Wapenzi wa ndizi: Namna nyingine ya kupika ndizi tamu za kukaanga na nyama ya kuku/ng'ombe

Wapenzi wa ndizi: Namna nyingine ya kupika ndizi tamu za kukaanga na nyama ya kuku/ng'ombe

Nafikiri mkopoa kabisa
Naomba ku share na nyie recipe nzuri ya kupika ndizi mzuzu Kwa wale wasiopenda rost na wengine wanaopenda kula chakula Cha tofauti na hakichukui mda kuandaa
Mahitaji
Ndizi zilizokaangwa ambazo umekata shape ndogo size uipendayo na nyama iliyokaangwa unaweza tumia hata mishikski,
nyanya 2 kubwa zikate au zisage
karoti na hoho kata size uipendayo ,mafuta ya kupikia navitunguu(saumu kilichopondwa) na kitunguu maji,pilipili hoho,karoti na chumvi

Hatua ya kwanza
Bandika sufuria Yako jikoni weka mafuta ya kula kijiko kimoja Kisha kaanga vitunguu maji kikianza kulegea weka kitunguu swaumu

Hatua ya pili
Kisha weka nyanya pamoja na chumvi ziache ziive zikiiva weka hoho pamoja na karot acha Kwa dakika 3 zilainike

Hatua ya Tatu
Weka nyama zilizokaangwa au mishikaki Yako Kisha weka ndizi zilizokaangwa geuza na zichanganye vizuri had zichanganyike vizuri acha Kwa dakika moja Changanya Tena hapo zitakuwa tayar Kwa kuliwa

Unaweza kushushia na juis hata soda pia
Kama unaswali unaweza kuuliza pia km nitakuwa sijaeleweka mniwie radhi

View attachment 2766244
Auntie 😍
Una hatari🔥

Nitajaribu na mimi, akhsante 🙏
 
Nlivokua nasoma Kuna picha nlikuwa naitengeza kichwani yaan mdada flan hv mkali kuku wa kienyeji yupo jikoni anapika ndizi gafla natokea pale.....eb endelezeni afu mi tamalizia
 
Nlivokua nasoma Kuna picha nlikuwa naitengeza kichwani yaan mdada flan hv mkali kuku wa kienyeji yupo jikoni anapika ndizi gafla natokea pale.....eb endelezeni afu mi tamalizia
😂😂Amka utajikojolea kitandani
Wew si katibu wa kataa Ndoa wew😂😂
 
Siku hizi watu wanakula vifaranga vya kuku...Sasa hiko kipaja Au kibawa?
 
Mmh, kila mtu ana kipenda roho chake. Mimi wali..naweza kula wali 24/7.
Hata wali unaweza kubadilika kutokana na mazingira unaweza kula fried rice ya mayai au nyma ya kusaga ila kama hujazoea ni changamoto
 
Hata wali unaweza kubadilika kutokana na mazingira unaweza kula fried rice ya mayai au nyma ya kusaga ila kama hujazoea ni changamoto
Unaonekana upo makini kwenye maakuli, hongera...
 
Nafikiri mkopoa kabisa
Naomba ku share na nyie recipe nzuri ya kupika ndizi mzuzu Kwa wale wasiopenda rost na wengine wanaopenda kula chakula Cha tofauti na hakichukui mda kuandaa
Mahitaji
Ndizi zilizokaangwa ambazo umekata shape ndogo size uipendayo na nyama iliyokaangwa unaweza tumia hata mishikski,
nyanya 2 kubwa zikate au zisage
karoti na hoho kata size uipendayo ,mafuta ya kupikia navitunguu(saumu kilichopondwa) na kitunguu maji,pilipili hoho,karoti na chumvi

Hatua ya kwanza
Bandika sufuria Yako jikoni weka mafuta ya kula kijiko kimoja Kisha kaanga vitunguu maji kikianza kulegea weka kitunguu swaumu

Hatua ya pili
Kisha weka nyanya pamoja na chumvi ziache ziive zikiiva weka hoho pamoja na karot acha Kwa dakika 3 zilainike

Hatua ya Tatu
Weka nyama zilizokaangwa au mishikaki Yako Kisha weka ndizi zilizokaangwa geuza na zichanganye vizuri had zichanganyike vizuri acha Kwa dakika moja Changanya Tena hapo zitakuwa tayar Kwa kuliwa

Unaweza kushushia na juis hata soda pia
Kama unaswali unaweza kuuliza pia km nitakuwa sijaeleweka mniwie radhi

View attachment 2766244
Kwanini unanifanyia hivi lakini?
 
Back
Top Bottom