Inapatikana wapi ?Njoo Iringa kwenye machai. Tunza tiketi YA BASI nauli unarudishiwa ukifika.
1.nyumba bure
2.maji ya uhakika
Vigezo
1. Miaka 18+
2. Uwe na NIDA namba au cheti cha kuzaliwa au kadi ya mpiga kura au namba ya NSSF AU leseni ya udereva
Kazi ni kuchuma kipato ni kutokana na juhudi ya uvunaji lakni kuna kazi zingine za utunzaji wa mashamba ambazo ni sh 7,000/= kwa siku. Kazi ni saa moja kamili hadi saa nane mchana
Hakuna rushwa yoyote na kazi uhakika.
Kampuni inaitwa Lipton teas and Infusion zamani Unilever.
Pm me na karibu sana.
Wilaya ya Mufindi,IringaInapatikana wapi ?
Kma n mwanza umepata niconnect na mimi nipo hpaNimeshapata kazi mkuu lkn nakuomba uvitaje hapa hivyo viwanda unavoweza kupata kazi kwa urahisi pengine unaweza kusaidia wengine.
Uhitaji wa kazi kwa watu ni mkubwa...idadi ya vijana waliohitaji kazi miaka hiyo ya 97/98 sio sawa na sasa hivi.... Leo hata ukienda kuomba kazi hiyo ya kutumia nguvu bado watakulingia na usiipate!. Ila miaka hiyo inawezekana mlikuwa mnatafutwa.Najaribu kufikiri hii inakuwaje, mimi nimefanya kazi za saidia fundi ujenzi miaka ya 97/98 kama kupandisha tofali, kuchanganya cement au kusuka nondo nilikuwa napata elfu tano au zaidi kwa siku.
Leo hii saidia fundi bado anapata hela ile ile au inakuwaje?
We dogo unamatatizo ya akili kweli ivi ukienda pale pepsi nyakato hupati kazi hara bila connection acha uzembe wewe kila siku kunajazi na lazima wachukue vibarua, siku nyingine nitakukata vibao kwenye uzi uvivu wako peleja hukowatu wanaongea kirahisi rahisi sana,eti nenda kiwanda cha bia mara Coca-Cola,mara nenda ilemela kule kwenye viwanda vya samaki eti kazi za kumwaga!!!.Nyie watoto wa mama hamjui mziki wa ajira,hizo kazi zenyewe za viwandani zinahitaji connection na malipo ni kiduchu kazi mlima na kuzipata ni kwa kubahatisha sana
mimi naitaji kiongozi nipo mwanzaInapatikana wapi ?
[emoji23][emoji23][emoji23] bahati mbaya ni wachache sana wakiwa chuoni wanaweka akiba ya pesa au kuwekeza ktk biashara. Wengi wao huishia kumiliki simu na pisi kali tu!!!Ile Siku Usiku Niliona Thamani Ya Boom Kwa Kipindi Kile Ilikuwa Sijui 5000/7000 Kwa Siku Nikasema Serikali Inatupa Kiasi Kikubwa Sana Kisa Kuingia Darasani Tu.
Kwani umefungwa kamba? Kutoka Mwanza hadi Dsm kuna kizuizi gani?Mwanza alafu mbezi mwisho?
Muwe mnasoma mpaka mwsho wakuu
Yeye kaomba mwanzaKwani umefungwa kamba? Kutoka Mwanza hadi Dsm kuna kizuizi gani?