Wapenzi wa tamthilia ya “In Love With Ramon” mpo?

Wapenzi wa tamthilia ya “In Love With Ramon” mpo?

Naombeni kuuliza hivi Yule Susana na mama aka waliishia wap?
Susan aliamua kuondoka kwa mama yake baada ya kugundua kuwa mama yake anatembea na boyfriend wake. Hivyo akaamua kurudi kwa baba yake aishie USA.

Mama yake aliendelea na mapenzi na boyfriend wa Susan huku akiwa na uhusiano usio rasmi na baba wa kibeni ten chake.

Uhusiano wao ukaja kuzaa mapenzi na siku moja Mama huyo akajikuta anagonganisha magari... Baba mtu na mtoto wake...

Tokea tukio hilo litokee Mmama huyo hajaonyeshwa Tena! Lilikuwa vumanizi la aibu! Aliyeshinda ni mtoto na ni baada ya kuanza kumblacmail babake.
 
hulyo mahusiano yake na huanna yameishia wapi?
Hulio amemingeji... Ila bado ni ya kusua sua na hili linamkera Sana Juana! Na hasa pale anapokuwa na shida muhimu na Hulio ambaye anakuwa hapatikaniki au kuwa na udhuru mwingine....
 
Hulio amemingeji... Ila bado ni ya kusua sua na hili linamkera Sana Juana! Na hasa pale anapokuwa na shida muhimu na Hulio ambaye anakuwa hapatikaniki au kuwa na udhuru mwingine....
hatar watu wazima mapenzi yanawapelekesha
 
Susan aliamua kuondoka kwa mama yake baada ya kugundua kuwa mama yake anatembea na boyfriend wake. Hivyo akaamua kurudi kwa baba yake aishie USA.

Mama yake aliendelea na mapenzi na boyfriend wa Susan huku akiwa na uhusiano usio rasmi na baba wa kibeni ten chake.

Uhusiano wao ukaja kuzaa mapenzi na siku moja Mama huyo akajikuta anagonganisha magari... Baba mtu na mtoto wake...

Tokea tukio hilo litokee Mmama huyo hajaonyeshwa Tena! Lilikuwa vumanizi la aibu! Aliyeshinda ni mtoto na ni baada ya kuanza kumblacmail babake.
Kwahyo Julio anajua mwanae anatoka na mama ake Susana?
 
Pale hamna mapenzi Julio he is after money
hela zipi wakat huanna ameshamkatia kibunda fabi sjajua kuhusu andrea sababu alimkatalia kumpa hela zake? hatozila hulyo
 
Matokeo yake anajiingiza matatizoni kama alivyopokea kipondo toka kwa mabaunsa wa mume wa yule sugar mummy wake,na kile kibegi kinaenda kumtokea puani
mtu mwenyewe rulo hahaa, hivi yule aliemteka sofia na ramon akataka kumgonga kina ramon wakiwa njiani baada ya kuokolewa na yule baba akajibamiza akaonekana kama amezima kwenye sukan alionyeshwa tena? sababu yule baba alirud kule mara ya pili lakini alipofika kwenye ile van hakuwepo yule mtekaj
 
mtu mwenyewe rulo hahaa, hivi yule aliemteka sofia na ramon akataka kumgonga kina ramon wakiwa njiani baada ya kuokolewa na yule baba akajibamiza akaonekana kama amezima kwenye sukan alionyeshwa tena? sababu yule baba alirud kule mara ya pili lakini alipofika kwenye ile van hakuwepo yule mtekaj
Alipona anadunda tu
 
hela zipi wakat huanna ameshamkatia kibunda fabi sjajua kuhusu andrea sababu alimkatalia kumpa hela zake? hatozila hulyo
Andrea bado mshiko wake upo chini ya Juana, katumia kidogo kwa kununua shamba.

Kitendo cha kununua shamba kimemkera sana Hulio na kumfanya aharakishe kumuingeji Juana. Zaidi akaanza kumshawishi Andrea kuwekeza kwenye chain restaurant, lakini Mdada amekataa.

Hata hivi juzi waliposhikwa na Polisi kwa kuuza machungwa bila kibali na Juana kuwasaidia pesa kidogo, kilimkasirisha sana Hulio kiasi Cha kumgombeza sana Juana kwa kuendelea kumpa pesa Andrea...
 
Susan aliamua kuondoka kwa mama yake baada ya kugundua kuwa mama yake anatembea na boyfriend wake. Hivyo akaamua kurudi kwa baba yake aishie USA.

Mama yake aliendelea na mapenzi na boyfriend wa Susan huku akiwa na uhusiano usio rasmi na baba wa kibeni ten chake.

Uhusiano wao ukaja kuzaa mapenzi na siku moja Mama huyo akajikuta anagonganisha magari... Baba mtu na mtoto wake...

Tokea tukio hilo litokee Mmama huyo hajaonyeshwa Tena! Lilikuwa vumanizi la aibu! Aliyeshinda ni mtoto na ni baada ya kuanza kumblacmail babake.
Mama shamkupe mdangaji wa Casino🤣🤣
 
Back
Top Bottom