Wapenzi wa ndizi: Namna nyingine ya kupika ndizi tamu za kukaanga na nyama ya kuku/ng'ombe

πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ ushindwe mwenyewe tu
Weeee Ulivopaania hivo weweπŸ™ŒπŸƒπŸ»β€β™€οΈπŸƒπŸ»β€β™€οΈπŸƒπŸ»β€β™€οΈπŸƒπŸ»β€β™€οΈπŸƒπŸ»β€β™€οΈπŸƒπŸ»β€β™€οΈπŸƒπŸ»β€β™€οΈπŸƒπŸ»β€β™€οΈπŸƒπŸ»β€β™€οΈπŸƒπŸ»β€β™€οΈπŸƒπŸ»β€β™€οΈπŸƒπŸ»β€β™€οΈπŸƒπŸ»β€β™€οΈπŸƒπŸ»β€β™€οΈπŸƒπŸ»β€β™€οΈπŸƒπŸ»β€β™€οΈπŸƒπŸ»β€β™€οΈπŸƒπŸ»β€β™€οΈπŸƒπŸ»β€β™€οΈπŸƒπŸ»β€β™€οΈπŸƒπŸ»β€β™€οΈπŸƒπŸ»β€β™€οΈπŸƒπŸ»β€β™€οΈπŸ˜!
 
Hakuna kutoka ndani, ni kula na kupakua tu, mvinyo kwa pembeni huku tukiburudika na country music; hapo utatamani kuzaliwa mara ya pili πŸ˜€ πŸ˜€
 
Ndizi bila kitimoto..... Ni uharibifu wa vyakula. πŸ½πŸ–πŸ·
 
Sio mbali bhana na menuyako tayari
samaki wa kuchoma na ugali na mboga za majani unashushia juice
Kuku wa kukaanga na ndiz au chips na lemonade mocktail πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚au unatak cocktailπŸ˜‚πŸ˜‚
Mwaka mpya hiyo
Mhhhh so tuna ka-mkesha ketu hapo ee..
 
Mdogo wangu kwenye misosi kama hiyo tuwe tunashituana ndio ugonjwa wangu.. lile sorotojo la ndizi zinazoiva iva kwa kuku huwa nakula mpaka nakula tena. Yaani navimbiwa kabisa.
 
Mdogo wangu kwenye misosi kama hiyo tuwe tunashituana ndio ugonjwa wangu.. lile sorotojo la ndizi zinazoiva iva kwa kuku huwa nakula mpaka nakula tena. Yaani navimbiwa kabisa.
πŸ˜€πŸ˜€Kumbe kaka nawe mpenz wa masaptasapta Sasa ilo sotojo litiwe na Nazi aisee πŸ˜€
 
πŸ˜€πŸ˜€Kumbe kaka nawe mpenz wa masaptasapta Sasa ilo sotojo litiwe na Nazi aisee πŸ˜€
Aiyaa wee, umejuaje ndugu yangu, kitu cha nazi Hapo ni kula mpaka kusaza.

Halafu kuna juice nzito ya baridiii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…