Wapenzi wa Siasa za Hoja tunaingia. Hatutaki ugomvi na mtu. Rais Samia aliwapa onyo UVCCM juzi

Wapenzi wa Siasa za Hoja tunaingia. Hatutaki ugomvi na mtu. Rais Samia aliwapa onyo UVCCM juzi

Rasterman

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2015
Posts
33,894
Reaction score
44,117
Ndugu zanguni hodi hodi tunaingia. Sasa tunakuja kwa nguvu mpya. Kamanda Mbobezi mwenye uwezo mwingi na nguvu nyingi asiyechoka na hoja za ukweli anaingia.

Sio mwingine ni Kijana Jeuri, mjuaji, jasiri, mwelevi yule aliyetabiriwa na Mwl Nyerere. Sio mjeuri wa jinai bali wa akili, itikadi, mpenzi wa amani, haki, umoja na maendeleo ya watu. Ni Tundu Antiphasi Lissu.

Juzi Rais Samia akiwa Zanzibar 11 Jan 2023 ktk maadhimisho wa Mapinduzi amewasaasa wanasiasa wa chama chake kujiepusha na siasa za uhasama, ghiliba na fijo kwani hazina tija kwa Dunia ya leo ambao watu wanapaswa kuwa wastaraabu a ku focus kwenye siasa zenye tija kwa ustawi wa watu na taifa lao.

Kwa kusema hivyo anamanisha kuwa zile siasa za vitisho na kupania kuchomana sindano za sumu sasa iwe mwiko. Ni Kauli ya Amir Jeshi Mkuu wa Tanzania, Samia Suluhu Hasan( PhD causas).

Ikumbukwe kuwa ni katika viwanja vya mapambano ya hoja na mijadala huru ambapo vipaji vipya huibuliwa na kujenga fikra mpya za maendeleo.

Kuanzia miaka ya 70's hadi 2000's ndipo watu makini ktk siasa waliiburiwa . Nitatoa list ya mifano.

Cohort ya Kina Lowasa, JK, Warioba, Wasira, Ngombale Mwiru, Prof Shivji, Prof Mark Mwandosya na wengine wengi waliibuliwa ktk mijadala ya vyuo vikuu na viwanja vya siasa. Leo leo wamekuwa watu waliofanikiwa kwa mambo yao binafsi na Taifa kwa ujumla.

Cohort ya kina Nape, Makonda, makamba, Ali Hapi, Kigwangala usiwaone hivi hivi wakipanda vyeo na kuwin madaraka ukadhani wamefika huko kwa lelemama. Walikuwa watu wa kutoa hoja zao za kifikra, ustawi na kuleta maendeleo kwenye Taifa hili kupitia majukwaa ya kupingana kwa hoja. Nakumbuka miaka ya 2007 na 2018 akina Paul Makonda wakipinga kwa hoja na akina Bulembo na akina Mgeja vigogo wa ccm ndani ya chama chao.

Hali ile ilipelekea akina Nape kuukwaa Ukatibu wa uenezi na aki a Makonda kuwa maDC. Wakati ule hawakutimia mapanga wala visu kupingana. Bali walitimia uwezo wao wa kujenga hoja na ubunifu mkubwa. Ingawa hali ilibadilika baadae wakawa Mbwa wakali sana(hii sio mada ya leo)

Nakumbuka hivi karibuni kati ya 2000 na 2010 vyuo vikuu vilikuwa Chachu ya kujenga vijana wenye uelewa wa Nchi yao na uzalendo.

Baadae wakafanywa kuwa machawa tu. Na sasa wako bize na connection za ngono, kubeti a mipira. Vijana hawa wasilaumiwe kwa kuwa hawana alternative. Hawana kitu cha kujishughurisha nacho. Wamefanywa waoumbavu kwa makusudi na nchi inatafunwa wao hawana habari.

UDSM na SAUT inakumbukwa kuwa jiko la mapishi ya wanasiasa na wasomi bora hata Prof Kabudi, Dr Bashiru, Prof Luoga wamekulia kwenye mazingira hayo. Sas tuwapate watu wenye kaliba ya namna hij wapi tena? Kwa kweli miaka mitano iliyopita imekuwa jeneza la kuzika vipaji.

