua tena sie ma-bachelor ukipata tu option ya msosi rahisi, ndio inakuwa daily, shukrani sana kwa ushauri itanibidi nizingatie mara moja mojaUnakaanga zinakauka vizuri kabisa na Ndiomana sio chakula cha kupika kila siku mara Moja moja tu! Kwa afya kula vyakula vya kuakaanga kaanga sana sio poa!!
Yeah fanya hivo!! Mafuta mengi mwilini ni Hatari kwa afya!Si unajua tena sie ma-bachelor ukipata tu option ya msosi rahisi, ndio inakuwa daily, shukrani sana kwa ushauri itanibidi nizingatie mara moja moja
Itabidi uwe mbadala wake kwa kipindi hiki cha mateso πPole ni kwa muda mchache tu vumilia atarudi mzigoni tu!
Weee tulizana naweee soon atakua fureshiii! Hio hali sio ya kudumu bana!Itabidi uwe mbadala wake kwa kipindi hiki cha mateso π
Nitakuja nikutembelee unipe ushauri wa kina tukiwa wawiliWeee tulizana naweee soon atakua fureshiii! Hio hali sio ya kudumu bana!
Hahahaaa!!Nitakuja nikutembelee unipe ushauri wa kina tukiwa wawili
Jumapili nitakujaHahahaaa!!
Yanii Siku nikikutembelea hata usisumbuke niwekee nguna lilomixiwa na udaga na nyama/ samaki zakutroshaaa arrrrhhh[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]!
Cha kusindikizia Ugali ndio uniwekee hizo ndizi za kukaanga na Makolokolo yenu ya mjini [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Karibu sana tena jumapili ni siku takatifu ya Mungu! Hakika wageni ni baraka!Jumapili nitakuja