Wapenzi wa ndizi: Namna nyingine ya kupika ndizi tamu za kukaanga na nyama ya kuku/ng'ombe

Asante kwa recipe...nitajaribu nishazoea mzuzu kuzichoma tu
Karibu kipenz ni nzuri ukijaribu hiv hutokula ndiz za kichoma
Mm nilikuwa napenda chips mayai nikawa napika chips masala tangu nianze kula nimesahau kabisa ladha ya chips yai Yani naona hazina ladha Tena
 
Utam wa nini tena madam🀣
🀣🀣🀣🀣🀣🀣😁!
Utamu wa hayo masapta wa vipajiii ushawaza ujinga haha! 🀠🀠
 
Ndizi ni my favorite na napikaga dakika 5 kila kitu tayari, Asante kwa kuniongezea recipe.

Ntashushia na ka savannah kangu ka baridiiiii πŸ₯‚πŸ˜…πŸ₯‚
 
Huwa napika chips masala kwa recipe hii naweka na nazi kidogo
Iyo ndo kiboko Yani unaweza ukala had ukalamba sahaniπŸ˜€πŸ˜€
Mamaang Kila ukimuuliza kuhus chips anakwambia pika zile za kuchanganya na nyama sijui zina kauleviπŸ˜€πŸ˜€
 
Hivi hayo ndio wanaitaga makange au Ushamba wangu?? Japo inategemea makange ya nini!
 
Ndizi ni my favorite na napikaga dakika 5 kila kitu tayari, Asante kwa kuniongezea recipe.

Ntashushia na ka savannah kangu ka baridiiiii πŸ₯‚πŸ˜…πŸ₯‚
Sawa dear karibu
Nafikir utaenjoy na kirecipe chepes hakina mambo mengi😍
 


Mnashauriana ujinga wanawake, mnaharibu wanaume na ma vitambi, wakifika miaka 42 chali, tendo hawawezi wanaanza kula matakata.

Wanawake mnapenda kula mno matakata, hakuna afya, mnakuwa wakubwa kama nyumba, tukichepuka kelele.....
 
Huogopi kutengeneza freezer mkuu?🀣
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ naogopa lakini nakomaa, baba chanja ananiambiaga bado sana, bado sana piga vitu 🀣🀣

Madai yake bado niko pazuri, ila si unajua mtu chake? Lazima anipe moyo. Ila kwa mbaliiii nakaona πŸ˜€
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ naogopa lakini nakomaa, baba chanja ananiambiaga bado sana, bado sana piga vitu 🀣🀣
Ukiona hivyo anataka nyama, nyama ni kila kitu mkuu..naumelewa sana🀣🀣
 
Hivi hayo ndio wanaitaga makange au Ushamba wangu?? Japo inategemea makange ya nini!
Makange ni nyama/samaki/ ikipikwa bila mchuzi tukiongezea chips au ndiz wengine wanaita chips makange/chips masala
Ikiwa na ndiz sijui wanaitaje πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…