Wapi naweza kupata zaga na ngozi za ng'ombe kavu?

Wapi naweza kupata zaga na ngozi za ng'ombe kavu?

Ndugu zangu,natafuta mtu anayeweza kuwa na access ya upatikanaji wa mboro za ngo'ombe zikiwa kavu pamoja na ngozi za Ng'ombe ziwe kavu pia kwa wingi.
zinaitwa ashoki,
pale mbagala zakhiem,wauza nyama pembezini mwa barabara wanauza sana mambo hayo,

nadhani wanaweza kukupa ramani nzuri za hizo mambo, hata hivyo kwenye machinjio yoyote yale mathalani vinginguti unaweza kupata kirahisi sana na ukaenda kukausha mwenyewe nyumbani na kisha ukaendelea na ushirikina wako kwa uhuru zaidi,

au nakosea gentleman?🐒
 
zinaitwa ashoki,
pale mbagala zakhiem,wauza nyama pembezini mwa barabara wanauza sana mambo hayo,

nadhani wanaweza kukupa ramani nzuri za hizo mambo, hata hivyo kwenye machinjio yoyote yale mathalani vinginguti unaweza kupata kirahisi sana na ukaenda kukausha mwenyewe nyumbani na kisha ukaendelea na ushirikina wako kwa uhuru zaidi,

au nakosea gentleman?🐒
Mods wamerekebisha_Zaga!
 
Wanakula au kuna shughuli zake zingine?
Kutengeneza nyuzi za kufanyia upasuaji.. Usikisia nyuzi za nyama ndio hizo.. Yaani ukishashonwa hakuna kutoa nyuzi tena
Vilevile kwa ajili ya kutengeneza dawa za nguvu za kiume
 
Ndugu zangu, natafuta mtu anayeweza kuwa na access ya upatikanaji wa mboro za ngo'ombe zikiwa kavu pamoja na ngozi za Ng'ombe ziwe kavu pia kwa wingi.
Uko sriaz kwl! bei ya mazaga zaga kwa klo unanuaje je ww ofs yako ipo wapi na klo ya ngoz ya ng'ombe unanunuaje maana ukifka bei yang nitakuletea mzgo mwng
 
Kutengeneza nyuzi za kufanyia upasuaji.. Usikisia nyuzi za nyama ndio hizo.. Yaani ukishashonwa hakuna kutoa nyuzi tena
Vilevile kwa ajili ya kutengeneza dawa za nguvu za kiume
Duh elimu haina mwisho. Shukrani
 
Back
Top Bottom