πππ kwahiyo unamix matairi fake na og?Basi acha tuendelee kuwauzia mpaka nyundo feki ukigonga msumari nyundo inavunjika anarudi kununua nyingine
Kwa kweli hata mimi nimechanganya bidhaa sana unakuta tairi moja bei mara 4 ya feki unaweka yote tu
Nahisi walivyokuja kufanya research wenyewe walichoka kukuta wabongo wamevaa brand zao kuliko kawaida πππNdo mana wenye hizo brands hawaji itakua walishafanya research.
Uzuri wa luxury products kama MCM huwa zina serial numbers ambazo hutumika kuhakiki kama bidhaa ni halisi au feki halafu huwa zina warranty. Hivyo kubaini kama ni feki ni kazi rahisi sana π€£.ππππ Mimi nikiwa mmojawapo wa kuuza Jordan, Nike, Gucci, Prada fake
Pochi zetu sasa za MCM ukitukuta tumezibebelea kwa madoido nahisi mnatucheka sana mkiwa mnatuzoom π
Hizo sneakers unaziuza bei gani na size gani nikutafutie wateja.!! Cutting yake ikoje? Normal or big mana hivyo viatu vinatengenezwa kwa watu wa eneo husika.!!
π€£π€£Nahisi walivyokuja kufanya research wenyewe walichoka kukuta wabongo wamevaa brand zao kuliko kawaida πππ
Km kkoo utachoka kuna Jordan mpk ya 30,000
Hiyo ipo shop kwangu tunauza 120,000 πΉπΉπΉUzuri wa luxury products kama MCM huwa zina serial numbers ambazo hutumika kuhakiki kama bidhaa ni halisi au feki halafu huwa zina warranty. Hivyo kubaini kama ni feki ni kazi rahisi sana π€£.
Sneakers ni Air Jordan VI OG infrared, 2019 re-release edition.
View attachment 3049141
View attachment 3049142
Nilizinunua kwa $279.99.
Nimekutumia hapo ziko dukani si umeona hakuna tofauti yoyote ππππ€£π€£
Ila unajua nini? Hizo feki, ukiziangalia kwa juu juu, wala huwezi kustukia kuwa ni feki.
Halafu ukizivaa unapendeza kama kawaida tu.
Lakini hazidumu.
π€£π€£Hiyo ipo shop kwangu tunauza 120,000 πΉπΉπΉ
ntakuja hapo dukani nikuungishe viwalomshamba_mwingine kinachokuchekesha nini?? πππ
Umbea tyuu..!!
πππ bongo hakuna kinachoshindikana.π€£π€£
Umetisha!
120,000 ni takriban doΕa 40 na kitu.
Umeona sasa! Hata hiyo 120,000 kibongo bongo ni hela nyingi sana.
Swali: kwa mfano nikikupa hizi za kwangu, utaziuza kwa bei gani hapo dukani kwako?
Karibu sana tena nna mzigo nimeshusha wa moto πntakuja hapo dukani nikuungishe viwalo
nifanyie free delivery gongo la mbotoKaribu sana tena nna mzigo nimeshusha wa moto π
Umetisha dogo.Mimi nna makorokoro mengi mpk najiogopa πππ
Shower gel ninazo 6 na zote nazitumia nikiwa naoga, perfume ndio nazigonganisha napata cocktail moja matata sitaki kuhug na mtu unaanza kutoa harufu za ajabu ajabu mi mwenyewe sipendi uchafu.!!
Mbeya ulishatoka dogo??nifanyie free delivery gongo la mboto
πππ Mi kinachoniponza napenda vitu tofauti tofauti, naweza kununua shower gel ya Dove lakini nitatamani na cerave, nivea, Vaseline Johnson, Medi ili mradi basi tu nikazijaze bathroom.!! Sina utulivu kabisaa.!!Na
Umetisha dogo.
Mwenzio nikipenda kitu nakiganda.Mf,perfume natumia boss tu miaka na miaka,shower gel ni Rituals nimeiganda.
Dressing table yangu ukiiona inachekesha.Ni perfume za boss ,lipstic moja.Sina cha poda wala cha foundation wala cha rangi ya kucha wala cha wanjaπππ Mwenzio siwezi mambo mengi nilijaribugi nikashindwaπ
Sema kunachonichekesha ni kuwa wabongo wengi wanavaaa feki ila hata hawajui kama ni feki.Utasikia hii saa yangu ni OG nimenunua 8o,000 hii unabaji hiΓiiiiii na hakuna kitu utasema waelewe.Nahisi walivyokuja kufanya research wenyewe walichoka kukuta wabongo wamevaa brand zao kuliko kawaida πππ
Km kkoo utachoka kuna Jordan mpk ya 30,000
πππ Tena hizo saa ndio utacheka, kuna mtu alinionyesha saa ya 70,000 Rolex akaniambia og nikabaki nasikitika peke yangu.!!Sema kunachinuchekesha nu kuwa wabongo wengi wanacaa feki ila hata hawajui kama ni feki.Utasikia hii saa yangu ni OG nimenunua 8o,000 hii unabaji hiΓiiiiii na hakuna kitu utasema waelewe.