Wimbo mtamu...Yesu ni mambo yote ndani ya yote, ukimpata Yeye umepata vyote[emoji444]
Yaani uunganishwe na mganga alafu Mungu ndo alipe ?? Au unasema haka ka mungu kadogo ndo katalipa ?Kusema ukweli nimechoka hadi mwisho! Napata wakat mgumu mnoo kwenye biashara yangu ambayo nimeisajili kama kampuni, nakutana na vitendo vya kishirikina sana na changamoto nyingi ambapo nachoamini ni kupata tu mganga konk! Naomba mwenye conection walah ninusuru mie mungu atakulipa
Mngelijua hao wachungaji wenu wanavyopigana vikumbo huko wala usingesema lolote,...! /namfahamu mchungaji fulani kutwa kwa ( ).Wimbo mtamu...
Ngoja niimbe mie...
Ukimpata YESU... umepata vyote umepata vyote....YESU ndiye mchungaji wangu sitapungukiwa na kituuu...
Ama kweli duniani kila kitu ni ubatiri kitabu cha habakukiMngelijua hao wachungaji wenu wanavyopigana vikumbo huko wala usingesema lolote,...! /namfahamu mchungaji fulani kutwa kwa ( ).
Unamuliza tena!namba hiyo mshapewa pigeni muulizeMwanza sehemu gani
Nenda youtube walimu, waganga kibao wanafundisha mbinu za kufanya Ili kujifungia na kujikinga dhidi ya nguvu za giza na wapumbavu wasikuchezee.Naomba nitag mkuu
Inaelekea umefanikiwa kutoboa mkuu naomba mbinuHakuna kitu kinatia stress kama biashara kuyumba,Sitaki kukumbuka
Shukran mkuuNenda youtube walimu, waganga kibao wanafundisha mbinu za kufanya Ili kujifungia na kujikinga dhidi ya nguvu za giza na wapumbavu wasikuchezee.
Ukijua sayansi ya miti,mimea na madini hao wapumbavu hawawezi kukusumbua.
ChakaNina shida binafsi nahitaji mtu mwenye kujua mganga mzuri ambaye anasaidia watu au ata yeye amemsaidia please siihitaji ushauri wala matusi kama uzi haukuusu kaa kimya hapa nahitaji mwenye kujua hili jambo tu narudia usije hapa kama hauna huyo mtu
Illusion gov'ned, kuna kitu kinaitwa incarnation tu, and no hell at all, and know that once you die mean you lost! Completely!Siku ya hukumu ni face to face na Yesu, mganga wako naye atakuwa akitetemeka mbele za huyu Mhukumu wa ulimwengu. Okoka leo uokoe maisha yako ya sasa na baadaye
Kweli kbs,huo ni u daktar km wale wengine,shida wazungu walishatupiga tunadharau vya kwetuUganga ni taaluma kama taaluma zingine tu kwa hiyo hutakiwi kucheka
Nimeenda nimekutana na dawa ya mgomba hiyo ni noumaNenda youtube walimu, waganga kibao wanafundisha mbinu za kufanya Ili kujifungia na kujikinga dhidi ya nguvu za giza na wapumbavu wasikuchezee.
Ukijua sayansi ya miti,mimea na madini hao wapumbavu hawawezi kukusumbua.
Oh, hiyo ni core principle ya dini ya masadukayo, sikujua kama ww ni memberIllusion gov'ned, kuna kitu kinaitwa incarnation tu, and no hell at all, and know that once you die mean you lost! Completely!