Wapi nitapata mganga wa Kienyeji mzuri?

Wapi nitapata mganga wa Kienyeji mzuri?

Yesu kwetu ni rafiki
Hwambiwa haja pia
Ukiomba kwa Babaye
Maombi asikia.

Lakini twajikosesha
Twajitweka vibaya
Kwamba tulimwomba Mungu
Dua angesikia.

Una dhiki na maonjo?
Una mashaka pia?
Haifai kufa moyo maombi asikia.

Ni tabibu wa karibu
Tabibu wa ajabu
Na rehema za daima
Ni dawa yake njema.

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
We imba tenzi..inawezekana hujakutwa na mazito....maybe pastors na manabii wengi hawajui exactly kutegua mitego Kama ilivotegwa...maana kazi yao kusema navunja..nachoma ..naunguza....ushawahi kufunga tatu kavu wewe..??uko tulikuepo na now we need a fast solution as soon as possible
 
Kama upo dar panda gar zakwenda tanga muda huu shuka kwedikazu karibu na Kabuku alafu niambie nikupe maelekezo au nenda mpka muheza pale kabla ya kufika muheza stend Kijiji Cha mwisho Kuna matunda na traffic huwa wanasimama shuka hapo alafu nikupe maelekezo

Unaposemea njia panda ya chogo unafika au
 
We imba tenzi..inawezekana hujakutwa na mazito....maybe pastors na manabii wengi hawajui exactly kutegua mitego Kama ilivotegwa...maana kazi yao kusema navunja..nachoma ..naunguza....ushawahi kufunga tatu kavu wewe..??uko tulikuepo na now we need a fast solution as soon as possible
Yote alimaliza alimaliza yote alimaliza pale Kalvari.
Maombi ya mwenye haki yafaa sana akiomba kwa bidii.


Ninyi mkikaa ndani Yangu,na maneno yangu yakikaa ndani yenu,ombeni mtakalo lote kwa Jina langu mtatendewa.
Yoh15:7

Swali kwako,
Nitajie jambo gumu ambalo unaona Mungu haliwezi.

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Kakufanya nini? Hakikisha ukitaka kufanya huo ushetani nawe huna mawaa

Hivi unajisikia vip kakaako mkewe ambae ni shemeji yako anamuingiza hawara ndani na unajua na kuona dhambi inayofanyika kakaako anafukuzwa ndani mbele ya hawara yake nae yupo hapo hapo kweny nyumba mnayoishi . Ngoja niishie hapo ...
 
Yote alimaliza alimaliza yote alimaliza pale Kalvari.
Maombi ya mwenye haki yafaa sana akiomba kwa bidii.


Ninyi mkikaa ndani Yangu,na maneno yangu yakikaa ndani yenu,ombeni mtakalo lote kwa Jina langu mtatendewa.
Yoh15:7

Swali kwako,
Nitajie jambo gumu ambalo unaona Mungu haliwezi.

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Nyie ndo mnafanya Maxence Melo apelekwe court kilasiku napia inaonyesha n jinsi gani unauelewa mdogo japo kila mtu anayake Ila usiuonyeshe upumbavu wako kwa watu mwenzio anataka mganga hataki habari za yesu .

Ukiwa umeshiba usifikirie kila mtu kashiba
 
Hivi unajisikia vip kakaako mkewe ambae ni shemeji yako anamuingiza hawara ndani na unajua na kuona dhambi inayofanyika kakaako anafukuzwa ndani mbele ya hawara yake nae yupo hapo hapo kweny nyumba mnayoishi . Ngoja niishie hapo ...
Jambo dogo sana... Wala sikushauri ufanye lolote .. Kama tutapewa uhai baada ya mwaka turudi kwenye hii post utaniambia
Huyo shemeji yako kama kweli kamkosea ndugu yako kihivyo mabaya yanamsubiri
 
We kaka vipi na wasukuma?tumekukosea nini?

Kwanini unawachukia wasukuma namna hii?

Kisa ni kabila kubwa kuwazidi nyie na utajiri kuwazidi nyie bas imekuwa NONGWA? Sijafurahishwa kbs kwakweli..daily nakuona unawasema wasukuma, tumekukosea nini? Au kisa tuna madini?

Au kisa Chato kuna airport? Kwani nyir upareni hamna airport? Huu wivu kiini chake ni nini?

Nimekuriport kwa mods wakeshe na ww kwa ban😒!
Yeye ndio kasema huko kwa Wasukuma wala sio Mimi! Wasukuma uchawi wao mzuri sana nasikia mwendazake alikua na team nzima ya Walozi!
 
Jambo dogo sana... Wala sikushauri ufanye lolote .. Kama tutapewa uhai baada ya mwaka turudi kwenye hii post utaniambia
Huyo shemeji yako kama kweli kamkosea ndugu yako kihivyo mabaya yanamsubiri

Hivi tunavyozungumza ndgu yangu yupo mahakamani kuna kesi inayoendelea kwaajili yake shemj kaenda kushtaki kwakua ndgu yangu anamsumbua na ukicheki wana watoto 6 na yule hawara sasa katafuta gang wanamtafuta kwaajili ya kumuua, kuna black America mmoja ndio kaamua kumfadhili yupo ndani mda wote anatembea kwa kificho ficho, na huyo hawara ni kutoka congo. Wajumbe inauma hii sio utani utani
 
Nakuomba tafadhali fafanua aina ya tatizo uweze kusaidika kwa wepesi.. Waganga wana fani tofauti
Kuna ambao fani yao ni mahusiano tu
Kuna ambao fani yao ni madeni tu.
Kuna ambao fani yao ni kuua na kuharibu tuu nknk
[emoji1][emoji1][emoji1] wengine nazani fani zao ni kutafuna papuchi na kusaidia kugawa mimba wake za watu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom