Mkuu tupe dodoso kidogo japo biashara ni siri. Matumizi yake ni nini..Ndugu zangu, natafuta mtu anayeweza kuwa na access ya upatikanaji wa mboro za ngo'ombe zikiwa kavu pamoja na ngozi za Ng'ombe ziwe kavu pia kwa wingi.
Hata soup sijaribu ,mimi nitie vidude vyenye ncha kali tumboni ?hata kama vimepikwaa...aaaah hapana.Zipo unazitaka?
Hizo dushe za ng'ombe unatupangaHapana ni biashara,ngozi nauza zinaenda Nigeria kuhusu izo mboro ni utengenezaji wa bandage zinaenda nchi za Asia.Acha mawazo mgando Mzee tuliza kichwa
Wamasai uku wanachinja we sema nikuletee tena ungesma mapema leo nilikuwa machinjion ila ijumaa nakuenda kukuchukuliaHata soup sijaribu ,mimi nitie vidude vyenye ncha kali tumboni ?hata kama vimepikwaa...aaaah hapana.
Sehemu gani hiyo kuna maasai? Nataka nifike niwasalimu ndugu zangu hao.Wamasai uku wanachinja we sema nikuletee tena ungesma mapema leo nilikuwa machinjion ila ijumaa nakuenda kukuchukulia
Hapo kwrnyzinaitwa ashoki,
pale mbagala zakhiem,wauza nyama pembezini mwa barabara wanauza sana mambo hayo,
nadhani wanaweza kukupa ramani nzuri za hizo mambo, hata hivyo kwenye machinjio yoyote yale mathalani vinginguti unaweza kupata kirahisi sana na ukaenda kukausha mwenyewe nyumbani na kisha ukaendelea na ushirikina wako kwa uhuru zaidi,
au nakosea gentleman?🐒
Mkuu tupe dodoso kidogo japo biashara ni siri. Matumizi yake ni nini..
Nishawahi kuona mtu ana tafuta kuanzia kinyesi kinachotolewa kwenye tumbo ng'ombe ambae ameshachinjwa, ngozi pamoja ni hiyo, akasema anawapelekea wachina
Kwenye kinyesi sifahamu maana hata kama Kina mantiki basi ni mbolea nadhani,ila iyo zaga ni kwa ajili ya kutengeneza bandages na ngozi ni matumizi mbali mbali ila west Africa ni msosi pia.Mkuu tupe dodoso kidogo japo biashara ni siri. Matumizi yake ni nini..
Nishawahi kuona mtu ana tafuta kuanzia kinyesi kinachotolewa kwenye tumbo ng'ombe ambae ameshachinjwa, ngozi pamoja ni hiyo, akasema anawapelekea wachina.
0654505339 tuongeeWamasai uku wanachinja we sema nikuletee tena ungesma mapema leo nilikuwa machinjion ila ijumaa nakuenda kukuchukulia
Kwenye ushirikina sipo huko kaka,jaribu kuchimba vitu na kujifunza kwanini uniwazie hivyo?zinaitwa ashoki,
pale mbagala zakhiem,wauza nyama pembezini mwa barabara wanauza sana mambo hayo,
nadhani wanaweza kukupa ramani nzuri za hizo mambo, hata hivyo kwenye machinjio yoyote yale mathalani vinginguti unaweza kupata kirahisi sana na ukaenda kukausha mwenyewe nyumbani na kisha ukaendelea na ushirikina wako kwa uhuru zaidi,
au nakosea gentleman?🐒
weka wazi bas apostle ili ukafanye nalo nini hilo zaga?Kwenye ushirikina sipo huko kaka,jaribu kuchimba vitu na kujifunza kwanini uniwazie hivyo?
Nipo arushaSehemu gani hiyo kuna maasai? Nataka nifike niwasalimu ndugu zangu hao.
Monduli ya 1? Monduli ya 2 au monduli ya 3?Nipo arusha
TMAMonduli ya 1? Monduli ya 2 au monduli ya 3?
Safi kabisa kijana, LT sasa eeh?
Ahahah ulipakimbiaSafi kabisa kijana, LT sasa eeh?
Kuna miaka fulani nyuma hapo niliota miezi kadhaa mfululizo niko hapo,ah nikagundua si kweli
Umri wote huu nikimbie vitu vidogo hivyo?Ahahah ulipakimbia
Weka BEI ???0654505339