Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Fanya 50, ila umeme uko njiani kuwekwa, na utakuwa unakaa mwenyewe; maeneo ya mbezi msumi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We jamaa mbona umekamia mbagala..Nenda mbagala ndugu yangu
Ameelewa nimemwambia afunge zipu anapijitafuta😀Sasa atapita njia gani bila kuwaona mkuu...🤨
Mkuu mnapokea miezi mingapi? Hata kesho nipo tayari kuja kuangaliaFanya 50, ila umeme uko njiani kuwekwa, na utakuwa unakaa mwenyewe; maeneo ya mbezi msumi.
Ahsante mkuuMbagala,
Chamazi
Mbande
Kusewe
Msongora
Gongo la mboto
Chanika
Vingunguti
Keko (magulumbasi)
Ndo Kuna makazi ya bei hiyo baba swaumuWe jamaa mbona umekamia mbagala..
Sitaki cha mbali sana na city centreUnataka popote ilimradi dar? Maana unaeza pata cha 30k afu nauli ad kazini kwa mwezi ukawa unatumia 90k
kuanzia 3Mkuu mnapokea miezi mingapi? Hata kesho nipo tayari kuja kuangalia
Mkuu nitakupa hela ya bando kwa sasa hali yangu ya kiuchumi sio nzuriSehemu nyingine mbezi mtaa wa muhimbili sehem inayoitwa uzunguni vipo vya 30 pia
Kama utatoa udalali ntafute nkuunganishe na mtu anayevipangisha ambaye ni dalali
Namuunga mkono, tena aende Mbagala MATOMBOWe jamaa mbona umekamia mbagala..
Naomba unitumie picha PM mkuukuanzia 3
Karbu kwa msaada zaidi....Ahsante mkuu
Asante sanaKarbu kwa msaada zaidi....
Mnaichukulia mbagala poa sana nyie watuNamuunga mkono, tena aende Mbagala MATOMBO
Mkuu hata pisi za mbagara zina rangi tatu tatuMnaichukulia mbagala poa sana nyie watu
😁😁😁😁😁
Oa mbagala kuna chumba kina umeme na huduma za jamii zote zipo ila location iliyopo sasa ndo kinafanya kionekane jau
Mkuu unapajua mianzini ndani ndani kule..
Nyumba zimebandana kwenye korongo/sijui kichuguu kile an hovyo hovyo....
Mfano unaeza pata kimara then ukitoka posta/kkoo kwa mwendo kasi ukishuka unapanda bajaji buku kwenda buku kurudi mara 30 days 60k ukiongeza Kodi 90k jumla inakua Bora utafute chumban cha 60 au 70 karbu na barabara unakua NI kupanda mwendo kadi tuSitaki cha mbali sana na city centre
Naona umetoa comment zaidi ya moja kuhusu mbagala..Ndo Kuna makazi ya bei hiyo baba swaumu
Sasa mimi nakaa makumbusho chumba cha bei ndogo laki moja na hatapata kwa bei ya 30000
Vingunguti msimbazi ila Cha gizaNaombeni mnisaidie sehemu yenye vyumba vya 30000 kwa dar