Wapi nitapata mganga wa Kienyeji mzuri?

Wapi nitapata mganga wa Kienyeji mzuri?

Hiyo kazi naiweza mimi, kiboko wa wezi nipo KWAMSISI HANDENI TANGA, tuma nauli na kiingia mbago
 
Utaibiwa tena

Mganga atataka umpe hela ya kunuua vifaa ambavyo ni kuku, ubani nk na hakuna kitakachotokea baada ya hapo
 
Ukitaka KUWAMALIZA nicheki
Dah, Mkuu kuna uncle wangu mmoja yupo kinondoni hapo ana MALIZA kwa buku 5 tu! Hana Makuu, anakuuliza Mara mbili mbili.. unauhakika? Uki confirm tu, ndani ya masaa 48 shughuli imeisha!
 
Njoo kwangu Mimi ndio mganga maarufu huku Buza kwa Lulenge. Njoo PM utume Kwanza 50,000 ili mizimu ifurahie hii weekend
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Usiku wa kuamkia leo, vibaka wamekata dirisha na kuniibia vitu mbalimbali, kwa hasira niliyo nayo na umaskini walionitia natafuta mganga wa kienyeji ili warudishe vitu vyangu na niwape fundisho ili wajue duniani hakuna vya bure.
Kwa dar wapi nitapata mganga mzuri jamani? Nipo serious


Unatafuta mganga au mchawi??

Mganga ni yule anayetibu maradhi na mchawi ni yule anayetumia nguvu za "giza" (mesmerism and hypnotism) kutenda mambo ambayo katika hali ya kawaida yasingewezekana.
 
Unatafuta mganga au mchawi??

Mganga ni yule anayetibu maradhi na mchawi ni yule anayetumia nguvu za "giza" (mesmerism and hypnotism) kutenda mambo ambayo katika hali ya kawaida yasingewezekana.

Kwangu wote sawa cha muhimu lengo langu litimie
 
Back
Top Bottom