Wapenzi wa pombe kali usiache kupitia huu Uzi!

Wapenzi wa pombe kali usiache kupitia huu Uzi!

Kuja jamaa yangu mlokole hapa ananicheki napambana na simu halafu ninatabasamu, angejua tunajadili pombe hata asingejibu tabasamu langu, hahahaa, Mungu ni wa ajabu
 
Nasikia saivi wamefulia wanawachuna hatari
Ni vikosi vya mizinga, ukiingia anga zao utabembelezwa mpaka utashukuru kuja Singida,

Ukiwaona mchana macho makavuuu, wakiona una mzinga wanapigia magesabu chenji ya mfukoni
 
Kuja jamaa yangu mlokole hapa ananicheki napambana na simu halafu ninatabasamu, angejua tunajadili pombe hata asingejibu tabasamu langu, hahahaa, Mungu ni wa ajabu
Hahahahaha nimecheka kifala nipo na rafiki yangu hapa tunatembea kuna muda nimeingia toilet nachat nimetoka nachat kaniambia nahisi huko toilet unajisikia raha sana hata kwenda haja na simu mkononi
 
Hahahahaha nimecheka kifala nipo na rafiki yangu hapa tunatembea kuna muda nimeingia toilet nachat nimetoka nachat kaniambia nahisi huko toilet unajisikia raha sana hata kwenda haja na simu mkononi
Hahahaaa, ashukuriwe Maxence Mello
 
Ni vikosi vya mizinga, ukiingia anga zao utabembelezwa mpaka utashukuru kuja Singida,

Ukiwaona mchana macho makavuuu, wakiona una mzinga wanapigia magesabu chenji ya mfukoni
Aiseeeeeh hatari sana
 
Back
Top Bottom