Huko Ulimwenguni kote ambako Demokrasia hujengwa kwa ajili ya maendeleo siasa za hoja na mijadal ya kifikra inapewa kipaumbele kuanzia mashule hadi vyuo vikuu.

Akina Nyerere hadi akina Paul Kagem ni mashahidi wakiwa huko Harvad university na wengine huko Urusi kwa wakomunist.

Sasa critical thinking imepewa tena nafasi. Hatutaki ugomvi na mtu.

Wanaccm jibuni hoja zetu. Hoja haipigwi rungu.
Screenshot_20230113-234301_Gallery.jpg

Siasa za uhasama sasa baasi.
4433333.jpg
 
Ndugu zanguni hodi hodi tunaingia. Sasa tunakuja kwa nguvu mpya. Kamanda Mbobezi mwenye uwezo mwingi na nguvu nyingi asiyechoka na hoja za ukweli anaingia.

Sio mwingine ni Kijana Jeuri, mjuaji, jasiri, mwelevi yule aliyetabiriwa na Mwl Nyerere. Sio mjeuri wa jinai bali wa akili, itikadi, mpenzi wa amani, haki, umoja na maendeleo ya watu. Ni Tundu Antiphasi Lissu.

Juzi Rais Samia akiwa Zanzibar 11 Jan 2023 ktk maadhimisho wa Mapinduzi amewasaasa wanasiasa wa chama chake kujiepusha na siasa za uhasama, ghiliba na fijo kwani hazina tija kwa Dunia ya leo ambao watu wanapaswa kuwa wastaraabu a ku focus kwenye siasa zenye tija kwa ustawi wa watu na taifa lao.

Kwa kusema hivyo anamanisha kuwa zile siasa za vitisho na kupania kuchomana sindano za sumu sasa iwe mwiko. Ni Kauli ya Amir Jeshi Mkuu wa Tanzania, Samia Suluhu Hasan( PhD causas).
Ikumbukwe kuwa ni katika viwanja vya mapambano ya hoja na mijadala huru ambapo vipaji vipya huibuliwa na kujenga fikra mpya za maendeleo.

Kuanzia miaka ya 70's hadi 2000's ndipo watu makini ktk siasa waliiburiwa . Nitatoa list ya mifano.

Cohort ya Kina Lowasa, Jk, warioba, Wasira, Ngombaru mwiru, prof Shivuji, pro Mark Mwandosya na wengine wengi waliibuliwa ktk mijadala ya vyuo vikuu na viwanja vya siasa. Leo leo wamekuwa watu waliofanikiwa kwa mambo yao binafsi na Taifa kwa ujumla.

Cohort ya kina Nape, Makonda, makamba, Ali Hapi, Kigwangala usiwaone hivi hivi wakipanda vyeo na kuwin madaraka ukadhani wamefika huko kwa lelemama. Walikuwa watu wa kutoa hoja zao za kifikra, ustawi na kuleta maendeleo kwenye Taifa hView attachment 2480169ili kupitia majukwaa ya kupingana kwa hoja. Nakumbuka miaka ya 2007 na 2018 akina Paul Makonda wakipinga kwa hoja na akina Bulembo na akina Mgeja vigogo wa ccm ndani ya chama chao. Hali ile ilipelekea akina Nape kuukwaa Ukatibu wa uenezi na aki a Makonda kuwa maDC. Wakati ule hawakutimia mapanga wala visu kupingana. Bali walitimia uwezo wao wa kujenga hoja na ubunifu mkubwa. Ingawa hali ilibadilika baadae wakawa Mbwa wakali sana(hii sio mada ya leo)

Nakumbuka hivi karibuni kati ya 2000 na 2010 vyuo vikuu vilikuwa Chachu ya kujenga vijana wenye uelewa wa Nchi yao na uzalendo.

Baadae wakafanywa kuwa machawa tu. Na sasa wako bize na connection za ngono, kubeti a mipira. Vijana hawa wasilaumiwe kwa kuwa hawana alternative. Hawana kitu cha kujishughurisha nacho. Wamefanywa waoumbavu kwa makusudi na nchi inatafunwa wao hawana habari.

