Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Sawa sawaUganga ni taaluma kama taaluma zingine tu kwa hiyo hutakiwi kucheka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa sawaUganga ni taaluma kama taaluma zingine tu kwa hiyo hutakiwi kucheka
wakati wamechanjiwa vitovuWabongo utawaweza kwa unafki? Yaani utadhani wao hawaendagi kwa hao waganga 😂😂
Mdogo wangu,Ume specialize kwenye emotions?
Basi utakuwa mtaalamu wa mambo ya mapenzi.
Hapana kabsaaaa. Sina tatizo nilitaka kufahamu tu specialty yake labda jibu lake limesaidia wenye shida watamuona.Mdogo wangu,
Kwani una tatizo lolote katika sekta hiyo.? 😂
kasemaje? Tatizo lako lipo ndani ya uwezo wake?Nimeongea nae
mwingine huyo hapo 0718822598nitaendelea kuijaribu
[emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji851]We kaka vipi na wasukuma?tumekukosea nini?
Kwanini unawachukia wasukuma namna hii?
Kisa ni kabila kubwa kuwazidi nyie na utajiri kuwazidi nyie bas imekuwa NONGWA?? Sijafurahishwa kbs kwakweli..daily nakuona unawasema wasukuma...tumekukosea nini? Au kisa tuna madini ? Au kisa Chato kuna airport? Kwani nyir upareni hamna airport? Huu wivu kiini chake ni nini?
Nimekuriport kwa mods wakeshe na ww kwa ban[emoji19]!
Chukua ushauri hapa mkuuNakuomba tafadhali fafanua aina ya tatizo uweze kusaidika kwa wepesi.. Waganga wana fani tofauti
Kuna ambao fani yao ni mahusiano tu
Kuna ambao fani yao ni madeni tuu
Kuna ambao fani yao ni kuua na kuharibu tuu nknk
Mimi Nina ushahidi wa kutosha.Nina shida binafsi nahitaji mtu mwenye kujua mganga mzuri ambaye anasaidia watu au ata yeye amemsaidia please siihitaji ushauri wala matusi kama uzi haukuusu kaa kimya hapa nahitaji mwenye kujua hili jambo tu narudia usije hapa kama hauna huyo mtu
Nakuomba tafadhali fafanua aina ya tatizo uweze kusaidika kwa wepesi.. Waganga wana fani tofauti
Kuna ambao fani yao ni mahusiano tu
Kuna ambao fani yao ni madeni tuu
Kuna ambao fani yao ni kuua na kuharibu tuu nknk