Wadau natafuta mganga bora kabisa atakayeizindika nyumba yangu kwani wachawi nananisumbua sana usiku.
Wadau natafuta mganga bora kabisa atakayeizindika nyumba yangu kwani wachawi nananisumbua sana usiku.
Funga safari hadi Tanga, Wilaya ya handeni ulizia boda boda tu mganga mzuri watakupeleka bila shida maana wanawafahamu vizurWadau natafuta mganga bora kabisa atakayeizindika nyumba yangu kwani wachawi nananisumbua sana usiku.
Atupe atupe....tujikinge na wangaStori tu[emoji16]
Kigwa boi hana hamu na hukoSi ni Tanga ndiyo kunaogoza uwepo wa waganga au ule utafiti feki?
Mkuu fafanua vizuri,"alipigwa miti asubuhi" unamaanisha nini mkuu?Achana na hiyo mambo kama una imani yako ya dini fanya maombi ama toa sadaka. Mimi yalinikuta mambo magumu sana mpaka nikakimbia nyumba nimeachia msala wapangaji.
Kuna mmoja alipigwa miti ndani asubuhi alikuta tende mezani. Achana kbs na hayo mawazo. Fanya toba tu. Mimi nilifukia kitu hata sikumbuki nilifukia sehemu gani ya nyumba SHIRIKI sitaki hata kuisikia.ACHANA NA MAWAZO HAYO.
mganga mungu mambo ni yenteWadau natafuta mganga bora kabisa atakayeizindika nyumba yangu kwani wachawi nananisumbua sana usiku.
KWAIO SH200 tu π‘ π‘ π‘Chumvi ya buku 2 inatosha kumaliza kila kitu.. Mwambie akutoe na 10% [emoji23][emoji23][emoji23]
Huyo huwezi kumpata,kwa sababu shetani hawezi kumpinga shetani mwenziwe,yaani hawezi kujizingua mwenyewe.Wadau natafuta mganga bora kabisa atakayeizindika nyumba yangu kwani wachawi nananisumbua sana usiku.
Labda akupe tenda ya kumfanyia hiyo kazi[emoji2]KWAIO SH200 tu π‘ π‘ π‘
Kwanini usiongeze dau nipate ya vocha
What about the hereafter??Muishike dini kama roho zenuπππ aisee mie ndio maana mambo ya dini yamenishinda maana unafiki siwezi!
I love eating cookies,,,dini inakataza
I love music,,,dini inakataza
I like booze,,,dini inakataa
How the hell will life be! Ukienda upande mwengineo kule ndio balaa maana utakuwa mtumwa milele na ukikosea masharti linakukuta jambo! Bora upande wa dini huku hata usipofata masharti hudhuriki
Itafahamika tuWhat about the hereafter??
Wanajidai Yesu mkombozi wakati kila jumamosi wako Bagawise ππ kwa mtaalamuJF bhana,watu humu yesu ndio mkombozi wako nyingiii,wakati kila leo kwa waganga...
Mganga Mkuu anaitwa Yesu Mnazareti
Itaje Apa kwa faida ya wengiMkuu, usikilize wanaokwambia mambo ya Yesu..walio wengi hata nyumba hawana.
Back to the topic.
Njoo pm nikuelekeze dawa simple ambayo hutatumia hata elfu 5 kuitengeneza na sitakuomba hata senti 1 kukuelekeza.
Nikikuomba hata senti 1 niripoti kwa mods au Maxence Melo nipigwe ban ya milele.
Karibu kama upo serious
πHatari sana mzee.Wanajidai Yesu mkombozi wakati kila jumamosi wako Bagawise ππ kwa mtaalamu