Wapenzi wa tamthilia ya “In Love With Ramon” mpo?

Wapenzi wa tamthilia ya “In Love With Ramon” mpo?

Kwanza pole kwa ban, karibu Tena! Mdada yule anamwona Mr Pedro kavuta maili nyingi.... even though Mr Pedro Ana mapenzi ya dhati juu yake.

Looking forward kuona jinsi Roxanna anavyogeuzwa kuwa changudoa next week!

Sophia naye ana wakati mgumu Sasa.
asante, kuna mjinga alinisababishia kifungo nikaona hata nikimpuuza nafsi yangu inanisuta wakat uwezo wa kumjibu nilikua nao

roxana atakuja kukumbuka shuka too late sana labda wakat huo antonio atakua ashamuoa mtoto margaritha madina japo kuna yule mwanasheria naye hachoki


hivi hucheki ukimuona benito na yule mam yake dallya mapenzi yao?? this week itakua ni fayaa huku asvaldo naye anaanza kua mraibu wa macasino wapi fransisco sipat picha akijua fabiola alikwama na hasim wake ramon ila atajitia kutulia sababu hela hajazishika
 
Nilikuwa ninaiangalia kimasihara masihara hasa kifurushi kikikata, nikajikuta nimeilewa sana nakuanza kuwa serious.
kabla ya hii ilikua moja inaitwa i plead guilty acha kabisa hii hata ilipoanza skua naangalia serious lakini sasa hivi huniambii kitu hamna kipindi nilikua napata wakat mgum kama ramon alivyotekwa
 
Wanawake aina ya Fabiola Mimi sina mzuka nao kabisa.Wanapenda Sana kubembelezwa.Fransisco kaingia chaka kumuoa huyu mwanamke ambaye hisia zake zipo Kwa, mwanamme mwingine,Ramon.Kwanza alicheat akaliwa na Ramon.Sasa hivi Fabiola hataki kumuona wala kumsikiliza kabisa Fransisco na anataka kuFile divorce 🤔
 
Wanawake aina ya Fabiola Mimi sina mzuka nao kabisa.Wanapenda Sana kubembelezwa.Fransisco kaingia chaka kumuoa huyu mwanamke ambaye hisia zake zipo Kwa, mwanamme mwingine,Ramon.Kwanza alicheat akaliwa na Ramon.Sasa hivi Fabiola hataki kumuona wala kumsikiliza kabisa Fransisco na anataka kuFile divorce 🤔
fransisco alifos ndoa na fabi kwa sababy ya pesa za urithi alizoachiwa fabi alikubali kichwa kichwa sababu ramon hakutokea siku ya ndoa yao
 
fransisco alifos ndoa na fabi kwa sababy ya pesa za urithi alizoachiwa fabi alikubali kichwa kichwa sababu ramon hakutokea siku ya ndoa yao
Kwanini mwanamke akubali,halafu anakuwa kigeugeu?
Jinsi Fransisco alivyowakuta Fabiola na Ramon,ulitegemea awachekee?
 
Kwanini mwanamke akubali,halafu anakuwa kigeugeu?
Jinsi Fransisco alivyowakuta Fabiola na Ramon,ulitegemea awachekee?
ya leo sjaiona nilikua mbali na kidoe ntachek marudio satoo
 
Kwanini mwanamke akubali,halafu anakuwa kigeugeu?
Jinsi Fransisco alivyowakuta Fabiola na Ramon,ulitegemea awachekee?
Kivumbi Leo "
Wiki iliyoisha Ramon alituma kimemo Kwa Fabiola waonane somewhere Sasa Kuna mkuda yule binamu yake mtoto wa Hurio yule dogo Marioo kakisoma kampelekea Fransisco ,i Fransisco kafula kwel kweli
Mojakwa Moja kaenda ofisin kamkuta Fabiola anatest kipimo kuchek ujauzito wake aiseee Fransisco kamaindi sijui itakuwaje kesho 🤔

Na huku Sophia kaomba appointment kuonana na Mzee wake jela mpango wake anataka kuomba msaada kwaBaba yake ili kumpata Ramon ,
Yule Maza Roksana kesi imekuaa ngumu anaweza kupigwa fain hela ndefu sana ,
Bibi mnoko fahamu zimemrudia anamwambia mwanae Margarita kuhusu Nesi kuwa hafai lakin margarita haelewi kabisa sijui itakuwaje kesho.,..
 
Kivumbi Leo "
Wiki iliyoisha Ramon alituma kimemo Kwa Fabiola waonane somewhere Sasa Kuna mkuda yule binamu yake mtoto wa Hurio yule dogo Marioo kakisoma kampelekea Fransisco ,i Fransisco kafula kwel kweli
Mojakwa Moja kaenda ofisin kamkuta Fabiola anatest kipimo kuchek ujauzito wake aiseee Fransisco kamaindi sijui itakuwaje kesho 🤔

Na huku Sophia kaomba appointment kuonana na Mzee wake jela mpango wake anataka kuomba msaada kwaBaba yake ili kumpata Ramon ,
Yule Maza Roksana kesi imekuaa ngumu anaweza kupigwa fain hela ndefu sana ,
Bibi mnoko fahamu zimemrudia anamwambia mwanae Margarita kuhusu Nesi kuwa hafai lakin margarita haelewi kabisa sijui itakuwaje kesho.,..
fabi alikutana wapi na ramon?? hiko kibend ni cha nani japo nahisi mzee baba ramon anahusika, roxana na vile hana hela kaz anayo
 
fabi alikutana wapi na ramon?? hiko kibend ni cha nani japo nahisi mzee baba ramon anahusika, roxana na vile hana hela kaz anayo
Hawajakutana lkn Ramon Kuna yule Mzee abaefanya kaz pale gereji ndio alimpa kikaratas ampelekee Fabiola ofisin Sasa Fabiola hakuwepo ikabidi akiache ofisin Sasa yule dogo Sarvado akakiona akasoma ndio akampelekea Fransisco
 
Back
Top Bottom