Wapi nitapata mganga wa Kienyeji mzuri?

Wapi nitapata mganga wa Kienyeji mzuri?

Yupo kgoma sehemu gani bwashee
Kuna mwingine yeye ni kiboko yupo Kigoma anaweza akakufanyia kazi yako kwenye simu ili mradi umpe jina lako ama la adui yako inategemea na shida uliyo nayo
kuhusu malipo ni baada ya kazi
 
acha ushirikina ww muamini Mungu
Nina shida binafsi nahitaji mtu mwenye kujua mganga mzuri ambaye anasaidia watu au ata yeye amemsaidia please siihitaji ushauri wala matusi kama uzi haukuusu kaa kimya hapa nahitaji mwenye kujua hili jambo tu narudia usije hapa kama hauna huyo mtuacha
 
Nina shida binafsi nahitaji mtu mwenye kujua mganga mzuri ambaye anasaidia watu au ata yeye amemsaidia please siihitaji ushauri wala matusi kama uzi haukuusu kaa kimya hapa nahitaji mwenye kujua hili jambo tu narudia usije hapa kama hauna huyo mtu
buza kwa mama kibonge
 
Kuna mwingine yeye ni kiboko yupo Kigoma anaweza akakufanyia kazi yako kwenye simu ili mradi umpe jina lako ama la adui yako inategemea na shida uliyo nayo
kuhusu malipo ni baada ya kazi
Duh huyu yupo vizuri
 
Kuna Ustaadh/fundi atakuja dar weekend hii,kama mtu unahitaji connection zama inbox .
 
Hivi tunavyozungumza ndgu yangu yupo mahakamani kuna kesi inayoendelea kwaajili yake shemj kaenda kushtaki kwakua ndgu yangu anamsumbua na ukicheki wana watoto 6 na yule hawara sasa katafuta gang wanamtafuta kwaajili ya kumuua, kuna black America mmoja ndio kaamua kumfadhili yupo ndani mda wote anatembea kwa kificho ficho, na huyo hawara ni kutoka congo. Wajumbe inauma hii sio utani utani
Vip ulimpata wa kumfanya awe chizi/kichaa?
 
Kama ni watu humu JF wapo kama wawili mshana na mzizimkavu. Ila kama ni eneo nenda mkoani simiyu sehemu moja panaitwa Gamboshi
Gambosh is an imaginary place haipo kiuhalisia.

simiyu (bariadi) nimetoka juzi ni mji tayari ushaendelea.

uchawi upo sana ila na mji unakua sana
IMG_20211001_095515_305.jpg
 
Kuna huyo wa huku kwetu igumbalalasi we hana namba huyo

Cha kufanya unachukua gunzi alafu unalisokomeza hapo kwenye exhaust yako alafu unatafuta tango zuri afu unaliweka mdomoni. Mwisho unamalizia na kujifunika shuka kwenye kichwa tu basi

Usisahau chandarua afu usizime taaa

Fanya hivo leo utakuja kunishukuru maana huyo mjamaa ni kiboko
 
Kuna mwingine yeye ni kiboko yupo Kigoma anaweza akakufanyia kazi yako kwenye simu ili mradi umpe jina lako ama la adui yako inategemea na shida uliyo nayo
kuhusu malipo ni baada ya kazi
Naomba namba ya huyu fundi mkuu
 
Kuna mwingine yeye ni kiboko yupo Kigoma anaweza akakufanyia kazi yako kwenye simu ili mradi umpe jina lako ama la adui yako inategemea na shida uliyo nayo
kuhusu malipo ni baada ya kazi
Mkuu mi nataka ya biashara.. Anayo?
 
Back
Top Bottom