Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duhhhh....Hapo mission tu ndugu yangu alipata cha 25 kina umeme, choo safi cha nje, maji ndo hayakuwepo
Je chenye choo ndani naweza kuongezea ngapi mkuu kwa maeneo hayo?Labda karibu na Mpigamiti kule unaweza ukapata mkuu
Je chenye choo ndani naweza kuongezea ngapi mkuu kwa maeneo hayo?Nenda mbagala pale mission utapata via kutosha
Nipo serious mkuuHiyo 30000 mbagala unapata chenye choo ndan
Mimi nimepanga chumba cha 30,000/- kwa Mzee Mchedange.Tegeta atapata iyo mitaa, kwa kikweche huko
Asante mkuuPole bro ila nakushauri kaa mbali na kina dada🤔
Kwa hiyo bei unapata self safi, jiko na unaweza kuta ina fance kabisa mkuu...😊Je chenye choo ndani naweza kuongezea ngapi mkuu kwa maeneo hayo?
Me alikuwa anaish ndugu yangu hapo alishahama.Je chenye choo ndani naweza kuongezea ngapi mkuu kwa maeneo hayo?
Hapo bado vipo?Mimi nimepanga chumba cha 30,000/- kwa Mzee Mchedange.
Mbagala nyumba sio bei hata. Sema tu kwangu pako kushoto Ila life la mbagala kwa ujumla ni rahisi kwa wanaojiita wapiganajiDuhhhh....
Basi utakuta anaishi na jini humo..😶
Mkuu huyo jamaa maji huwa hatumii, choo hatumii wala umeme hatumiiNapo atapata cha giza na hakina maji wala choo...🤣
Asante nitaenda kuangaliaMe alikuwa anaish ndugu yangu hapo alishahama.
Nimeshampatia code aende hapo akazurure atapata room. Halaf mbagala hata boda ziko nafuu Sana
Na maisha kwa ujumla
Vimeisha BwasheeHapo bado vipo?
Sasa atapita njia gani bila kuwaona mkuu...🤨Pole bro ila nakushauri kaa mbali na kina dada🤔
SawaVimeisha Bwashee
Kuwa serious mkuuMkuu huyo jamaa maji huwa hatumii, choo hatumii wala umeme hatumii