Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
πππ ushindwe mwenyewe tu5G πππππ! Kwamba baada ya kushiba kifuatachoπ€ π€ π€ π€ !π€£
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
πππ ushindwe mwenyewe tu5G πππππ! Kwamba baada ya kushiba kifuatachoπ€ π€ π€ π€ !π€£
Weeee Ulivopaania hivo weweπππ»ββοΈππ»ββοΈππ»ββοΈππ»ββοΈππ»ββοΈππ»ββοΈππ»ββοΈππ»ββοΈππ»ββοΈππ»ββοΈππ»ββοΈππ»ββοΈππ»ββοΈππ»ββοΈππ»ββοΈππ»ββοΈππ»ββοΈππ»ββοΈππ»ββοΈππ»ββοΈππ»ββοΈππ»ββοΈππ»ββοΈπ!πππ ushindwe mwenyewe tu
Weeee Ulivopaania hivo weweπππ»ββοΈππ»ββοΈππ»ββοΈππ»ββοΈππ»ββοΈππ»ββοΈππ»ββοΈππ»ββοΈππ»ββοΈππ»ββοΈππ»ββοΈππ»ββοΈππ»ββοΈππ»ββοΈππ»ββοΈππ»ββοΈππ»ββοΈππ»ββοΈππ»ββοΈππ»ββοΈππ»ββοΈππ»ββοΈππ»ββοΈπ!
Ndizi bila kitimoto..... Ni uharibifu wa vyakula. π½ππ·Nafikiri mkopoa kabisa
Naomba ku share na nyie recipe nzuri ya kupika ndizi mzuzu Kwa wale wasiopenda rost na wengine wanaopenda kula chakula Cha tofauti na hakichukui mda kuandaa
Mahitaji
Ndizi zilizokaangwa ambazo umekata shape ndogo size uipendayo na nyama iliyokaangwa unaweza tumia hata mishikski,
nyanya 2 kubwa zikate au zisage
karoti na hoho kata size uipendayo ,mafuta ya kupikia navitunguu(saumu kilichopondwa) na kitunguu maji,pilipili hoho,karoti na chumvi
Hatua ya kwanza
Bandika sufuria Yako jikoni weka mafuta ya kula kijiko kimoja Kisha kaanga vitunguu maji kikianza kulegea weka kitunguu swaumu
Hatua ya pili
Kisha weka nyanya pamoja na chumvi ziache ziive zikiiva weka hoho pamoja na karot acha Kwa dakika 3 zilainike
Hatua ya Tatu
Weka nyama zilizokaangwa au mishikaki Yako Kisha weka ndizi zilizokaangwa geuza na zichanganye vizuri had zichanganyike vizuri acha Kwa dakika moja Changanya Tena hapo zitakuwa tayar Kwa kuliwa
Unaweza kushushia na juis hata soda pia
Kama unaswali unaweza kuuliza pia km nitakuwa sijaeleweka mniwie radhi
View attachment 2766244
Weeeeee music ili nigundue nini mie shendwaaaa!Hakuna kutoka ndani, ni kula na kupakua tu, mvinyo kwa pembeni huku tukiburudika na country music; hapo utatamani kuzaliwa mara ya pili π π
Kunogesha mazingira, pia kupunguza makali ya makelele pale unapokuwa unaing'ang'ania π πWeeeeee music ili nigundue nini mie shendwaaaa!
Pepo trokkkaaaaaaah!!Kunogesha mazingira, pia kupunguza makali ya makelele pale unapokuwa unaing'ang'ania π π
Hakuna cha pepo hapo, ndivyo binadamu anatakiwa kuishiPepo trokkkaaaaaaah!!
Mhhhh so tuna ka-mkesha ketu hapo ee..Sio mbali bhana na menuyako tayari
samaki wa kuchoma na ugali na mboga za majani unashushia juice
Kuku wa kukaanga na ndiz au chips na lemonade mocktail ππππau unatak cocktailππ
Mwaka mpya hiyo
ππKumbe kaka nawe mpenz wa masaptasapta Sasa ilo sotojo litiwe na Nazi aisee πMdogo wangu kwenye misosi kama hiyo tuwe tunashituana ndio ugonjwa wangu.. lile sorotojo la ndizi zinazoiva iva kwa kuku huwa nakula mpaka nakula tena. Yaani navimbiwa kabisa.
Aiyaa wee, umejuaje ndugu yangu, kitu cha nazi Hapo ni kula mpaka kusaza.ππKumbe kaka nawe mpenz wa masaptasapta Sasa ilo sotojo litiwe na Nazi aisee π
Hebu nionee jamaneee !! Chap unaitoa!!
Hatari saana hii kituHii iwekee kitimoto na kachumbari ya pilipili na tambi kwa mbali zakusindikizia mlo delicious [emoji39] [emoji7] [emoji4]
Hiyo Kambi popote ndio inanivunja mbavu [emoji23]