Wapi nitapata mganga wa Kienyeji mzuri?

Wapi nitapata mganga wa Kienyeji mzuri?

We kaka vipi na wasukuma?tumekukosea nini?
Kwanini unawachukia wasukuma namna hii?
Kisa ni kabila kubwa kuwazidi nyie na utajiri kuwazidi nyie bas imekuwa NONGWA?? Sijafurahishwa kbs kwakweli..daily nakuona unawasema wasukuma...tumekukosea nini? Au kisa tuna madini ? Au kisa Chato kuna airport? Kwani nyir upareni hamna airport? Huu wivu kiini chake ni nini?
Nimekuriport kwa mods wakeshe na ww kwa ban[emoji19]!
[emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji851]
 
Nina shida binafsi nahitaji mtu mwenye kujua mganga mzuri ambaye anasaidia watu au ata yeye amemsaidia please siihitaji ushauri wala matusi kama uzi haukuusu kaa kimya hapa nahitaji mwenye kujua hili jambo tu narudia usije hapa kama hauna huyo mtu
Mimi Nina ushahidi wa kutosha.
Njoo kwa YESU KRISTO ALIYE HAI.
Dakika kumi nyingi
 
Nakuomba tafadhali fafanua aina ya tatizo uweze kusaidika kwa wepesi.. Waganga wana fani tofauti
Kuna ambao fani yao ni mahusiano tu
Kuna ambao fani yao ni madeni tuu
Kuna ambao fani yao ni kuua na kuharibu tuu nknk

Mm nataka wakumfanya mtu awe mwendawazimu /chizi ,dili likiwa fresh zawadi nono itatolewa hata kwako wewe ulieunganisha kwa mganga.
 
Kama upo dar panda gar zakwenda tanga muda huu shuka kwedikazu karibu na Kabuku alafu niambie nikupe maelekezo au nenda mpka muheza pale kabla ya kufika muheza stend Kijiji Cha mwisho Kuna matunda na traffic huwa wanasimama shuka hapo alafu nikupe maelekezo
 
Back
Top Bottom