UDSM na SAUT inakumbukwa kuwa jiko la mapishi ya wanasiasa na wasomi bora hata Prof Kabudi, Dr Bashiru, Prof Luoga wamekulia kwenye mazingira hayo. Sas tuwapate watu wenye kaliba ya namna hij wapi tena? Kwa kweli miaka mitano iliyopita imekuwa jeneza la kuzika vipaji.

Huko Ulimwenguni kote ambako Demokrasia hujengwa kwa ajili ya maendeleo siasa za hoja na mijadal ya kifikra inapewa kipaumbele kuanzia mashule hadi vyuo vikuu.

Akina Nyerere hadi akina Paul Kagem ni mashahidi wakiwa huko Harvad university na wengine huko Urusi kwa wakomunist.

Sasa critical thinking imepewa tena nafasi. Hatutaki ugomvi na mtu.

Wanaccm jibuni hoja zetu. Hoja haipigwi rungu.
View attachment 2480169
Siasa za uhasama sasa baasi.
Vijana ndio Taifa la kesho. Tusije kuwa taifa la hovyo
 
Anaweza akasema 2 hadharani na akawa hamaanishi usimsifu sana usiaminishwe na sentesi 2 tu za mtu sbr kwer wa2 wafanye fujo afu tuone kma wanakamatwa ndo tutaamini yuko serious
 
Naona ile legacy ya Mama kuleta katiba mpya itakamilika na ujio wake, maana mikutano ya siasa imeruhusiwa, uvccm wameshaonywa na mengine yanakuja.
 
Anaweza akasema 2 hadharani na akawa hamaanishi usimsifu sana usiaminishwe na sentesi 2 tu za mtu sbr kwer wa2 wafanye fujo afu tuone kma wanakamatwa ndo tutaamini yuko serious
Sawa
 
Ukiambiwa usitoke ndani nje kuna giza, tumia akili yako ujue kama kweli uliloambiwa lina ukweli.

Sitaki kumuamini mwanasiasa hadi pale atakapotekeleza alichosema na akiwa hayupo madarakani ndipo nitamwamini!.
 
Ukiambiwa usitoke ndani nje kuna giza, tumia akili yako ujue kama kweli uliloambiwa lina ukweli.

Sitaki kumuamini mwanasiasa hadi pale atakapotekeleza alichosema na akiwa hayupo madarakani ndipo nitamwamini!.
🤣🤣🤣kuwa na imani
 
Ukiwa ni Mdhalimu wa Fikra, Ukiwa Mnafiki, Ukiwa ni mmoja wa wale wanaoJichekesha wakati Uhasama una sambaa Kamwe huwezi kutoa Wito na Ukasikilizwa.

Upuuzi ambao unaonyeshwa na makundi, ya Kiharamia unaoonyeshwa, na wale wanaochangia katika Ugaidi wa Lugha za Kimbari kwa kuendesha Propaganda hasi na za Kimkakati dhidi ya Watanzania na Waafrika kwa kukejeli, kudumaza, Kidhalimu, Kinongwa na Kiuhasama Uhasama, Umepita mistari iliyochorwa. Mtakivuna mnachokipanda kwa Upuuzi huo.

Mnavuka mipaka, mnajijua, Mnajulikana. Kitaeleweka.

Aluta Continua.
 
Hakuna jipya kwa ujio wake. Kaona Mwenyekiti wake analamba asali mwenyewe kaa, ya aje walambe wote.

Msitegemee maajabu yoyote. Watanzania wanapitia hali ngumu ya maisha hakuna mpinzani hata moja anae zungumzia Hilo.

Niwakumbushe tu maharage kilo ni 4k
 
Wamemdanganya Hangaya kuwa ni UVCCM wenye kuleta Uhasama.

Hawa Jamaa wako kimkakati kweli kweli. Mtu unaweza unganisha moja na mbili, mfano mzuri ni zile safu ziliizobadilishwa, hivi majuzi haikuwa bure, lakini porojo zilizobandikwa hapa pamoja na njama za kila aina, lazima ushikwe butwaa au hasira... nadharia wanayoijenga ina Uhasama.... kuwa ilikuwa ni ya kuwatoa "Washamba" "....so so Gang" na lugha zao za Kipuuzi, huku wakijikomba, kwa Hangaya, wakiwa na lengo la kumdhoofisha... (kwa maoni yangu) manake Kila kukicha sasa ni hiki na kile hakifanyi, hiki kiko hivi na kile kiko vile bila uthibitisho wowote wa kisayansi pale unapotakikana.

