angeandika uume ingebadilisha uhalisia wa kiungo tajwa?Kwanini umeitumia neno Kali kabisa,ungetumia neno uume
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
angeandika uume ingebadilisha uhalisia wa kiungo tajwa?Kwanini umeitumia neno Kali kabisa,ungetumia neno uume
Daaah masharti tena ndugu? Biashara hii Tena ni biashara huria kabisaUmeanza kuishi kwa masharti siyo?
UumeNi biashara ndugu zangu,sema neno la staha ningeliwekaje ili lieleweke
Ndo maana nimekuja hapa tujadiliane kwa pamoja,machinjio najua napata lakini katika biashara Kuna kitu kinaitwa kupanua wigo wa biashara.Nenda machinjio
Haya sawa,twende katika ajenda si umenielewa lakiniUume
Hata mbichi siku hizi ni Kazi sana kuzipata zinalipiwa hata kabla mmiliki bado yuko haiNdugu zangu,natafuta mtu anayeweza kuwa na access ya upatikanaji wa mboro za ngo'ombe zikiwa kavu pamoja na ngozi za Ng'ombe ziwe kavu pia kwa wingi.
Zishalipiwa zote mpaka mikoani yaani kuna midume ya ng'ombe zakari zao zishauzwa kitamboNenda machinjio
Mkuu biashara yangu kuu ni uuzaji wa ngozi na mboro za ng'ombe.wala hakuna utapeli au kutaka kumtapeli mtu.Na hizi kazi hatufanyi na wachina kabisa.Nadhani jikite katika kufatilia hili uondokane na iyo mindsetJahadhari na wachina ni matapeli balaa
Usijichanganye hapo
Leo uume kesho anataka kakakuona hapo mvua 30 zinakuhusu
Hawa jamaa na magendo ni damu damu
Mkuu biashara yangu kuu ni uuzaji wa ngozi na mboro za ng'ombe.wala hakuna utapeli au kutaka kumtapeli mtu.Na hizi kazi hatufanyi na wachina kabisa.Nadhani jikite katika kufatilia hili uondokane na iyo mindsetJahadhari na wachina ni matapeli balaa
Usijichanganye hapo
Leo uume kesho anataka kakakuona hapo mvua 30 zinakuhusu
Hawa jamaa na magendo ni damu damu
Sio suala la kuelewa bali nimejibu swali lako au umesahau kuwa umeuliza swali?Haya sawa,twende katika ajenda si umenielewa lakini
Una idea yoyote na hii ishu sio? Basi karibu tuone tunaweza saidianaje kimapatoNipe kazi mkuu.
Ndugu zangu,natafuta mtu anayeweza kuwa na access ya upatikanaji wa mboro za ngo'ombe zikiwa kavu pamoja na ngozi za Ng'ombe ziwe kavu pia kwa wingi.
Weka namba hapa ngozi zipo ila Hilo zaga tutajadirianaNdugu zangu,natafuta mtu anayeweza kuwa na access ya upatikanaji wa mboro za ngo'ombe zikiwa kavu pamoja na ngozi za Ng'ombe ziwe kavu pia kwa wingi.
Sindio hapo sasaWatanzania mnaficjaficha nini kiungo kitamkwe kama unavyo tamka meno jicho ngozi n.k
Sawa kila la kheriMkuu biashara yangu kuu ni uuzaji wa ngozi na mboro za ng'ombe.wala hakuna utapeli au kutaka kumtapeli mtu.Na hizi kazi hatufanyi na wachina kabisa.Nadhani jikite katika kufatilia hili uondokane na iyo mindset
0654505339Weka namba hapa ngozi zipo ila Hilo zaga tutajadiriana
Ni kweli,Kuna namna ya kupata ngozi za machinjoni mkuu japo zipo na ili upate ni lazima uwe na cash nyingi.Naomba kama hutojali siku fatilia hiliSawa kila la kheri
Ila kama unafanya biashara hizi na mzoefu lazima utajua kuwa machinjioni ndio zinapatikana hizo dhakari na ngozi