Aneel munawar
JF-Expert Member
- Aug 1, 2017
- 4,580
- 8,141
We imba tenzi..inawezekana hujakutwa na mazito....maybe pastors na manabii wengi hawajui exactly kutegua mitego Kama ilivotegwa...maana kazi yao kusema navunja..nachoma ..naunguza....ushawahi kufunga tatu kavu wewe..??uko tulikuepo na now we need a fast solution as soon as possibleYesu kwetu ni rafiki
Hwambiwa haja pia
Ukiomba kwa Babaye
Maombi asikia.
Lakini twajikosesha
Twajitweka vibaya
Kwamba tulimwomba Mungu
Dua angesikia.
Una dhiki na maonjo?
Una mashaka pia?
Haifai kufa moyo maombi asikia.
Ni tabibu wa karibu
Tabibu wa ajabu
Na rehema za daima
Ni dawa yake njema.
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Kama upo dar panda gar zakwenda tanga muda huu shuka kwedikazu karibu na Kabuku alafu niambie nikupe maelekezo au nenda mpka muheza pale kabla ya kufika muheza stend Kijiji Cha mwisho Kuna matunda na traffic huwa wanasimama shuka hapo alafu nikupe maelekezo
Kakufanya nini? Hakikisha ukitaka kufanya huo ushetani nawe huna mawaaMm nataka wakumfanya mtu awe mwendawazimu /chizi ,dili likiwa fresh zawadi nono itatolewa hata kwako wewe ulieunganisha kwa mganga.
Yote alimaliza alimaliza yote alimaliza pale Kalvari.We imba tenzi..inawezekana hujakutwa na mazito....maybe pastors na manabii wengi hawajui exactly kutegua mitego Kama ilivotegwa...maana kazi yao kusema navunja..nachoma ..naunguza....ushawahi kufunga tatu kavu wewe..??uko tulikuepo na now we need a fast solution as soon as possible
Hapa Kuna mtu anataka kutolewa dunia muda si mrefu..
Nilijua uwezi kosa huu uzi mkuu ..Nakuomba tafadhali fafanua aina ya tatizo uweze kusaidika kwa wepesi.. Waganga wana fani tofauti
Kuna ambao fani yao ni mahusiano tu
Kuna ambao fani yao ni madeni tuu
Kuna ambao fani yao ni kuua na kuharibu tuu nknk
[emoji851][emoji851][emoji851][emoji851]Nilijua uwezi kosa huu uzi mkuu ..
Ukimpta nitag mkuu..kuna jamaa namudai 1M nisha peleka polic kila nikimpeleka kesho yake namuona uraian adi nimechoka kudai[emoji2]Kuna watu wamenidhulumu nawadai
Kakufanya nini? Hakikisha ukitaka kufanya huo ushetani nawe huna mawaa
Bwana mkunaji limemkuta pereNakuomba tafadhali fafanua aina ya tatizo uweze kusaidika kwa wepesi.. Waganga wana fani tofauti
Kuna ambao fani yao ni mahusiano tu
Kuna ambao fani yao ni madeni tu.
Kuna ambao fani yao ni kuua na kuharibu tuu nknk
Nyie ndo mnafanya Maxence Melo apelekwe court kilasiku napia inaonyesha n jinsi gani unauelewa mdogo japo kila mtu anayake Ila usiuonyeshe upumbavu wako kwa watu mwenzio anataka mganga hataki habari za yesu .Yote alimaliza alimaliza yote alimaliza pale Kalvari.
Maombi ya mwenye haki yafaa sana akiomba kwa bidii.
Ninyi mkikaa ndani Yangu,na maneno yangu yakikaa ndani yenu,ombeni mtakalo lote kwa Jina langu mtatendewa.
Yoh15:7
Swali kwako,
Nitajie jambo gumu ambalo unaona Mungu haliwezi.
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Jambo dogo sana... Wala sikushauri ufanye lolote .. Kama tutapewa uhai baada ya mwaka turudi kwenye hii post utaniambiaHivi unajisikia vip kakaako mkewe ambae ni shemeji yako anamuingiza hawara ndani na unajua na kuona dhambi inayofanyika kakaako anafukuzwa ndani mbele ya hawara yake nae yupo hapo hapo kweny nyumba mnayoishi . Ngoja niishie hapo ...
Let the karma do it's businessHivi unajisikia vip kakaako mkewe ambae ni shemeji yako anamuingiza hawara ndani na unajua na kuona dhambi inayofanyika kakaako anafukuzwa ndani mbele ya hawara yake nae yupo hapo hapo kweny nyumba mnayoishi . Ngoja niishie hapo ...
Hapo sipajui mie nimekariri hayo majina tuuUnaposemea njia panda ya chogo unafika au
Yeye ndio kasema huko kwa Wasukuma wala sio Mimi! Wasukuma uchawi wao mzuri sana nasikia mwendazake alikua na team nzima ya Walozi!We kaka vipi na wasukuma?tumekukosea nini?
Kwanini unawachukia wasukuma namna hii?
Kisa ni kabila kubwa kuwazidi nyie na utajiri kuwazidi nyie bas imekuwa NONGWA? Sijafurahishwa kbs kwakweli..daily nakuona unawasema wasukuma, tumekukosea nini? Au kisa tuna madini?
Au kisa Chato kuna airport? Kwani nyir upareni hamna airport? Huu wivu kiini chake ni nini?
Nimekuriport kwa mods wakeshe na ww kwa ban😒!
Jambo dogo sana... Wala sikushauri ufanye lolote .. Kama tutapewa uhai baada ya mwaka turudi kwenye hii post utaniambia
Huyo shemeji yako kama kweli kamkosea ndugu yako kihivyo mabaya yanamsubiri
Utuache na mwendazake wetu...ni wivu tu!..wewe wasukuma unawaonea tu wivu!agayaaa(in sukuma's voice)Yeye ndio kasema huko kwa Wasukuma wala sio Mimi! Wasukuma uchawi wao mzuri sana nasikia mwendazake alikua na team nzima ya Walozi!
[emoji1][emoji1][emoji1] wengine nazani fani zao ni kutafuna papuchi na kusaidia kugawa mimba wake za watu.Nakuomba tafadhali fafanua aina ya tatizo uweze kusaidika kwa wepesi.. Waganga wana fani tofauti
Kuna ambao fani yao ni mahusiano tu
Kuna ambao fani yao ni madeni tu.
Kuna ambao fani yao ni kuua na kuharibu tuu nknk
Hapo sipajui mie nimekariri hayo majina tuu