Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hakikatunajifunza ukiachwa achika
Hahaaa kiukweli natilia mashaka uwekezaji wao... kuna harufu ya kiutapeli😅Nasubir kwa hamu hatma ya mcheza kamali na mama yake..,wamejiingiza kwenye business lakini Ile sio kichwa ya kufanya nayo business [emoji1782]
Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
Mr hulio anaweza akazingua Tena,mwisho wake na mama yake ukawa mbayaHahaaa kiukweli natilia mashaka uwekezaji wao... kuna harufu ya kiutapeli😅
URIO hahahaha Mkali wa MikekaNasubir kwa hamu hatma ya mcheza kamali na mama yake..,wamejiingiza kwenye business lakini Ile sio kichwa ya kufanya nayo business [emoji1782]
Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
Mwanamke king'ang'anizi kama yule ni Atari Kwa afya ya MAHUSIANO mapya🤔tunajifunza ukiachwa achika
Itakua aibu sana kwao maana mwisho wa siku watarud kwa wale waliowaona wabaya.. kwakua hakutakua na kimbilio lingineMr hulio anaweza akazingua Tena,mwisho wake na mama yake ukawa mbaya
aliponiacha hoi ni pale alipouza vijiko apate hela ya kamariHahaaa kiukweli natilia mashaka uwekezaji wao... kuna harufu ya kiutapeli😅
na wakat kile kibibi chao kina fabi kinakua na akili kuna wakat ananikera mwisho wao hautakua mzur kabisaaItakua aibu sana kwao maana mwisho wa siku watarud kwa wale waliowaona wabaya.. kwakua hakutakua na kimbilio lingine
ukiona huelewi ujue haikuhusuSijui hata mnaongelea nini hapa.
Urahibu mbaya sanaaliponiacha hoi ni pale alipouza vijiko apate hela ya kamari
wa mexico wanajua bwana n maisha halisi kabisa yale hata pia n laana ya mkewe aliefarikiUrahibu mbaya sana
Mm ninaye mjomba nae alikuwa mrahibu wa hzo kamari unaambiwa ilifika kipindi aliuza gari lake na
alipotaka kuuuza na nyumba ndugu wakaingilia kati aisee ndio ilikuwa ponapona yake sa hv kaokoka na kamari kaacha kabisa ataki hata kuisikia
Yule bibi kaishapigwa na kitu kizito kichwani.Ile biashara ni fraud na ofisi haipo tena pale!Nasubir kwa hamu hatma ya mcheza kamali na mama yake..,wamejiingiza kwenye business lakini Ile sio kichwa ya kufanya nayo business [emoji1782]
Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
iko waz kabisa iyoku
na wakat kile kibibi chao kina fabi kinakua na akili kuna wakat ananikera mwisho wao hautakua mzur kabisaa
Loh! Yamewakuta.Yule bibi kaishapigwa na kitu kizito kichwani.Ile biashara ni fraud na ofisi haipo tena pale!
Kha! Stage aliyofikia ilikua mbaya mnooaliponiacha hoi ni pale alipouza vijiko apate hela ya kamari