Wapiga picha wa Azam Media wana elimu Gani? Au wanafanya kusudi

NA ITOSHE KUSEMA MTOA MADA NI CHOKO...EBU UWE UNAPUNGUZA MAKASIRIKO K WW KWANI NI LAZIMA UTAZAME AZAM AU UMETUMWA KUICHAFUA?? MARA NGAPI CAMERAMAN WANAMUONESHA MAMA J SIKU AKIWA UWANJANI?? YAANI UMEJAA CHUKI ZA KIDINI KAMA SHOG* KHAA MNAKERA SANA *****
 
Hiyo ni historia , mbona Wajapan hawalalamiki wachina kuwa na movies za kuua Wajapan ?
 
Wewe unategemea watu wenye elimu ya madrasa peke yake wawe na akili ya kuchambua mambo? Wao wanaamini wataenda peponi kwa matukio wanayoonesha.
 
Huu udini unaosemwa upo hapa jamiiforum tu .ila kiuhalisia mambo ni shwari.
 
Waliozoea kubagua wenzao ndio wao wana ona kila mtu ni mbaguzi kama yeye.
 
Mleta mada hana akili na Kazi ya kufanya , udini umemjaa mada zake kila siku lazima zihusu waislamu au Waarabu kwa ubaya.

 
Huyu mtoa mada hayuko sawa kichwani..rejea mada zake za nyuma,ni mtu wa kupuuza! Ni mdini asiye paswa kuzingatiwa.
 
Naendelea na utafit. Dakika ni ya 52 wavaa kanzu na baibui hawajamulikwa na camera

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Lengo ni wajinga mtupishe

Mpka saiv camera zimemulika jukwaan mara 4View attachment 2458098
 
Hivi huyo azam asiporusha msalaba..picha za christmas au akabase kwenye uislam tu yesu hatakua mkombozi wa ulimwengu..??jibu NO...na kingine those rich guys don't give a fuc.. about your fu....opinions....
Uache kuangalia vyenga na mitetemo ya dada mayele..unahangaika na dini kaka..?
Ok basi ukiona huwez kuangalia hayo..base tu kumcheki aziz ki venye anatema mate...
 
Wagalatia na nyie mmeanza tabia ya kulalamika?
 
Embu tutajieni watangazaji wao mkuu,
 
Hao jamaa ni wapumbavu kweli
Wajinga sana wadini

Huu mchezo upo sanaa hata ajira zao zipo kidini sana

Ni suala la muda huu mchezo utaisha
Kuna dada mmoja aliwahi pata kazi kwa kudanganya jina.

Sasa akawa anajisahau.

Wakimwita kwa jina jipya anakaa kimya kumbe kasahau jina lake la kuzugia.

Kujitetea akawa anawaambia ana matatizo ya masikio.

Ubaguzi wa kidini sio mzuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…