Nitoke Morogoro au Igunga kufuata mkaa wa buku. Hakika nitakuwa qualified inmate wa Mirembe.Njoo uone mkuu au nipigie 0711756341 nimezalisha kidogo natumia nyumbani! Kwasasa nina kilo elfu 1000 zipo tu sijui hata pa kuzipeleka!
Kiufupi ni kama ka kiwanda maana nimeunganisha na mota za umeme kuchanganyia!
Samahan mkuu sikujua kama uko mbali!Nitoke Morogoro au Igunga kufuata mkaa wa buku. Hakika nitakuwa qualified inmate wa Mirembe.
Sambaza mkaa wako kwenye maduka na supermarkets kwa kuwawekea wholesale price ili sisi tununue rejareja.
Asante kwa ushauriwateja wako wa kila siku ni hawa
i.wauzaji chips hakikisha una zungukia sehem zote zinazo uza chips huwez kukosa oda kila siku
ii. tembelea vyuo mbali mbali zile canteen za vyuo hua wanapendelea matumiz ya mkaa mbadala kuliko huu wa kawaida
iii. tembelea migahawa mikubwa na midogo maeneo ya manzese magomeni kkoo mpaka posta
bila kuwasahau mama ntilie na mabar yaliyo jazana kila kona hapa mjini
Sent from my SM-G950U using JamiiForums mobile app
Tupe majibu. Mtu akitokapoint A kufuata mkaa point B, anarudishiwa gharama za nauli?Samahan mkuu sikujua kama uko mbali!
Weka picha mkuu,Hello wapendwa! Nina ujuzi wa kutengeneza mkaa mbadala wa kupikia!
Lakini tatizo sijui wapi nitapata wateja!
Naomba mawazo nifanyeje ili nipate wateja ili nianze kuzalisha bidhaa hii !
Ujuzi ninao, vifaa na mashine zipo lakini shida ni wapi nitauza hii bidhaa!
Kwasasa napotaka kuanza kuzalisha Sina uwezo wa kumwajili afisa masoko! Lakini kama kuna vijana wenzangu mliosomea masoko hamna kazi leteni mawazo tufanye kazi pamoja tuunde kikundi cha pamoja!
Mwenye kujua wapi naweza peleka bidhaa hii anijuze!
Ni mkaa mbadala safi ambao hauishi haraka, unatumika kidogo tu kupikia, unatumika kwenye jiko la mkaa wa kawaida hata mafiga matatu unaweza kutumia!
Naomba anaejua wapi naweza pata soko la mkaa huu anijuze au tuwasiliane
Hello wapendwa! Nina ujuzi wa kutengeneza mkaa mbadala wa kupikia!
Lakini tatizo sijui wapi nitapata wateja!
Naomba mawazo nifanyeje ili nipate wateja ili nianze kuzalisha bidhaa hii !
Ujuzi ninao, vifaa na mashine zipo lakini shida ni wapi nitauza hii bidhaa!
Kwasasa napotaka kuanza kuzalisha Sina uwezo wa kumwajili afisa masoko! Lakini kama kuna vijana wenzangu mliosomea masoko hamna kazi leteni mawazo tufanye kazi pamoja tuunde kikundi cha pamoja!
Mwenye kujua wapi naweza peleka bidhaa hii anijuze!
Ni mkaa mbadala safi ambao hauishi haraka, unatumika kidogo tu kupikia, unatumika kwenye jiko la mkaa wa kawaida hata mafiga matatu unaweza kutumia!
Naomba anaejua wapi naweza pata soko la mkaa huu anijuze au tuwasiliane
Je una constant supply ya material ya kutengenezea huo mkaa mbadala?Ni katika harakati za maisha mkuu! Nilifulia hela ya gesi siku hiyo nyumbani nikapata wazo la kuunda mkaa mbadala! Nilipofanikiwa ndipo nikaona nianze kuzalisha kwa ajili ya kuuza ....tatizo wapi nitapata soko ndiyo changamoto!
Ikumbukwe Mimi pia ni fundi umeme! Hivyo nimeunda mota ambazo zitaniwezesha kuzalisha kilo 100 hadi 200 kwa siku! Lakini sijajua Nikishatengeneza huu mkaa nitaupeleka wapi? Ndiyo maana naomba ushauri
Peleka sample mashuleni kama atlas... Kuna kipindi walikuwa wananunua ule anaozalisha mchina wenye tundu katikatiHello wapendwa! Nina ujuzi wa kutengeneza mkaa mbadala wa kupikia!
Lakini tatizo sijui wapi nitapata wateja!
Naomba mawazo nifanyeje ili nipate wateja ili nianze kuzalisha bidhaa hii !
Ujuzi ninao, vifaa na mashine zipo lakini shida ni wapi nitauza hii bidhaa!
Kwasasa napotaka kuanza kuzalisha Sina uwezo wa kumwajili afisa masoko! Lakini kama kuna vijana wenzangu mliosomea masoko hamna kazi leteni mawazo tufanye kazi pamoja tuunde kikundi cha pamoja!
