Jackal
JF-Expert Member
- Apr 10, 2012
- 9,971
- 13,608
Leo nilikuwa busy na mechi ya Yanga kapiga mtu mkono.Kivumbi Leo "
Wiki iliyoisha Ramon alituma kimemo Kwa Fabiola waonane somewhere Sasa Kuna mkuda yule binamu yake mtoto wa Hurio yule dogo Marioo kakisoma kampelekea Fransisco ,i Fransisco kafula kwel kweli
Mojakwa Moja kaenda ofisin kamkuta Fabiola anatest kipimo kuchek ujauzito wake aiseee Fransisco kamaindi sijui itakuwaje kesho 🤔
Na huku Sophia kaomba appointment kuonana na Mzee wake jela mpango wake anataka kuomba msaada kwaBaba yake ili kumpata Ramon ,
Yule Maza Roksana kesi imekuaa ngumu anaweza kupigwa fain hela ndefu sana ,
Bibi mnoko fahamu zimemrudia anamwambia mwanae Margarita kuhusu Nesi kuwa hafai lakin margarita haelewi kabisa sijui itakuwaje kesho.,..
Yule Andrea na mpenzi binamu wanaendeleaje? Mara ya mwisho,jana, walikuwa wakiuza machungwa baada ya fedha za kuzuwiwa na Juana(Mama Yake Ramón),kisa wanapendana ndugu, first degree cousins 🤔