Shida yako hiyo unatakiwa upate mchawi awaroge hao wadeni wako warudishe wenyewe walichochukua toka kwako.Nimedhulimiwa na watu awataki kunilipa madeni yangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shida yako hiyo unatakiwa upate mchawi awaroge hao wadeni wako warudishe wenyewe walichochukua toka kwako.Nimedhulimiwa na watu awataki kunilipa madeni yangu
Kuna mwingine yeye ni kiboko yupo Kigoma anaweza akakufanyia kazi yako kwenye simu ili mradi umpe jina lako ama la adui yako inategemea na shida uliyo nayo
kuhusu malipo ni baada ya kazi
Kigoma mjiniYupo kgoma sehemu gani bwashee
Nina shida binafsi nahitaji mtu mwenye kujua mganga mzuri ambaye anasaidia watu au ata yeye amemsaidia please siihitaji ushauri wala matusi kama uzi haukuusu kaa kimya hapa nahitaji mwenye kujua hili jambo tu narudia usije hapa kama hauna huyo mtuacha
Kwani amesema hamuamini Munguacha ushirikina ww muamini Mungu
AIsee naomba mawasiliano yake km hutojaliKigoma mjini
buza kwa mama kibongeNina shida binafsi nahitaji mtu mwenye kujua mganga mzuri ambaye anasaidia watu au ata yeye amemsaidia please siihitaji ushauri wala matusi kama uzi haukuusu kaa kimya hapa nahitaji mwenye kujua hili jambo tu narudia usije hapa kama hauna huyo mtu
Duh huyu yupo vizuriKuna mwingine yeye ni kiboko yupo Kigoma anaweza akakufanyia kazi yako kwenye simu ili mradi umpe jina lako ama la adui yako inategemea na shida uliyo nayo
kuhusu malipo ni baada ya kazi
Haaaaa Haaaaa 😂 jamani
Vip ulimpata wa kumfanya awe chizi/kichaa?Hivi tunavyozungumza ndgu yangu yupo mahakamani kuna kesi inayoendelea kwaajili yake shemj kaenda kushtaki kwakua ndgu yangu anamsumbua na ukicheki wana watoto 6 na yule hawara sasa katafuta gang wanamtafuta kwaajili ya kumuua, kuna black America mmoja ndio kaamua kumfadhili yupo ndani mda wote anatembea kwa kificho ficho, na huyo hawara ni kutoka congo. Wajumbe inauma hii sio utani utani
Gambosh is an imaginary place haipo kiuhalisia.Kama ni watu humu JF wapo kama wawili mshana na mzizimkavu. Ila kama ni eneo nenda mkoani simiyu sehemu moja panaitwa Gamboshi
Ukiwapata wa ushirikina waambie waje kwangu kaka mkubwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi natufata mganga kuna mtu kaniabia nataka arudishe mali yangu
Hiyo ndiyo Gamboshi ya sasa mkuuGambosh is an imaginary place haipo kiuhalisia.
simiyu (bariadi) nimetoka juzi ni mji tayari ushaendelea.
uchawi upo sana ila na mji unakua sana
View attachment 1964289
Naomba namba ya huyu fundi mkuuKuna mwingine yeye ni kiboko yupo Kigoma anaweza akakufanyia kazi yako kwenye simu ili mradi umpe jina lako ama la adui yako inategemea na shida uliyo nayo
kuhusu malipo ni baada ya kazi
Mkuu mi nataka ya biashara.. Anayo?Kuna mwingine yeye ni kiboko yupo Kigoma anaweza akakufanyia kazi yako kwenye simu ili mradi umpe jina lako ama la adui yako inategemea na shida uliyo nayo
kuhusu malipo ni baada ya kazi