Mwenye kujua wapi naweza peleka bidhaa hii anijuze!
Ni mkaa mbadala safi ambao hauishi haraka, unatumika kidogo tu kupikia, unatumika kwenye jiko la mkaa wa kawaida hata mafiga matatu unaweza kutumia!
Naomba anaejua wapi naweza pata soko la mkaa huu anijuze au tuwasiliane
Mkuu nazani hatukuelewana sahivi nipo kwenye kujua soko ili nijue nauzajeTupe majibu. Mtu akitokapoint A kufuata mkaa point B, anarudishiwa gharama za nauli?
Majibu yalenge mkaa unapatikana vipi. Katila majibu epuka neno NJOO UUFUATE na fananizi na hayo
👏👏👏Hello wapendwa! Nina ujuzi wa kutengeneza mkaa mbadala wa kupikia!
Lakini tatizo sijui wapi nitapata wateja!
Naomba mawazo nifanyeje ili nipate wateja ili nianze kuzalisha bidhaa hii !
Ujuzi ninao, vifaa na mashine zipo lakini shida ni wapi nitauza hii bidhaa!
Kwasasa napotaka kuanza kuzalisha Sina uwezo wa kumwajili afisa masoko! Lakini kama kuna vijana wenzangu mliosomea masoko hamna kazi leteni mawazo tufanye kazi pamoja tuunde kikundi cha pamoja!
Mwenye kujua wapi naweza peleka bidhaa hii anijuze!
Ni mkaa mbadala safi ambao hauishi haraka, unatumika kidogo tu kupikia, unatumika kwenye jiko la mkaa wa kawaida hata mafiga matatu unaweza kutumia!
Naomba anaejua wapi naweza pata soko la mkaa huu anijuze au tuwasiliane
Mkaa halisi unauzwa wapi? Je tatizo ni soko au watumishi hawana uelewa wa bidhaa yako? Watumishi wa mkaa wako popote pale.Hello wapendwa! Nina ujuzi wa kutengeneza mkaa mbadala wa kupikia!
Lakini tatizo sijui wapi nitapata wateja!
Naomba mawazo nifanyeje ili nipate wateja ili nianze kuzalisha bidhaa hii !
Ujuzi ninao, vifaa na mashine zipo lakini shida ni wapi nitauza hii bidhaa!
Kwasasa napotaka kuanza kuzalisha Sina uwezo wa kumwajili afisa masoko! Lakini kama kuna vijana wenzangu mliosomea masoko hamna kazi leteni mawazo tufanye kazi pamoja tuunde kikundi cha pamoja!
Mwenye kujua wapi naweza peleka bidhaa hii anijuze!
Ni mkaa mbadala safi ambao hauishi haraka, unatumika kidogo tu kupikia, unatumika kwenye jiko la mkaa wa kawaida hata mafiga matatu unaweza kutumia!
Naomba anaejua wapi naweza pata soko la mkaa huu anijuze au tuwasiliane
Poa nimekupata.Mkuu nazani hatukuelewana sahivi nipo kwenye kujua soko ili nijue nauzaje
Upo wapi mkuu!?Hello wapendwa! Nina ujuzi wa kutengeneza mkaa mbadala wa kupikia!
Lakini tatizo sijui wapi nitapata wateja!
Naomba mawazo nifanyeje ili nipate wateja ili nianze kuzalisha bidhaa hii.
Ujuzi ninao, vifaa na mashine zipo lakini shida ni wapi nitauza hii bidhaa!
Kwasasa napotaka kuanza kuzalisha Sina uwezo wa kumwajili afisa masoko! Lakini kama kuna vijana wenzangu mliosomea masoko hamna kazi leteni mawazo tufanye kazi pamoja tuunde kikundi cha pamoja!
Mwenye kujua wapi naweza peleka bidhaa hii anijuze!
Ni mkaa mbadala safi ambao hauishi haraka, unatumika kidogo tu kupikia, unatumika kwenye jiko la mkaa wa kawaida hata mafiga matatu unaweza kutumia!
Naomba anaejua wapi naweza pata soko la mkaa huu anijuze au tuwasiliane
Nipo hapa mbuyuni salasalaUpo wapi mkuu!?
PoaNipo hapa mbuyuni salasala
Karibu mkuuPoa nimekupata.
Ukishapata soko ukaanza kuutengeneza tujulishe point of sales za mkaa wako.
KWa sasa hivi tunakupa nafasi ujadiliane na maafisa masoko wa humu😄
Asante kwa ushauri ndugu angalau napata mwangaUnaelekea kupiga ela Kama utawekeza kwenye marketing mkaa wako uingie kwenye mzunguko. Serikali ishatoa projection by 2025 tuepukane na matumizi ya mkaa na kuni, jaribu kuset standard ya bei yako ya mkaa isizidi matumizi ya gas each item for a month, utatoboa uswahilini wanaamini ukipika ubwabwa kwenye gas unakuwa sio mtamu kama wa kwenye mkaa.