Apostle Ezekiel
Member
- Mar 19, 2019
- 48
- 109
- Thread starter
- #41
SawaMm nazani ungeenda ma chinjioni unapata zakutosha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SawaMm nazani ungeenda ma chinjioni unapata zakutosha
Dah Kwanini Usingesema Uume Wa Ng'ombe Aisee watu mmepinda SanNdugu zangu,natafuta mtu anayeweza kuwa na access ya upatikanaji wa mboro za ngo'ombe zikiwa kavu pamoja na ngozi za Ng'ombe ziwe kavu pia kwa wingi.
Tunazipataje na sisi?Zishalipiwa zote mpaka mikoani yaani kuna midume ya ng'ombe zakari zao zishauzwa kitambo
Wanakula au kuna shughuli zake zingine?Zishalipiwa zote mpaka mikoani yaani kuna midume ya ng'ombe zakari zao zishauzwa kitambo
DuuuuNdugu zangu,natafuta mtu anayeweza kuwa na access ya upatikanaji wa mboro za ngo'ombe zikiwa kavu pamoja na ngozi za Ng'ombe ziwe kavu pia kwa wingi.
Nipe kazi mkuu.
Zinaenda kutengenezewa bandage.Kwa ngozi kwa kule Nigeria ni chakula kabisa hasa west AfricaWanakula au kuna shughuli zake zingine?
DodomaUpo mkoa gani
Huko mbaliDodoma
0654505339 nipgie tuongeeHuko mbali
Ngoz kavu iPod mojaNi biashara ndo maana nimeleta hapa,neno gumu ni ilo la kwanza
0654505339Weka bei mezani na unahitaji kwa kiasi gani
0654505339Ngozi moja tsh ngapi?
Mboro moja tsh ngapi?
SijakuelewaNgoz kavu iPod moja
Au mkongojo wa ng'ombeKwanini umeitumia neno Kali kabisa,ungetumia neno uume