Apostle Ezekiel
Member
- Mar 19, 2019
- 48
- 109
Ndugu zangu, natafuta mtu anayeweza kuwa na access ya upatikanaji wa mboro za ngo'ombe zikiwa kavu pamoja na ngozi za Ng'ombe ziwe kavu pia kwa wingi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni biashara ndugu zangu,sema neno la staha ningeliwekaje ili lieleweke
Ni biashara ndo maana nimeleta hapa,neno gumu ni ilo la kwanzaKijana Mwachiluwi ,huko uliko hamna Mboro za ng'ombe?
Zenyewe au na nyanya zake?..natafuta mtu anayeweza kuwa na access ya upatikanaji wa mboro za ngo'ombe
Kwani tofauti ya hayo maneno ni nini? Uzuri nipo katika ajenda ya biashara sio mzaha ndugu yanguKwanini umeitumia neno Kali kabisa,ungetumia neno uume
Soma vizuri mkuu,ametumia tafsida...Labda angesema mbooKwanini umeitumia neno Kali kabisa,ungetumia neno uume
Zenyewe tuu kama zilivyoZenyewe au na nyanya zake?
Shukrani ndugu kwa kunisaidia.Soma vizuri mkuu,ametumia tafsida...Labda angesema mboo
Umeanza kuishi kwa masharti siyo?Ndugu zangu,natafuta mtu anayeweza kuwa na access ya upatikanaji wa mboro za ngo'ombe zikiwa kavu pamoja na ngozi za Ng'ombe ziwe kavu pia kwa wingi.
Hapana ni biashara,ngozi nauza zinaenda Nigeria kuhusu izo mboro ni utengenezaji wa bandage zinaenda nchi za Asia.Acha mawazo mgando Mzee tuliza kichwaBila shaka unapeleka kwa mganga au utakuwa mchawi
Hivyo hivyo tu angechelewa kuzipata angetumia lugha za kuwapambaKwanini umeitumia neno Kali kabisa,ungetumia neno uume
Hahahahah..neno jepesi kabisaApostle umeshushiwa ufunuo kwenye hizo
Ndugu zangu,natafuta mtu anayeweza kuwa na access ya upatikanaji wa mboro za ngo'ombe zikiwa kavu pamoja na ngozi za Ng'ombe ziwe kavu pia kwa wingi