Wapi Dar naweza kupata kiwanja cha milioni mbili?

Wapi Dar naweza kupata kiwanja cha milioni mbili?

TUNAUZA VIWANJA KWAAJILI YA MAKAZI
1.KILUVYA MADUKANI--BEI 8M (UKUBWA 20*20)
2.KIGAMBONI AVICK TOWN--BEI 12.4(UKUBWA 30*25)
3.BAGAMOYO FUKAYOSI--BEI 395,000/=(UKUBWA 20*25)
4.VIGWAZA BANDARI KUU--BEI 580,000/= (UKUBWA 20*20)
5.KIBAMBA eneo lipo barabarani--BEI 50M(UKUBWA HEKA 1 NA ROBO)
6.CHALIZE PINGO--BEI 1.5M KWA HEKA.
7.CHALINZE eneo lipo barabarani--BEI 17M KWA HEKA
Mawasiliano WhatsApp +255625234332
Mko vizuri mkuu
 
TUNAUZA VIWANJA KWAAJILI YA MAKAZI
1.KILUVYA MADUKANI--BEI 8M (UKUBWA 20*20)
2.KIGAMBONI AVICK TOWN--BEI 12.4(UKUBWA 30*25)
3.BAGAMOYO FUKAYOSI--BEI 395,000/=(UKUBWA 20*25)
4.VIGWAZA BANDARI KUU--BEI 580,000/= (UKUBWA 20*20)
5.KIBAMBA eneo lipo barabarani--BEI 50M(UKUBWA HEKA 1 NA ROBO)
6.CHALIZE PINGO--BEI 1.5M KWA HEKA.
7.CHALINZE eneo lipo barabarani--BEI 17M KWA HEKA
Mawasiliano WhatsApp +255625234332

Gharama sana hivi
 
Habari wakuu,

Nataka nijenge Dar lakini kabla ya hapo nilikuwa nahitaji kufanya survey. Napenda wilaya tatu Kinondoni, Dar na Kigamboni lakini nilivyopitia maeneo mengi ambayo ni mazuri Kawe, Mbezi, Mbezi Beach, Kinyerezi Kimara ni ghali sana, hii survey nimeifanya mtandaoni! Yaani huku kupata kiwanja cha hata 2M sidhani.

Swali: Je, ni wapi naweza kupata kiwanja cha 2 Milion au hata 3 maximum kilicho Dar katika moja ya wilaya za Dar siyo lazima nilizotaja hapo juu! Isiwe Pwani, Kibaha sijui Mkuranga.

Karibuni
Gezaulole hata cha 500k unapata, pesa yako tu
 
TUNAUZA VIWANJA KWAAJILI YA MAKAZI
1.KILUVYA MADUKANI--BEI 8M (UKUBWA 20*20)
2.KIGAMBONI AVICK TOWN--BEI 12.4(UKUBWA 30*25)
3.BAGAMOYO FUKAYOSI--BEI 395,000/=(UKUBWA 20*25)
4.VIGWAZA BANDARI KUU--BEI 580,000/= (UKUBWA 20*20)
5.KIBAMBA eneo lipo barabarani--BEI 50M(UKUBWA HEKA 1 NA ROBO)
6.CHALIZE PINGO--BEI 1.5M KWA HEKA.
7.CHALINZE eneo lipo barabarani--BEI 17M KWA HEKA
Mawasiliano WhatsApp +255625234332
Viwanja vyenu ni surveyed plots....mnawasaidia clients wenu kupata hati miliki kutoka wizarani?
 
Habari wakuu,

Nataka nijenge Dar lakini kabla ya hapo nilikuwa nahitaji kufanya survey. Napenda wilaya tatu Kinondoni, Dar na Kigamboni lakini nilivyopitia maeneo mengi ambayo ni mazuri Kawe, Mbezi, Mbezi Beach, Kinyerezi Kimara ni ghali sana, hii survey nimeifanya mtandaoni! Yaani huku kupata kiwanja cha hata 2M sidhani.

Swali: Je, ni wapi naweza kupata kiwanja cha 2 Milion au hata 3 maximum kilicho Dar katika moja ya wilaya za Dar siyo lazima nilizotaja hapo juu! Isiwe Pwani, Kibaha sijui Mkuranga.

Karibuni
Kigamboni Puna, Yale, Pemba mnazi. Ukitoka ferry mpaka huko ni mbali kuliko anaetoka ubungo kwenda kibaha
 
Mbali balaaaa
Mbali toka wapi? hayo ni mawazo ya kitoto!! Kasi ya ukuaji wa mji ni kubwa mno!! Sikiliza: Miaka ile ya mwanzoni mwa 80 wakati wa operation nguvu kazi watu wasio na kazi mjini Dar walikuwa wanakamatwa na kupelekwa Geza ulole na kupewa maeneo ya kulima na kujenga huko bure!! Pia walikuwa wanapelekwa maeneo ya mbezi na kugawiwa mashamba huko bure!! Maeneo hayo yalikuwa yanaonekana kuwa ni mbali na porini!! Vijana walio wengi waliyatelekeza na kurudi mjini!! Wenye macho yao ya kuona mbali kiutu uzima waliyatunza nakuanzisha kilimo. Baada ya miaka 10 tu, sehemu hizo zikaanza kuwa ni mali sana!
 
TUNAUZA VIWANJA KWAAJILI YA MAKAZI
1.KILUVYA MADUKANI--BEI 8M (UKUBWA 20*20)
2.KIGAMBONI AVICK TOWN--BEI 12.4(UKUBWA 30*25)
3.BAGAMOYO FUKAYOSI--BEI 395,000/=(UKUBWA 20*25)
4.VIGWAZA BANDARI KUU--BEI 580,000/= (UKUBWA 20*20)
5.KIBAMBA eneo lipo barabarani--BEI 50M(UKUBWA HEKA 1 NA ROBO)
6.CHALIZE PINGO--BEI 1.5M KWA HEKA.
7.CHALINZE eneo lipo barabarani--BEI 17M KWA HEKA
Mawasiliano WhatsApp +255625234332
haya makampuni ya kuuza viwanja siku izi ni mengi sana yameishaona kuna mgodi wa fedha kwenye viwanja, kiwanja cha milion 2 kiluvya unauziwa milion 7 tuoneeni huruma
 
Back
Top Bottom