Ukiwavaa....utajijiju

Wanapindisha kila kitu....wanapindisha na Wanajua hayo....ilimradi wafikie kufikia azma zao.

Watatubu, kwani Mazingira wanayojenga tutaomba makaburi yafukuliwe, tutaomba wakaushe bahari, mito tujue ukweli upo wapi...


Kweli Kiranja aliwaweza hata wakidai nini.


Wanakandia 'Vyama vya Siasa' mara wanawatukuza. Mara Wanakandia CCM mara wanawatukuza....Kumbe wanaleta chonganishi katika Jamii, ni wachochezi. Walitumika, nyuma na sasa Waliowatumia wanataka kuwatelekeza....watatubu tu!

Haijawahi tokea... hapa Tanzania, lakini tunaona yanayotokea Nchi zingine, tutatafutana....

Wataendelea na kuwagombanisha Wananchi na Serikali yao.... kwa kudai Serikali haifanyi hili, wala lile huku wakijua sio kweli, na kwa jinsi ya mfumo wa tehama ulivyo na unavyotumika chochote kile kinachukuliwa ni kweli... basi daah

....kule nyuma wakati J.K allipokuwa anaboronga au lah, kulikuwa na Hasira za kweli na Furaha za kweli, bila ya Uhasama.

Makabrasha ya wakati huo yaliangushwa ya kweli, picha za kweli....Sasa vinapikwa! Uwongo na Hadaa kibao. Uhasama wa kweli na Unachagizwa

Hoja zilijibiwa
Sasa Kalasi

Wanahatarisha Afya ya Jamii, Hawa wenye ulimi na maandiko yenye sumu kali. Wanahatarisha Na Usalama wa Taifa.

Huwa wanajisahau kwamba Watanzania ni Bongo. Unafiki utakuja kuwatokea raaaaaa
 
Ungefanya hivyo kwa jiwe.
Ukiambiwa usitoke ndani nje kuna giza, tumia akili yako ujue kama kweli uliloambiwa lina ukweli.

Sitaki kumuamini mwanasiasa hadi pale atakapotekeleza alichosema na akiwa hayupo madarakani ndipo nitamwamini!.
 
Ukiwa ni Mdhalimu wa Fikra, Ukiwa Mnafiki, Ukiwa ni mmoja wa wale wanaoJichekesha wakati Uhasama una sambaa Kamwe huwezi kutoa Wito na Ukasikilizwa.

Upuuzi ambao unaonyeshwa na makundi, ya Kiharamia unaoonyeshwa, na wale wanaochangia katika Ugaidi wa Lugha za Kimbari kwa kuendesha Propaganda hasi na za Kimkakati dhidi ya Watanzania na Waafrika kwa kukejeli, kudumaza, Kidhalimu, Kinongwa na Kiuhasama Uhasama, Umepita mistari iliyochorwa. Mtakivuna mnachokipanda kwa Upuuzi huo.

Mnavuka mipaka, mnajijua, Mnajulikana. Kitaeleweka.

Aluta Continua.
Na tunashukuru kuwa Amir Jeshi Mkuu amelisimamia jambo hili kwa kwa vitendo.

Umoja wa kitaifa ndio nguzo ya Ustawi na maendeleo
 
Hakuna jipya kwa ujio wake. Kaona Mwenyekiti wake analamba asali mwenyewe kaa, ya aje walambe wote.

Msitegemee maajabu yoyote. Watanzania wanapitia hali ngumu ya maisha hakuna mpinzani hata moja anae zungumzia Hilo.

Niwakumbushe tu maharage kilo ni 4k
Maisha magumu yako duniani kote. Muhimu amani
 
Hakuna jipya kwa ujio wake. Kaona Mwenyekiti wake analamba asali mwenyewe kaa, ya aje walambe wote.

Msitegemee maajabu yoyote. Watanzania wanapitia hali ngumu ya maisha hakuna mpinzani hata moja anae zungumzia Hilo.

Niwakumbushe tu maharage kilo ni 4k
Ata wewe unaweza kuyasemea hayo badala yakutupa lawama kwa wengine.
 
Back
Top Bottom